Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idyodyomiya moko iyo..siku ya wananchi l
Sasa!? Baaasi...!!!!Wananchi kupangiwa viongozi wa kuwaongoza-sasa basi.
HILO NDIYO HITAJI LETU KUU KWA SASAKampeni mtu unatakiwa ueleze changamoto za mahali husika na utakavyotatua
CHADEMA Mbagala mbunge wao hajakatwa na tume lakini CHADEMA imewaeleza kuwa kipaumbele ni kurudishwa wabunge waliokatwa na tume.
Je hilo ndilo hitaji la watu wa Mbagala?
Tunasubiri kwa hamu kuwaona barabarani makamanda mkipinga hilo msiishie tu kwenye keyboardWananchi kupangiwa viongozi wa kuwaongoza-sasa basi.
Asilimia kubwa wanaounga mkono CCM ni wajinga na masikini!Hii ni kwa mujibu wa tafiti!Sasa wewe unawwza ukawa na akili timamu ila ni mjinga!Kuwaelewa chadema inahitaji kuwa na upunguvu wa akili, wenye akili timamu tunawapuuza tu.
Kwa hio wale moliokua nao jana mbagala ndo Wana akili kulio wengine si ndio!. Yaani watu wenye akili badala ya kwenda kuambiwa sera, wanaambiwa mambo ya kukatwa sijui nin! Kam ni hivyo mmefeli sana!.Asilimia kubwa wanaounga mkono CCM ni wajinga na masikini!Hii ni kwa mujibu wa tafiti!Sasa wewe unawwza ukawa na akili timamu ila ni mjinga!
Swali lako ni la kitoto, unakwenda kwenye uchaguzi ili umchague mwakilishi wako serikalini na kisha Rais wa nchi, uchaguzi hautakuwa na maana kama hautaweza kumchagua mwakilishi mtu atakayekuwakilisha serikalini na huo ndiyo umuhimu wa kwanza wa uchaguzi. Mwisho chama hakikuenda Mbagala kwa ajili ya kumnadi mgombea wao wa ubunge wa Mbagala, kilienda kujinadi urais na ubunge, chama kikishinda urais na kikose wabunge basi kitaunda serikali dhaifu.Kampeni mtu unatakiwa ueleze changamoto za mahali husika na utakavyotatua
CHADEMA Mbagala mbunge wao hajakatwa na tume lakini CHADEMA imewaeleza kuwa kipaumbele ni kurudishwa wabunge waliokatwa na tume.
Je hilo ndilo hitaji la watu wa Mbagala?
Kwahiyo masikio yako yalisikia hayo tu?Bora hao kuliko hawa wanaoenda kushangaa wasanii!Kwa hio wale moliokua nao jana mbagala ndo Wana akili kulio wengine si ndio!. Yaani watu wenye akili badala ya kwenda kuambiwa sera, wanaambiwa mambo ya kukatwa sijui nin! Kam ni hivyo mmefeli sana!.
Hawaendi kushangaa wasanii , wanaenda kusikiliza sera nzuri za CCM !. Wasanii ni sehemu ya hamasa tu!. Hakuna kampeni bila hamasa , Cdm mmefeli kuanzia kwenye hamasa hadi mikakati ya uchaguzi!.. Kwani ninyi mlishindwa kuwatumia hao wasanii?.Kwahiyo masikio yako yalisikia hayo tu?Bora hao kuliko hawa wanaoenda kushangaa wasanii!
Hapo watu wanaenda kuangalia wasanii wakiperform bure!Mimi nilijua flyover na ndege ni hamasa tosha kama katibu mkuu wenu alivyosema uchaguzi huu hamtawatumia wasanii😂😂😂😂!Mambo ni magumu!!!!!!!!Hawaendi kushangaa wasanii , wanaenda kusikiliza sera nzuri za CCM !. Wasanii ni sehemu ya hamasa tu!. Hakuna kampeni bila hamasa , Cdm mmefeli kuanzia kwenye hamasa hadi mikakati ya uchaguzi!.. Kwani ninyi mlishindwa kuwatumia hao wasanii?.
Wasanii sio watu ? Hizo ni strategic za CCM, kampeni ni pamoja na burudani!. Hivi kwa akili zenu hata bila wasanii , unafikili CCM hii ya JPM watakua na watu kama mliokua nao ninyi mbagala?. Acheni uzwazwa.!Hapo watu wanaenda kuangalia wasanii wakiperform bure!Mimi nilijua flyover na ndege ni hamasa tosha kama katibu mkuu wenu alivyosema uchaguzi huu hamtawatumia wasanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!Mambo ni magumu!!!!!!!!
Ndio maana tunaona malori yako yanapakia watu huko mitaani Dodoma kuwapeleka uwanjani😁😁😁😁!Wasanii sio watu ? Hizo ni strategic za CCM, kampeni ni pamoja na burudani!. Hivi kwa akili zenu hata bila wasanii , unafikili CCM hii ya JPM watakua na watu kama mliokua nao ninyi mbagala?. Acheni uzwazwa.!
Leteni hizo picha za malori leo, sio kutuletea picha za monduli!!Ndio maana tunaona malori yako yanapakia watu huko mitaani Dodoma kuwapeleka uwanjani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!