Ulitaka raia mwema au Tanzania Daima waandike?Taarifa kutoka daily news? Huo mtambo wa propaganda ndio unaniletea kama ushahidi?
Ulitaka raia mwema au Tanzania Daima waandike?
Kwa hiyo bro unataka wafanyeje?Kama wangeweza mapambano makali yasiyokoma pengine Kwa sasa wangeheshimiana.
Kwa hiyo bro unataka wafanyeje?
Waingie barabarani?
Chadema imekufa kifo cha mende tatizo inategemea mtu mmoja tu
Chama cha TANU ni taasisi
Amekufa nyerere
Amekufa mkapa
Amekufa magufuri
TANU inadunda tu
I know you wellHapana, nilitaka uhuru ndio niamini.
I know you well
Sina pesa ya kulaThanks for knowing me very well. Anything else for more assistance?
Sina pesa ya kula
😎. Nilijua utakuja huko. Maana ukishabanwa uongo wako unabakia kumwaga pumba.Nenda kanyeshee maua kwenye kaburi la dhalimu utalipwa upate hela ya mlo.
Be clear. Kwanza sio sahihi kulinganisha CHADEMA na CCM kuhusu kuchukua hatua. CCM si chama cha siasa; ni dola kamili. Taasisi na vyombo vyote vya dola vinapokea na kutekeleza amri za mwenyekiti wa CCM bila kuhoji.Salama Wakuu!
Kwa jinsi mambo nilivyoyakuta na yalivyosasa kuhusiana na Siasa za nchi hii, nadiriki kusema kuwa CHADEMA bado Sana katika kuchukua nchi.
Nimeanza kufuatilia Siasa mwaka 2005, mpaka sasa ni miaka 16. Sio miaka mingi ila pia sio michache Sana. Inatosha Kueleza Jambo.
Nikiwatazama CHADEMA, kisha nikiwaangalia Watanzania, alafu nikamalizia na CCM wenyewe. Ni wazi kuwa, CHADEMA bado Sana kuchukua nchi hii.
Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.
Kama ni kwenye riadha CHADEMA wanaziweza mbio fupi za Mita Mia, hapo wanaouwezo wa kukimbia Kwa Kasi kubwa wakashinda. Lakini mbio ndefu hakika CHADEMA wamethibitisha kuwa hawaziwezi. CCM wao wamejithibitishia kuwa wao ni mabingwa wa mbio ndefu.
CHADEMA kwenye Uwanja WA vita wapo kwenye kundi ambalo wanapenda ukanda wenye mashambulizi yaliyopoa, hawahimili ukanda wenye mashambulizi makali yasiyokoma.
CHADEMA wamepoa Kama uji wa dundi.
Mengi wanayoyapigania wameshindwa kuyapata, wanaishia kulalamika tuu.
Siku zote kwenye maisha, ukishakuwa upande wa mlalamikaji basi jua umekwisha.
CCM wao ni watu wakuchukua hatua. Hawalalamiki.
CHADEMA mkiendelea hivi kuwa Kama uji wa dundi, mtakatika vipande vipande.
Nawasilisha
Kama hawana uwezo mbona kupoteza muda wako kuandika ukrasa wote huo.Salama Wakuu!
Kwa jinsi mambo nilivyoyakuta na yalivyosasa kuhusiana na Siasa za nchi hii, nadiriki kusema kuwa CHADEMA bado Sana katika kuchukua nchi.
Nimeanza kufuatilia Siasa mwaka 2005, mpaka sasa ni miaka 16. Sio miaka mingi ila pia sio michache Sana. Inatosha Kueleza Jambo.
Nikiwatazama CHADEMA, kisha nikiwaangalia Watanzania, alafu nikamalizia na CCM wenyewe. Ni wazi kuwa, CHADEMA bado Sana kuchukua nchi hii.
Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.
Kama ni kwenye riadha CHADEMA wanaziweza mbio fupi za Mita Mia, hapo wanaouwezo wa kukimbia Kwa Kasi kubwa wakashinda. Lakini mbio ndefu hakika CHADEMA wamethibitisha kuwa hawaziwezi. CCM wao wamejithibitishia kuwa wao ni mabingwa wa mbio ndefu.
CHADEMA kwenye Uwanja WA vita wapo kwenye kundi ambalo wanapenda ukanda wenye mashambulizi yaliyopoa, hawahimili ukanda wenye mashambulizi makali yasiyokoma.
CHADEMA wamepoa Kama uji wa dundi.
Mengi wanayoyapigania wameshindwa kuyapata, wanaishia kulalamika tuu.
Siku zote kwenye maisha, ukishakuwa upande wa mlalamikaji basi jua umekwisha.
CCM wao ni watu wakuchukua hatua. Hawalalamiki.
CHADEMA mkiendelea hivi kuwa Kama uji wa dundi, mtakatika vipande vipande.
Nawasilisha
😎. Nilijua utakuja huko. Maana ukishabanwa uongo wako unabakia kumwaga pumba.
Nakujua vizuri mzee wa kuforce uongo.Hebu tulia ww bendera fuata maana huna ujualo.
Nakujua vizuri mzee wa kuforce uongo.
Ni Mjinga tu ndio Anaweza KUAMINI HIVYO Hata MKOLONI ALIMWAMBIA NYERERESalama Wakuu!
Kwa jinsi mambo nilivyoyakuta na yalivyosasa kuhusiana na Siasa za nchi hii, nadiriki kusema kuwa CHADEMA bado Sana katika kuchukua nchi.
Nimeanza kufuatilia Siasa mwaka 2005, mpaka sasa ni miaka 16. Sio miaka mingi ila pia sio michache Sana. Inatosha Kueleza Jambo.
Nikiwatazama CHADEMA, kisha nikiwaangalia Watanzania, alafu nikamalizia na CCM wenyewe. Ni wazi kuwa, CHADEMA bado Sana kuchukua nchi hii.
Hawana uwezo Kwa sababu, hawana uwezo wa kukaza, hawana uwezo wa mapambano makali ya Muda mrefu.
CHADEMA ni Kama watoto, ambao Sisi wanafasihi tunasemaga Ngoma ya watoto haikeshi.
Kama ni kwenye riadha CHADEMA wanaziweza mbio fupi za Mita Mia, hapo wanaouwezo wa kukimbia Kwa Kasi kubwa wakashinda. Lakini mbio ndefu hakika CHADEMA wamethibitisha kuwa hawaziwezi. CCM wao wamejithibitishia kuwa wao ni mabingwa wa mbio ndefu.
CHADEMA kwenye Uwanja WA vita wapo kwenye kundi ambalo wanapenda ukanda wenye mashambulizi yaliyopoa, hawahimili ukanda wenye mashambulizi makali yasiyokoma.
CHADEMA wamepoa Kama uji wa dundi.
Mengi wanayoyapigania wameshindwa kuyapata, wanaishia kulalamika tuu.
Siku zote kwenye maisha, ukishakuwa upande wa mlalamikaji basi jua umekwisha.
CCM wao ni watu wakuchukua hatua. Hawalalamiki.
CHADEMA mkiendelea hivi kuwa Kama uji wa dundi, mtakatika vipande vipande.
Nawasilisha