CHADEMA haya ndiyo mataifa mnaomba yaiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi

CHADEMA haya ndiyo mataifa mnaomba yaiwekee Tanzania vikwazo vya kiuchumi

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanakumbi.

CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.

Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe.

Utawala wa Sheria hautaki hivyo.

Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati.

Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.

Mpumbavu ni nani?

Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.

20210728_185248.jpg
 
Mlio mbambikia mnapaswa kufika na kuona mbambikiwa anafuraha au huzuni kiasi gani,ili furaha yenu itimie,vinginevyo mpate majibu kama mnatwanga maji kwenye kinu au mbinu mliyotumia ni uchwara.
 
Yaani nyie ma CCM ni waoga kuliko hata kunguru, kusikia tuu Mbowe amekwenda Mwanza kwenye kongamano la kudai katiba mpya woga ukawaingia, mkaamua kumbambika kesi ya ugaidi, duuuu
 
Wahenga walisema mkono mtupu haulambwi.......mnaogopa maji ya washawasha mkitegemea kuna mtu atakuja kuwasaidia....pambaneni na hali zenu na ka saccos kenu
 
Viongozi wa chadema sasa hivi wameishiwa mbinu za kukijenga na kukiimarisha chama kama ilivyokuwa enzi za kina dr Slaa, Zito, Prof Safari, Marando nk. Mbinu na sera walizobaki nazo viongozi ambao washauri wa chama ni kuwaomba wazungu waiwekee vikwazo nchi yao wenyewe.
 
Ukweli mbowe alikua na shutuma za kuweza kukamatwa wakati wowote ila serikali imekua inamstahi kwa kuepuka misuguano isiyokua ya lazima ila yeye akaona anaogopwa au nchi inawaogopa mabwana wa nje wa chadema. Kuna shutuma za muda mrefu za mbowe kuwadhuru watia nia wa cheo chake cha uenyekiti.

Hata kushambuliwa lissu kuna madai ya mbowe kuhusika. Ukweli lissu kukimbia nchi inawezekana ni kumuogopa mbowe. Anajidai kudai mbaya wake alikua magufuli kwa kua mabwana zao upinzani wanataka ionekane hivyo.

Kuondoka lema kwa kutoraka mara baada ya uchaguzi pengine ni hofu wangeweza kukamatwa wakati wowote kwa ugaidi dhidi ya maisha ya viongozi wa serikali.
 
Viongozi wa chadema sasa hivi wameishiwa mbinu za kukijenga na kukiimarisha chama kama ilivyokuwa enzi za kina dr Slaa, Zito, Prof Safari, Marando nk. Mbinu na sera walizobaki nazo viongozi ambao washauri wa chama ni kuwaomba wazungu waiwekee vikwazo nchi yao wenyewe.
Hao wote Abubakar kawafanyia Zengwe ili kulinda uenyekiti wake
 
CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.

Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe. Utawala wa Sheria hautaki hivyo...
Propaganda za kijinga sana hizi zinazotafuta kuwanasa "Wapumbavu" ambao ulionao akilini mwako.

Hiyo misaada ya hayo mataifa ndiyo unaiweka mbele kama uthibitisho wa hoja mbovu unayowasilisha hapa? Huelewi chochote juu ya mahusiano ya mataifa?

Kwa hiyo kwa mawazo yako hapo unataka kuwaaminisha 'wapumbavu' kutolewa misaada hiyo ni kuunga mkono ukandamizaji wa wananchi wa Tanzania unaofanywa na hao unaowashabikia hapa?
 
Viongozi wa chadema sasa hivi wameishiwa mbinu za kukijenga na kukiimarisha chama kama ilivyokuwa enzi za kina dr Slaa, Zito, Prof Safari, Marando nk. Mbinu na sera walizobaki nazo viongozi ambao washauri wa chama ni kuwaomba wazungu waiwekee vikwazo nchi yao wenyewe.
Sasa kama nchi yenyewe mizinguo ufanyeje? Wewe unafaidi mema ya nchi ndio maana umejaa upofu,
 
Eti huku buseresere watu wanasema mama Samia ndie aliemuua shujaa
 
Halafu wakiweka vikwazo ndio tutapata hela ya kuendeleza mchakato wa katiba mpya na kupunguza makali ya tozo?🤣🤸‍♂️🐒
 
Tunaamini kuwa Mwenyekiti wetu kafanyiwa Zengwe la kubambikiwa Kesi ya Ugaidi isiyokuwa na Dhamana ili akae Rumande kwa kipindi kirefu kama walivyofanyiwa Mashekhe wa Uamsho.

Ndio maana wanasema safari hii 'ataozea' ndani
Mungu tusaidie Mwenyekiti wetu atoke.
 
Propaganda za kijinga sana hizi zinazotafuta kuwanasa "Wapumbavu" ambao ulionao akilini mwako.

Hiyo misaada ya hayo mataifa ndiyo unaiweka mbele kama uthibitisho wa hoja mbovu unayowasilisha hapa? Huelewi chochote juu ya mahusiano ya mataifa?

Kwa hiyo kwa mawazo yako hapo unataka kuwaaminisha 'wapumbavu' kutolewa misaada hiyo ni kuunga mkono ukandamizaji wa wananchi wa Tanzania unaofanywa na hao unaowashabikia hapa?
Vuvuzela wewe mateka wa Mbowe.
 
Wanakumbi.

CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.

Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe. Utawala wa Sheria hautaki hivyo!

Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati. Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.

Mpumbavu ni nani?

Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.

View attachment 1872026
Yaani tuwekewe vikwazo vya uchumi na wao wanaishi humu humu [emoji1787]

Akili ni nywele kila mtu ana zake...wafuasi wa CHADEMA vilaza sana kwakweli [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wanakumbi.

CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.

Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe. Utawala wa Sheria hautaki hivyo!

Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati. Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.

Mpumbavu ni nani?

Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.

View attachment 1872026
Balozi wa Ujerumani mh.Heiss anasema "pongezi kwa serikali ya AWAMU ya 6 chini ya mh.Rais SSH kwa kuanza vyema kulijenga taifa ndani ya siku chache"......

YA NGOSWE MUACHIE NGOSWE

CHADEMA WAENDELEE KUUFUKUZA UPEPO.

#TujitokeziKuchanjwa
 
Vuvuzela wewe mateka wa Mbowe.
Wewe nikuite mateka wa nani? Nitakuacha ujitambulishe mwenyewe kwa hilo.

Lakini hilo lisiwe sababu ya kudhani kila anayepinga upuuzi wenu hapa ni lazima awe mateka wa mtu kama unavyojipambanua tokea umejiunga kwenye jukwaa hili la JF. Histori ipo inaonyesha ni nani mateka.

Sifa yako ni kuwa 'kilaza', kwa sababu hata 'uvuvuzela' kwa jinsi ulivyo mbovu ni nafuu zaidi.
 
Balozi wa Ujerumani mh.Heiss anasema "pongezi kwa serikali ya AWAMU ya 6 chini ya mh.Rais SSH kwa kuanza vyema kulijenga taifa ndani ya siku chache"......

YA NGOSWE MUACHIE NGOSWE

CHADEMA WAENDELEE KUUFUKUZA UPEPO.

#TujitokeziKuchanjwa
Kwa hiyo balozi anapongeza juhudi za kupambana na 'ugaidi'!
 
Back
Top Bottom