Chadema hawajui kula na kipofu sijui shida ni elimu ndogo au?

Chadema hawajui kula na kipofu sijui shida ni elimu ndogo au?

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Rais Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa Magufuli wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima ifuatwe.

Badala ya CHADEMA kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira pia wao wakaanza kuvurumisha mitusi tu tena kwa huyo huyo aliyeonesha positive altitute

Ikumbukwe hawa ndo CHADEMA waliwalalamikia kudhulumu haki za watu hivyo mama akawasikiliza akatekeleza matakwa yao kwa kuwakwaza CCM. Sasa sijui hawakujua kama Rais Samia naye ni mtu na ana moho wa nyama.

Sasa kawarudisha wote tuone sasa Uchaguzi ujao kama.mtaambulia kiti hata kimoja. Sabaya yupo njiani kirudi.

CHADEMA ajifunzeni kula na kipofu na ukishikwa basi shikamana.
 
Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa jpm wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima iffatwe.

Badala ya chadema kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira pia wao wakaanza kuvurumish amitusi tu tena kwa huyo huyo aliyeonesha positive altitute

Samia akaenda mbali zaidi akamfungulia mashtaka sababa, happi naye akatimuliwa ukuu wa mkoa, makonda akawekwa pembeni. Ikumbukwe hawa ndo chadwma waliwalalamikia kudhulumu haki za watu hivyo mama akawasikiliza akatekeleza matakwa yao kwa kuwakwaza ccm. Sasa sijui hawakujua kama samia naye ni mtu na ana moho wa nyama.

Sasa kawarudisha wote tuone sasa uchavuzi ujao kama.mtaambulia kiti hata kimoja. Sabaya yupo njiani kirudi muanze kutobolewa tena kwa bisibisi.

Chadem ajifunzeni kula na kipofu na ukishikwa basi shikamana.
Uwe unasoma katiba. Hatutaki kuongozwa na Mzanzibari
 
Uwe unasoma katiba. Hatutaki kuongozwa na Mzanzibari
We unaona jpm alivyokuwa amepiga marufuku siasa zote za upinzani ili abaki peke yake anasifiwa ndo ilikuwa furaha ya chadema? Mbona walikuwa wanalialia sasa. Basi samia arudishe system ile aipige marufuku ya haya mimikutano ya matusi ya lisu
 
We unaona jpm alivyokuwa amepiga marufuku siasa zote za upinzani ili abaki peke yake anasifiwa ndo ilikuwa furaha ya chadema? Mbona walikuwa wanalialia sasa. Basi samia arudishe system ile aipige marufuku ya haya mimikutano ya matusi ya lisu
Samia ‘kipofu’? Umesahau hali ilivyokuwa mwanzoni Samia alipoingia madarakani na kudai kusahihisha makosa ya JPM. Alianza vizuri pamoja na kung’ang’ania kuendelea ‘kuisubirisha’ katiba mpya. Punde Mbowe akawekwa ndani kwa kesi feki ya ugaidi. ‘Moto’ ulipowaka akamtoa na kuanza ‘maridhiano’ ambayo hakuwa na dhamira nayo. Pia akaanza danadana mpya kuhusu katiba mpya.

Kifupi, spana za CHADEMA zimeanza baadaye sana baada ya kudhihirika kwa ghilba kubwa iliyokuwa Ikifanywa kuwatumia ili waonekane wako pamoja katika kuhujumu taifa na wananchi.
 
Samia ‘kipofu’? Umesahau hali ilivyokuwa mwanzoni Samia alipoingia madarakani na kudai kusahihisha makosa ya JPM. Alianza vizuri pamoja na kung’ang’ania kuendelea ‘kuisubirisha’ katiba mpya. Punde Mbowe akawekwa ndani kwa kesi feki ya ugaidi. ‘Moto’ ulipowaka akamtoa na kuanza ‘maridhiano’ ambayo hakuwa na dhamira nayo. Pia akaanza danadana mpya kuhusu katiba mpya.

Kifupi, spana za CHADEMA zimeanza baadaye sana baada ya kudhihirika kwa ghilba kubwa inayofanywa kuwatumia kufanya waonekane wako pamoja katika kuhujumu taifa na wananchi.
Sasa tuone chadema kama watatoboa tema. Mama kazima masikio kabisa hataki kuwasikia
 
Jpm si ndo aliinzisha samia akamfungulia
Nashangaa mleta mada anasema mama alikerwa na matendo ya JPM. Kwangu mimi ukitoa mambo ya viroba na nidhamu serikalini mengine yote wako sawa.
 
Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa jpm wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima iffatwe.

Badala ya chadema kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira pia wao wakaanza kuvurumish amitusi tu tena kwa huyo huyo aliyeonesha positive altitute

Samia akaenda mbali zaidi akamfungulia mashtaka sababa, happi naye akatimuliwa ukuu wa mkoa, makonda akawekwa pembeni. Ikumbukwe hawa ndo chadwma waliwalalamikia kudhulumu haki za watu hivyo mama akawasikiliza akatekeleza matakwa yao kwa kuwakwaza ccm. Sasa sijui hawakujua kama samia naye ni mtu na ana moho wa nyama.

Sasa kawarudisha wote tuone sasa uchavuzi ujao kama.mtaambulia kiti hata kimoja. Sabaya yupo njiani kirudi muanze kutobolewa tena kwa bisibisi.

Chadem ajifunzeni kula na kipofu na ukishikwa basi shikamana.
Kwa hiyo CDM wanafanyiwa hisani na SSH?Kunahitajika darasa.Huoni kwamba SSH ameamua kuwa na afya?Angeendeleza ya bwana yule na yeye angekufa kwa "pulesha"!
 
Sasa tuone chadema kama watatoboa tema. Mama kazima masikio kabisa hataki kuwasikia
Sawa. Yote sawa. CHADEMA ‘kula naye’ au la kama akili yako inavyodai hakuna tija yoyote. Yule sio kipofu. Wangejichanganya wangeishia kufanywa ’mabwege mtozeni’ wa siasa.

Hii ya masikio kuzibwa si habari mpya. Yalikuwa ‘yamezibwa’ tangu awali. Btw ni metaphor tu. Miaka yote CCM wanazisaka habari za CHADEMA usiku na mchana hadi vijiweni. CHADEMA kutoboa au kutotoboa ni majaliwa mengine sio hizi porojo.
 
Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa jpm wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima iffatwe.

Badala ya chadema kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira pia wao wakaanza kuvurumish amitusi tu tena kwa huyo huyo aliyeonesha positive altitute

Samia akaenda mbali zaidi akamfungulia mashtaka sababa, happi naye akatimuliwa ukuu wa mkoa, makonda akawekwa pembeni. Ikumbukwe hawa ndo chadwma waliwalalamikia kudhulumu haki za watu hivyo mama akawasikiliza akatekeleza matakwa yao kwa kuwakwaza ccm. Sasa sijui hawakujua kama samia naye ni mtu na ana moho wa nyama.

Sasa kawarudisha wote tuone sasa uchavuzi ujao kama.mtaambulia kiti hata kimoja. Sabaya yupo njiani kirudi muanze kutobolewa tena kwa bisibisi.

Chadem ajifunzeni kula na kipofu na ukishikwa basi shikamana.
Kwa hiyo unataka kiwe chama cha kula na kipofu kipate tu posho na favor au sio..
 
Samia ‘kipofu’? Umesahau hali ilivyokuwa mwanzoni Samia alipoingia madarakani na kudai kusahihisha makosa ya JPM. Alianza vizuri pamoja na kung’ang’ania kuendelea ‘kuisubirisha’ katiba mpya. Punde Mbowe akawekwa ndani kwa kesi feki ya ugaidi. ‘Moto’ ulipowaka akamtoa na kuanza ‘maridhiano’ ambayo hakuwa na dhamira nayo. Pia akaanza danadana mpya kuhusu katiba mpya.

Kifupi, spana za CHADEMA zimeanza baadaye sana baada ya kudhihirika kwa ghilba kubwa iliyokuwa Ikifanywa kuwatumia ili waonekane wako pamoja katika kuhujumu taifa na wananchi.
huo moto aliuwasha nani, nyumbu ni nyumbu tu,
 
Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa jpm wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima iffatwe.

Badala ya chadema kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira pia wao wakaanza kuvurumish amitusi tu tena kwa huyo huyo aliyeonesha positive altitute

Samia akaenda mbali zaidi akamfungulia mashtaka sababa, happi naye akatimuliwa ukuu wa mkoa, makonda akawekwa pembeni. Ikumbukwe hawa ndo chadwma waliwalalamikia kudhulumu haki za watu hivyo mama akawasikiliza akatekeleza matakwa yao kwa kuwakwaza ccm. Sasa sijui hawakujua kama samia naye ni mtu na ana moho wa nyama.

Sasa kawarudisha wote tuone sasa uchavuzi ujao kama.mtaambulia kiti hata kimoja. Sabaya yupo njiani kirudi muanze kutobolewa tena kwa bisibisi.

Chadem ajifunzeni kula na kipofu na ukishikwa basi shikamana.
Wasalaam
ingekuwa busara kama ungeandika hapa mfano wa matusi japo kwa uchache ambayo chadema walishawahi kutukana na je siyo kweli kwamba anayetukana hadharani anapaswa kushtakiwa na kufungwa?
huyo sabaya sasa yupo wapi? makonda yupo wapi? happy je?
KAMA UMEJINGISHWA UMEJINGISHWA WEWE KAMWE USITHUBUTU KUWAJINGISHA WENGINE
 
Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa jpm wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima iffatwe.

Badala ya chadema kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira pia wao wakaanza kuvurumish amitusi tu tena kwa huyo huyo aliyeonesha positive altitute

Samia akaenda mbali zaidi akamfungulia mashtaka sababa, happi naye akatimuliwa ukuu wa mkoa, makonda akawekwa pembeni. Ikumbukwe hawa ndo chadwma waliwalalamikia kudhulumu haki za watu hivyo mama akawasikiliza akatekeleza matakwa yao kwa kuwakwaza ccm. Sasa sijui hawakujua kama samia naye ni mtu na ana moho wa nyama.

Sasa kawarudisha wote tuone sasa uchavuzi ujao kama.mtaambulia kiti hata kimoja. Sabaya yupo njiani kirudi muanze kutobolewa tena kwa bisibisi.

Chadem ajifunzeni kula na kipofu na ukishikwa basi shikamana.
Kuitafuna nchi tumewaachia ccm ndio maana tunataka kuzilinda rasilimali na mali za taifa kwa manufaa ya taifa na watanzania 🫠
 
Back
Top Bottom