CHADEMA hoi bin taaban, wamekosa hoja ya kuikosoa CCM hawajulikani wapo upande gani kama ni wapinzani au sio wapinzani

CHADEMA hoi bin taaban, wamekosa hoja ya kuikosoa CCM hawajulikani wapo upande gani kama ni wapinzani au sio wapinzani

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Tunajua ni kawaida chama cha upinzani kukosoa serikali iliyopo madarakani inapokosea kutumikia wananchi.

Chadema sasa kama wapinzani wanaona CCM ya sasa haina makosa maana hatusikii wakikosoa na hii ni jibu kuwa wanaridhika namna CCM inavyotekeleza ilani yake.

Wamebaki kukomalia habari na dosari zilizotokea wakati hayati JPM yupo madarakani huku wakikomaaa kana kwamba zitawasaidia maana ni ishu za huko nyuma kabisa kwa sasa haziwezi kuwabeba.

Mf uwanja wa ndege Chato unawauma sana kana kwamba sio mali ya umma.
 
Tunajua mnataka kupata maoni na hisia ya watanzania juu ya blunders ya CCM kupitia CDM ili muitishe CC ya dharura. Kwendeni zenu. Endeleeni kuupiga mwingi bele kwa mbele
Kwa nini iwe hivyo? Huu ndio ukweli kamanda
 
Kwa hiyo mama anafanya vitu vizuri mpka chadema wanashindwa ku jaji?
 
Tunajua ni kawaida chama cha upinzani kukosoa serikali iliyopo madarakani inapokosea kutumikia wananchi...
Wewe huamini mama yako anafanya vizuri sana hadi unahimiza watu wamkosoe?
 
Kaka tushughulike na agenda. CHADEMA hawasabibishi mafuta yapande bei. Tusitengeneze vichaka vya kujifichia.
 
Tunajua ni kawaida chama cha upinzani kukosoa serikali iliyopo madarakani inapokosea kutumikia wananchi.

Chadema sasa kama wapinzani wanaona CCM ya sasa haina makosa maana hatusikii wakikosoa na hii ni jibu kuwa wanaridhika namna CCM inavyotekeleza ilani yake.

Wamebaki kukomalia habari na dosari zilizotokea wakati hayati JPM yupo madarakani huku wakikomaaa kana kwamba zitawasaidia maana ni ishu za huko nyuma kabisa kwa sasa haziwezi kuwabeba.

Mf uwanja wa ndege Chato unawauma sana kana kwamba sio mali ya umma.
Hamia burundi kama unakereka🤣🤣
 
Back
Top Bottom