Uchaguzi 2020 CHADEMA hivi hitaji kuu la wakazi wa Mbagala ni kurudishwa majina ya Wabunge waliokatwa na Tume?

Uchaguzi 2020 CHADEMA hivi hitaji kuu la wakazi wa Mbagala ni kurudishwa majina ya Wabunge waliokatwa na Tume?

Kampeni mtu unatakiwa ueleze changamoto za mahali husika na utakavyotatua

CHADEMA Mbagala mbunge wao hajakatwa na tume lakini CHADEMA imewaeleza kuwa kipaumbele ni kurudishwa wabunge waliokatwa na tume.

Je hilo ndilo hitaji la watu wa Mbagala?
Chadema Ni Kama wamestukiwa huu uchaguzi,hawajajipanga hawakuja na ilani
Nimeambiwa Halima Mdee kajichimbia ndio sasa eti anaandika ilani
 
Asilimia kubwa wanaounga mkono CCM ni wajinga na masikini!Hii ni kwa mujibu wa tafiti!Sasa wewe unawwza ukawa na akili timamu ila ni mjinga!
Kwa hiyo asilimia ya wale waliokuwa mbagala jana walikuwa matajili?
Kama matajili ndonhao wanaosikiliza ujinga wa mtu aliyechanganyikiwa sasa utajili hauna maana.
 
wewe mataga fanya upande lori uwahi kwenye mkutano wenu ukamuone Chuchu sijui Zuchu.
 
Kwa hiyo asilimia ya wale waliokuwa mbagala jana walikuwa matajili?
Kama matajili ndonhao wanaosikiliza ujinga wa mtu aliyechanganyikiwa sasa utajili hauna maana.
Mimi nimesema asilimia kubwa wanaounga mkono CCM ni masikini na wajinga,na hii ni kwa mujibu wa tafiti!Sasa hayo uliyoandika hapa mimi sijayasema!
 
Kwa hiyo asilimia ya wale waliokuwa mbagala jana walikuwa matajili?
Kama matajili ndonhao wanaosikiliza ujinga wa mtu aliyechanganyikiwa sasa utajili hauna maana.
Mimi nimesema asilimia kubwa wanaounga mkono CCM ni masikini na wajinga,na hii ni kwa mujibu wa tafiti!Sasa hayo uliyoandika hapa mimi sijayasema!
 
Kwa hiyo asilimia ya wale waliokuwa mbagala jana walikuwa matajili?
Kama matajili ndonhao wanaosikiliza ujinga wa mtu aliyechanganyikiwa sasa utajili hauna maana.

Miki sijadema hayo,nilichoeleza ni kile tafiti ilichoonesha!Asilimia kubwa wanaounga mkono CCM ni wajinga,masikini na waishio vijijini!
 
Kuwaelewa chadema inahitaji kuwa na upunguvu wa akili, wenye akili timamu tunawapuuza tu.

Tangia mwaka 1992 nikiwa darasa la kwanza nilikuwa nikimuona mtu yeyote anayeishabikia CCM kuwa hana akili na ni mtu asiyejiamini aneyependa mbeleko na mteremko tu katika maisha. Hiyo haijabadilka hadi leo hii.
 
Kampeni mtu unatakiwa ueleze changamoto za mahali husika na utakavyotatua

CHADEMA Mbagala mbunge wao hajakatwa na tume lakini CHADEMA imewaeleza kuwa kipaumbele ni kurudishwa wabunge waliokatwa na tume.

Je hilo ndilo hitaji la watu wa Mbagala?
Huu ni ujinga wako na wana ccm wenzako na wengine wenye akili mbovu za kuona ni sawa yanayoendelea NEC.
 
Back
Top Bottom