Uchaguzi 2020 CHADEMA hofu yatanda: Wajuta kumpendekeza Lissu kuwa mgombea Urais, Nyalandu ana ukwasi na sifa za kupeperusha bendera yao

Uchaguzi 2020 CHADEMA hofu yatanda: Wajuta kumpendekeza Lissu kuwa mgombea Urais, Nyalandu ana ukwasi na sifa za kupeperusha bendera yao

Kama NyaLandu anafaa kuwa Rais wa JMT kwnn msimshauri magufuri akampusha nyarandu ndani ya ccm ??
 
CCM NI CHAMA CHA WAPINZANI..
CCM INAWAPINGA WATANZANIA
CCM INAPINGA TUME HURU
CCM INAPINGA KATIBA MPYA
CCM INAPINGA KATIBA YA WANANCHI
CCM INAPINGA DEMOKRASIA
CCM INAPINGA UTAWALA WA SHERIA
 
Hakuna sababu kubwa ya kuingia gharama kumpigia Lissu kampeni maana wana ccm wenyewe watampigia kampeni bila wao kujijua. Matukio na vitendo wanavyofanyiwa wapinzani hasa CHADEMA ni kampeni tosha.
Hata wewe mleta uzi unampigia kampeni TUNDU LISSU.
 
Mgombea pekee atakaegombea na Maguful ni Membe full stop hiz ni habar za kuaminika kutoka kitengo nimepekua kutoka kwenye makabrashaya ndan kabisa mark my words
Nashangaa Kila kukicha Lisu Lisu Lisu Kati mnajua kabisa Hana madhara, kwanini msimseme Membe ambaye ndo mpinzan wa Meko

Lisuphobia
* Haki uinua Taifa*
 
Ukweli ni kuwa kwa sasa NEC (chini ya uratibu wa CCM) wanawaza utaratibu wa kuwaengua baadhi ya wagombea Urais na Ubunge.

Rejea maneno ya Nape... Kwamba ukiona unabweka sana lakini hujibiwi ujue yanayopangwa yanafikirisha... Ni huyo huyo Nape ndo aliropoka kuhusu goli la mkono... Ni huyo huyo aliropoka kuhusu kukata kichwa cha kobe.

Nipo hapa mtanambia.

Upinzani wa dhati ungeunganisha juhudi wakawa na wagombea wachache wenye nguvu kwenye Ubunge na mmoja wa kuaminika kwenye Urais... Ambayo ndo ilikuwa hofu ya CCM + NEC.

Anyway; wameaamua kufanya hesabu za kurahisisha!!
 
Lumumba mmepagawa sana,mmebaki kama kuku aliyekata kichwa!Propaganda mfu na za kipuuzi pelekeni kwa wajinga,sio hapa JF!Shame
 
This time around ndo watu mtaijua chadema!. Jamaa hawana mchezo mi niliamini hiki chama bado kipo sana baada ya kushuhudia mkutano wao mkuu mwaka jana jinsi ulivokuwa well coordinated na mahudhurio ya wajumbe wengi kutoka nchi zima na hii miaka 5 ya kupigwa Ban na sasa ndo wanapata tena fursa ya kuonge na wananchi hakika nyasi zitawaka moto
 
TL kawachanganya hasa. Mmejikuta hamna legal Avenue ya kumstop asiwavue nguo. Hamna strategy ya kiushindani kupambana naye. Zaidi ya kupanga uovu wa gizani kama mazowea yetu.

Si polisi, Usalama wa Taifa, wachawi wenu, death squad zenu, green guard. na kila nguvu ya giza mnayotumia vyote havifui safu.

Sembuse na vi propaganda uchwara hivi mnavyohangaika navyo huku kwenye social media? Hamtaweza. Wala msihangaike kuharibu amani ya nchi bure. Subirini mjaribu bahati yenu kwenye kujumlisha kura za urais ambapo siku zote huwa mnapitia.

Huku kwingine msipiteze muda. Mtaangamiza hili taifa na ninyi wote hamtafaidi lolote.

Hivi mbona hamjadili matatizo makubwa yanayownyemelea ndani ya CCM? Myaivuka hiyo mitego mliyowekewa? Mlifocus kwa wapinzani mkasahau mlivyo weak ndani. Mmeingiziwa wapiga kazi ndani na hamtoki salama. Huenda game mkaimaliza wenyewe huko bila hata TL kutumia nguvu nyingi kwenye kampeni.

Endeleeni mtagundua.
 
Walijua tu kwamba hakuna haja ya kuwa na mgombea wa maana. Wanajua hakuna nafasi ya kushimnda. Nafasi hiyo ingekuwepo unadhani Mbowe angemwachia Lissu? Si uliona nafasi ya M/kiti?

CDM siyo mara ya kwanza kupitisha mtu asiye mwenyekiti kugombea Mbowe hana tamaa ya hivo kumbuka Dr Slaa
 
Siyo anahofia ana vyanzo vyake vya habari unafikiri hii nchi unagombea bila kuwa na base wale wanaopenda atawale ndiyo wanatoa taarifa za mipango ya kumuhujumu ndiyo maana inabidi asema anafahamu wanachopanga kufanya ili kupunguza joto la uchaguzi
 
Nahisi imefika muda sasa mods muanze kuondoa watu humu jamii forum ili neno THE HOME OF GREAT THINKERS liendelee kubaki na thamani ..hivi mtu km aliyepost huu uchafu na yy ni member...sasa hapo unasoma ili upate mawazo gani ...kwa sbb yote aliyoandika ukiwa na kichwa kisafi hakuna hata moja lenye uhalisia..propaganda km za kunadi kiranja mkuu wa shule
Jamaa umewaza vizuri sana. Kuna haja ya watu kujitathmini humu kama wanafaa kuendelea kuwepo au waende fb.
 
Muoga huongea sana kuliko vitendo, na Kama hamuogopi mbona mnamsakama Sana? Watanzania ni watu wenye akili timamu naomba mlujue Hilo.
 
Mie sifokei mtu hapa ila kwa.mawazo yangu ili mr Lissu apate kupona .wamuache apige mayowe anavyoweza mwisho yote yataisha kichwani na atarudia hali ya kawaida .
 
Lumumba bhana ndo maana mnaopigana mitama kwasababu hakuna hata mmoja mwenye busara
 
Back
Top Bottom