Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Chama cha siasa siyo majengo. Ni WATU.Ndugu wanachadema,
Miongoni kwa mipango mikubwa iwe nikujenga ofisi za chama (CHADEMA HQ)
Hapa ni mapendekezo ya mikoa:
1. MOROGORO
2. SINGIDA
3. KIBAHA.
4. DODOMA.
Kipaumbele ni No 1
Litafutwe eneo kubwa nje ya mji.
Maoni yangu,
Maoni yako je
Kuna chama kina majengo mpaka viwanja vya michezo lakini kinakosa WATU MAKINI.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app