Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Baada ya tafakuri ya muda mfupi, nimepata hisia kuwa hata kama wana uwezo mdogo, lakini sio wa kufanya makosa kama haya ya kiuandishi.
Hivyo, nahisi huenda baadhi yao hawafurahii haya mambo,.ila wanafanya kwa kulazimishwa tu na matokeo yake na wao wanamua kufanya kazi chini ya kiwango.
Kwahiyo nashauri tufanye kauchunguzi kwanza kabla ya kuendelea kuwabeza kwani huenda tunawakatisha tamaa bila kujua.
Narudiia, haingii akilini unless ni makusudi na kama sio makusudi, basi hili ni janga kubwa kwa nchi yetu.
Bado sitaki kuamini kama kweli wamekosea kwani hayo makosa sio typing error useme wamekosea bali nahisi kuna jambo.
Uki-type kwa kutumia word na ukakosea spelling, si word inakuonyesha? Ina maana hata microsoftword hawajasoma?
Tukumbuke kuna watu huto siri juu ya yanayoendelea na kuwajulisha makamanda wetu- tutafakari.
Tuunganishe dot pia kuhusu hoja ya Mwanasesere kutoka kwa Mr. Slow slow.
Hivyo, nahisi huenda baadhi yao hawafurahii haya mambo,.ila wanafanya kwa kulazimishwa tu na matokeo yake na wao wanamua kufanya kazi chini ya kiwango.
Kwahiyo nashauri tufanye kauchunguzi kwanza kabla ya kuendelea kuwabeza kwani huenda tunawakatisha tamaa bila kujua.
Narudiia, haingii akilini unless ni makusudi na kama sio makusudi, basi hili ni janga kubwa kwa nchi yetu.
Bado sitaki kuamini kama kweli wamekosea kwani hayo makosa sio typing error useme wamekosea bali nahisi kuna jambo.
Uki-type kwa kutumia word na ukakosea spelling, si word inakuonyesha? Ina maana hata microsoftword hawajasoma?
Tukumbuke kuna watu huto siri juu ya yanayoendelea na kuwajulisha makamanda wetu- tutafakari.
Tuunganishe dot pia kuhusu hoja ya Mwanasesere kutoka kwa Mr. Slow slow.