comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
KOSA LAKE NI LIPI?Una upumbavu mwingi sana umekujaa kichwani na ni ngumu na tena haiwezekani kuuondoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KOSA LAKE NI LIPI?Una upumbavu mwingi sana umekujaa kichwani na ni ngumu na tena haiwezekani kuuondoa
Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyamaWanakumbi.
CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.
Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe.
Utawala wa Sheria hautaki hivyo.
Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati.
Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.
Mpumbavu ni nani?
Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.
Kwahiyo utawala wa sheria unataka kubambikia?Wanakumbi.
CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.
Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe.
Utawala wa Sheria hautaki hivyo.
Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati.
Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.
Mpumbavu ni nani?
Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.
Huyo gaidi ndo alifanya kila njia Sabaya akamatwe maana Sabaya anayajua maovu yote ya MboweMlio mbambikia mnapaswa kufika na kuona mbambikiwa anafuraha au huzuni kiasi gani,ili furaha yenu itimie,vinginevyo mpate majibu kama mnatwanga maji kwenye kinu au mbinu mliyotumia ni uchwara.
Hivi unawajua madictator wewe una uhuru wa kujieleza mpaka rais unamuandika unavyotaka, nchi ya Dictator uandike hivi familia yako yote inapigwa shaba.Mtataga mabogaView attachment 1872246
wataanza kuelewa tu sasa hivi mbowe ndiyo kwaheri siasa zake za uharakati na waliobakihawana msaada wowote zaidi ya kukaa nyuma ya keyboard na kuandika hashtag free mboweWanakumbi.
CHADEMA wakiongozwa na Tundu Lissu, mmeayaona mataifa ambayo mnataka Tanzania iwekewe vikwazo vya kiuchumi.
Kesi ya Mbowe ipo Mahakamani, manachoweza kufanya kwa sasa ni kuitaka Judiciarytz kusimamia sheria na haki siyo Rais Samia, kusema aachiwe.
Utawala wa Sheria hautaki hivyo.
Bahati mbaya Chadema wasomi wengi wameikimbia sasa hivi chama kipo mikononi mwa wanaharakati.
Hawa ndiyo wamemponza Mbowe, wamemwambia apambane na serikali wapo nyuma yake hamna hata mmoja alifika hata kituo cha polisi kumjulia hali.
Mpumbavu ni nani?
Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.
Hahhahaa sass hivi mataifa yote ya Afrika yapo huru.Mbona Nyerere akiwa na Mandela walishinikiza serikali za Rhodesia na Afrika kusini ziwekewe vikwazo??? Au Mandela naye alipotoka??
Kwani South Africa haikuwa imepata uhuru kipindi Mandela anaomba vikwazo viwekwe??Hahhahaa sass hivi mataifa yote ya Afrika yapo huru.
Labda nikuulize swali kuna rais gani yupo na Mbowe Afrika?
Nyuma ya keyboard? Walioenda ubalozini jana walikua ni wana CCM ama?? Mnajisifia kumkomoa mtu kwa kesi ya ugaidi? Mbowe alifungwa miezi zaidi ya 9 kipindi cha JPM but alitetereka??wataanza kuelewa tu sasa hivi mbowe ndiyo kwaheri siasa zake za uharakati na waliobakihawana msaada wowote zaidi ya kukaa nyuma ya keyboard na kuandika hashtag free mbowe
Mkuu mbona hata wewe ni sehemu ya wapumbuvu?Mpumbavu ni Mtanzania yoyote anayemuamini mtu anajipambanua kama mwanaharakati za Haki za Binadamu na utawala Bora lakini harakati zake zinaelemea upande mmoja wa chama cha siasa. Kupandikiza chuki na kugawa watu matabaka ya uvyama.
Ningekuwa mpumbavu kweli ningeweza kumuangukia bi mkubwa wako kweli?Kwani South Africa haikuwa imepata uhuru kipindi Mandela anaomba vikwazo viwekwe??
Kuhusu Rais gani yupo naye.... Hairuhusuwi publicly ku endorse opposition party ya nchi nyingine ni kuingia sovereignity. But nachofahamu wana vyama marafiki ambazo baadhi zina Marais mfano CDU, ama NPP ya Ghana, recently walikua na ANC ya Kenya etc. So hawapo alone per se.
Wewe ndiyo ulikuwa unagaragara barabarani unalia?Nyuma ya keyboard? Walioenda ubalozini jana walikua ni wana CCM ama?? Mnajisifia kumkomoa mtu kwa kesi ya ugaidi? Mbowe alifungwa miezi zaidi ya 9 kipindi cha JPM but alitetereka??
Hakuna dikteta kma JPM.... Kama CHADEMA haikufa pale trust me haitowahi kufa milele. SSH ataondoka ma kuiacha mark my words
kaandamane tukuone kama mwana ume na kama hujaenda kuandamana wewe ni demu tu sawa na malaya wa barNyuma ya keyboard? Walioenda ubalozini jana walikua ni wana CCM ama?? Mnajisifia kumkomoa mtu kwa kesi ya ugaidi? Mbowe alifungwa miezi zaidi ya 9 kipindi cha JPM but alitetereka??
Hakuna dikteta kma JPM.... Kama CHADEMA haikufa pale trust me haitowahi kufa milele. SSH ataondoka ma kuiacha mark my words
Jibu swali walioenda jana ubalozini na mabango walikua nyuma ya keyboard?kaandamane tukuone kama mwana ume na kama hujaenda kuandamana wewe ni demu tu sawa na malaya wa bar
Kila taasisi ina kazi zake.... maadam ni mikutano ya ndani ambayo inaruhusiwa kikatiba sijaona shida kama kila chama kikiongelea ajenda zake which in turn CHADEMA yao ni katiba mpya na hii ni ajenda ipo kwenye ilani yao ya uchaguzi.Mbowe au CHADEMA kwa ujumla wanashindwa kuangalia nyakati nzuri za kufanya agenda zao.
Mm nilikuwa ni mtukutu sana kwa wazazi wangu katika mambo tofauti na mzee wangu alikuwa ni mtu mwenye EXPOSURE kubwa sn ktk maisha yake aliniambia maneno hadi leo hii yapo kichwani kwangu.
"Son ,Time is what really dictate any agenda , and if you don't know what time it is, you might be doing the right thing in wrong time and not getting the right thing."
Haya maneno hadi leo yamekaa kwenye akili yangu na mara nyingi sn naagalia kitu chochote nacho taka kufanya kwa wakati huo.
Sasa nikija kuangalia kwa Mbowe kuhusu harakati zake anafeli sn kuangalia nyakati
Mfano-
1)Harakati za kudai KATIBA kwa miaka mitano ya JPM hatukuona kuanzisha mikutano NCHI nzima kudai KATIBA.
2)RAIS wa awamu ya SITA hana hata miezi 6 ktk utawala wake na anahitaji so many transformation kwenye administration yake
3)DUNIA kwa sasa inahangaika na JINI CORONA attention yote ipo huko.
4)Uchumi wa wananchi wenyewe upo mahututi.
And so on ......
Lkn haya ni mawazo yangu tu mm binafsi kutokana na mm navyo ona.
Wakienda front mnakejeli wasipoenda oooh keyboard warriors!! you're getting old and irrelevant vita dhidi ya CHADEMA umeanza 2012 but mpaka sasa haijazaa matunda. Kama wassira na JPM walishindwa, aisee utakufa na chuki zako tu ila CHADEMA utaiacha ikiwa imara.Wewe ndiyo ulikuwa unagaragara barabarani unalia?
Likitokea hilo hizo NGOs zitakuwa zinamilikiwa na akina Mbowe, Msigwa, Lema nk. Zitageuka kuwa ni dili za kupiga pesa, na hizo pesa ili upate itabidi uanze kutafuta connections za watu wataokuwa na influence juu ya hao watoa pesa. TZ shida nyingi mzee, tatizo la TZ ni watu siyo katiba
TANGU ndugu Mbowe afunguliwe mashtaka ya UGAIDI hadi leo hatujaona ‘Official Statement’ kutoka Chadema kueleza msimamo wa chama na nini kitafanyika kumnusuru kiongozi wao.Wakienda front mnakejeli wasipoenda oooh keyboard warriors!! you're getting old and irrelevant vita dhidi ya CHADEMA umeanza 2012 but mpaka sasa haijazaa matunda. Kama wassira na JPM walishindwa, aisee utakufa na chuki zako tu ila CHADEMA utaiacha ikiwa imara.