Mama alivyoingia madarakani alionesha kuwapenda sana na kukubaliana na kila hoja yenu mkaamuona fala. Mlilalamika sana kuhusu sabaya na kwa kweli alikuwa tishio kwa uhai wa chama, mama akamtoa tena na kesi juu ili kauwaridhisha lakini mkamuona fala mkaanza kumtukana kupitia lisu na yule kichaa mdude.
Haya mlimsrma sana makonda na ni kweli alikuwa katili sana, mama hakutaoa kabisa kumsogeza kwenye serikali yake nyie mkamuona fala.
Mlilalamika sana kwamba mwendazake alikataza mikutano kibabe mama akasema no katiba lazima ifatwe nyie mkamuona fala.
Alikuja kwenye mkutano wa bavicha tena akawa mgeni rasmi baadae mkamuona fala kwa ktukana.
Aliwaondolea Ali hapi baada ta kumlalamikia sana nyie mkamuona fala
Sasa kaamua kuwarudisha wote amewaona nyie ni mataahira ndo shida ya kuongia kwenye siasa elimu yako form four au haieleweki.
Naskia na sabaya soon atakula teuzi ili mlionje joto la jiwe.