Mkoko kisu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 757
- 803
2025 viti vya udiwan na ubunge ndo vitatoa jibu kamili chadema ipo au imekufa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapuuzi nyie na chato yenu mnashiriki mauaji aliyofanya kwa hoja zenu mbovu.Tunajua ni kawaida chama cha upinzani kukosoa serikali iliyopo madarakani inapokosea kutumikia wananchi.
Chadema sasa kama wapinzani wanaona CCM ya sasa haina makosa maana hatusikii wakikosoa na hii ni jibu kuwa wanaridhika namna CCM inavyotekeleza ilani yake.
Wamebaki kukomalia habari na dosari zilizotokea wakati hayati JPM yupo madarakani huku wakikomaaa kana kwamba zitawasaidia maana ni ishu za huko nyuma kabisa kwa sasa haziwezi kuwabeba.
Mf uwanja wa ndege Chato unawauma sana kana kwamba sio mali ya umma.
Kwani Chadema hawataki kuwa madarakani? Kama hawataki kuwa kwenye siasa si wangeomba chama chao kifutwe?Roho zinawauma CDM kukaa kimya?
Sasa si nyie ACT mkosoe kwani lazima CHADEMA pekee?Tunajua ni kawaida chama cha upinzani kukosoa serikali iliyopo madarakani inapokosea kutumikia wananchi.
Chadema sasa kama wapinzani wanaona CCM ya sasa haina makosa maana hatusikii wakikosoa na hii ni jibu kuwa wanaridhika namna CCM inavyotekeleza ilani yake.
Wamebaki kukomalia habari na dosari zilizotokea wakati hayati JPM yupo madarakani huku wakikomaaa kana kwamba zitawasaidia maana ni ishu za huko nyuma kabisa kwa sasa haziwezi kuwabeba.
Mf uwanja wa ndege Chato unawauma sana kana kwamba sio mali ya umma.
Si wawambie ACT wakosoeSi mmesema chadema imekufa sasa mnawashwa washwa na nini? Hebu tulizeni umalaya wa kisiasa basi ebo.
Si kuna TLP, CUF, ACT nk na wakati mlishasema CHADEMA haipo imekufaKwani Chadema hawataki kuwa madarakani? Kama hawataki kuwa kwenye siasi si wangeomba chama chao kivutwe?
Akili zako zipo matakoniTunajua ni kawaida chama cha upinzani kukosoa serikali iliyopo madarakani inapokosea kutumikia wananchi.
Chadema sasa kama wapinzani wanaona CCM ya sasa haina makosa maana hatusikii wakikosoa na hii ni jibu kuwa wanaridhika namna CCM inavyotekeleza ilani yake.
Wamebaki kukomalia habari na dosari zilizotokea wakati hayati JPM yupo madarakani huku wakikomaaa kana kwamba zitawasaidia maana ni ishu za huko nyuma kabisa kwa sasa haziwezi kuwabeba.
Mf uwanja wa ndege Chato unawauma sana kana kwamba sio mali ya umma.
Kivutwe kupelekwa wapi?Kwani Chadema hawataki kuwa madarakani? Kama hawataki kuwa kwenye siasi si wangeomba chama chao kivutwe?