Akina lisu wanazitafuna kishenzi kwa kutumia ujinga wenu. Kishajenga masaki huko na bado anataka michango yenu. Wajinga ndo waliwaoKuitafuna nchi tumewaachia ccm ndio maana tunataka kuzilinda rasilimali na mali za taifa kwa manufaa ya taifa na watanzania 🫠
Vipi aliyejenga kibanda chake nchini mwake anaweza hata kukupangisha wewe na aliyeenda kujenga magorofa uswisi na kuhifadhi huko pesa zetu🤣Akina lisu wanazitafuna kishenzi kwa kutumia ujinga wenu. Kishajenga masaki huko na bado anataka michango yenu. Wajinga ndo waliwao
Wewe unadiriki kumuita Mh. Rais Samia kipofu,ama kweli huko CCM hamna adabu kabisa,Lucas Mwashambwa msikie kada mwenzako huku anamtweza Mh. Rais Samia,ruka naye huyu.Mama alivyoingia madarakani alionesha kuwapenda sana na kukubaliana na kila hoja yenu mkaamuona fala. Mlilalamika sana kuhusu sabaya na kwa kweli alikuwa tishio kwa uhai wa chama, mama akamtoa tena na kesi juu ili kauwaridhisha lakini mkamuona fala mkaanza kumtukana kupitia lisu na yule kichaa mdude.
Haya mlimsrma sana makonda na ni kweli alikuwa katili sana, mama hakutaoa kabisa kumsogeza kwenye serikali yake nyie mkamuona fala.
Mlilalamika sana kwamba mwendazake alikataza mikutano kibabe mama akasema no katiba lazima ifatwe nyie mkamuona fala.
Alikuja kwenye mkutano wa bavicha tena akawa mgeni rasmi baadae mkamuona fala kwa ktukana.
Aliwaondolea Ali hapi baada ta kumlalamikia sana nyie mkamuona fala
Sasa kaamua kuwarudisha wote amewaona nyie ni mataahira ndo shida ya kuongia kwenye siasa elimu yako form four au haieleweki.
Naskia na sabaya soon atakula teuzi ili mlionje joto la jiwe.
Ngoja Lucas amsikie.Kipofu tena? 🐼
Basi huna akiliNdiyo
Wapo watu ambao huwa wanadhani wao ndio wenye Hati Miliki ya hii Nchi. 😳😱 !Mwehu huyo wanadhani kila kitu hisani ya Rais. Katiba hawataki kbs kuijua.
Rais Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa Magufuli wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima ifuatwe.
Badala ya CHADEMA kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira pia wao wakaanza kuvurumisha mitusi tu tena kwa huyo huyo aliyeonesha positive altitute
Ikumbukwe hawa ndo CHADEMA waliwalalamikia kudhulumu haki za watu hivyo mama akawasikiliza akatekeleza matakwa yao kwa kuwakwaza CCM. Sasa sijui hawakujua kama Rais Samia naye ni mtu na ana moho wa nyama.
Sasa kawarudisha wote tuone sasa Uchaguzi ujao kama.mtaambulia kiti hata kimoja. Sabaya yupo njiani kirudi.
CHADEMA ajifunzeni kula na kipofu na ukishikwa basi shikamana.
Na wakishakufa Jamaa wanazitaifisha hizo pesa zilizofichwa 🤣Vipi aliyejenga kibanda chake nchini mwake anaweza hata kukupangisha wewe na aliyeenda kujenga magorofa uswisi na kuhifadhi huko pesa zetu🤣
Mama hakurudisha kwa hiari yake ila kwa mashinikizo na yangekuwa ni mashinikizo ya CDM wala asingerejesha mikutano ya hadhara ila ni mashikizo ya hao wanao wapa misaada na mikopo.Rais Samia alipoingia madarakani alionesha kukerwa na udictator wa Magufuli wa kukataza siasa za upinzani ispokuwa siasa zibaki zinafanywa na ccm tu. Hapo tukaona mikutano yote ilizimwa. Samia akasema no katiba lazima ifuatwe.
Badala ya CHADEMA kuona sasa mwanga umeonekana mana siasa ni ajira pia wao wakaanza kuvurumisha mitusi tu tena kwa huyo huyo aliyeonesha positive altitute
Ikumbukwe hawa ndo CHADEMA waliwalalamikia kudhulumu haki za watu hivyo mama akawasikiliza akatekeleza matakwa yao kwa kuwakwaza CCM. Sasa sijui hawakujua kama Rais Samia naye ni mtu na ana moho wa nyama.
Sasa kawarudisha wote tuone sasa Uchaguzi ujao kama.mtaambulia kiti hata kimoja. Sabaya yupo njiani kirudi.
CHADEMA ajifunzeni kula na kipofu na ukishikwa basi shikamana.