Pre GE2025 CHADEMA ifanye mabadiliko ya katiba kumaliza mnyukano wa kugombea madaraka katika chama

Pre GE2025 CHADEMA ifanye mabadiliko ya katiba kumaliza mnyukano wa kugombea madaraka katika chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na performance baada ya uchaguzi.

CHADEMA kuwa inafanya mabadiliko ya uongozi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu au wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi ni kosa kubwa la kimkakati linalowagharimu sasa.

Kinachopaswa sasa ni kufanya mabadiliko ya haraka ya katiba ya CHADEMA kufanya ratiba ya uchaguzi wa ndani ya chama kuwa miezi miwili baada ya uchaguzi mkuu mkuu wa Taifa.

Uchaguzi uliopo uendelee kama kawaida, Mbowe na Wenje wajitoe kwa sasa lakini uchaguzi mwingine wa chama ufanyike January 2026 baada ya uchaguzi mkuu wa taifa na huo ndio utaratibu kwamba uchaguzi wa chama unafanyika muda mfupi baada tu ya uchaguzi mkuu.

Kwa mabadiliko haya wanachama wa CHADEMA watakuwa na kipindi cha kutosha cha mwaka mmoja kumpima Lissu, wakiona amewafaa katika uchaguzi mkuu wa 2025 watamrudisha tena January 2026, wakiona hatoshi watamuondoa kumrudisha Mbowe na timu yake au kuchagua watu wengine kabisa ambao wataenda nao mpaka uchaguzi wa 2030. Hapo kila mtu anakuwa ni mshindi bila kuigawanya au kuisambaratisha CHADEMA.
 
Sijaelewa hapo uliposema uchaguzi mwingine uwe Jan 26,Hawa akina Lisu watakuwa wamekaa mwaka 1 tu!?
 
Sijaelewa japo uliposema uchaguzi mwingine use Jan 26,Hawa akina Lisu watakuwa wamekaa mwaka 1 tu!?
Ndio, wakubaliane tu uongozi wa sasa uwe kama wa mpito wa mwaka mmoja.
 
Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na performance baada ya uchaguzi.

CHADEMA kuwa inafanya mabadiliko ya uongozi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu au wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi ni kosa kubwa la kimkakati linalowagharimu sasa.

Kinachopaswa sasa ni kufanya mabadiliko ya haraka ya katiba ya CHADEMA kufanya ratiba ya uchaguzi wa ndani ya chama kuwa miezi miwili baada ya uchaguzi mkuu mkuu wa Taifa.

Uchaguzi uliopo uendelee kama kawaida, Mbowe na Wenje wajitoe kwa sasa lakini uchaguzi mwingine wa chama ufanyike January 2026 baada ya uchaguzi mkuu wa taifa na huo ndio utaratibu kwamba uchaguzi wa chama unafanyika muda mfupi baada tu ya uchaguzi mkuu.

Kwa mabadiliko haya wanachama wa CHADEMA watakuwa na kipindi cha kutosha cha mwaka mmoja kumpima Lissu, wakiona amewafaa katika uchaguzi mkuu wa 2025 watamrudisha tena January 2026, wakiona hatoshi watamuondoa kumrudisha Mbowe na timu yake au kuchagua watu wengine kabisa ambao wataenda nao mpaka uchaguzi wa 2030. Hapo kila mtu anakuwa ni mshindi bila kuigawanya au kuisambaratisha CHADEMA.
Huu ni ushauri mzuri hata mimi niliwahi kushauri Pascal Mayalla: CHADEMA watengeneze kwanza Katiba mpya ya chama chao kabla ya kukimbilia katiba ya nchi, wawatendee haki wabunge 19 tena hii katiba ya Chadema, tulianza nayo mbali Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
P
 
Shukrani mkuu,naunga mkono hoja.Mfano Lisu akipita ,na uchaguzi mkuu ujao chadema ikashindwa,maana yake itakuwa kwake rahisi kujitetea kwamba matokeo haha ni ya mtangulizi wake,kwani yeye ana muda mfupi tangu aingie
 
Shukrani mkuu,naunga mkono hoja.Mfano Lisu akipita ,na uchaguzi mkuu ujao chadema ikashindwa,maana yake itakuwa kwake rahisi kujitetea kwamba matokeo haha ni ya mtangulizi wake,kwani yeye ana muda mfupi tangu aingie
Kama wajumbe wengi watakaopiga kura January 2026 wataona huo utetezi wake ni sahihi na ana hoja ya msingi watamchagua tena aanze rasmi kukitumikia kipindi cha miaka mitano mpaka January 2031, wakiona hana hoja watamuondoa na wamchague mtu mwingine.
 
Tundu Lisu amekuwa busy kushauri mabadiriko katiba ya nchi, nilidhani katiba ya chadema iko perfect.

Leo anagombea nfio anakosoa, wakati alikuwa humo kwa miaka 20 kwa mujibu wake mwenyewe, nashindwa kuamini chama anamoishi kunakuwa na katiba mbovu, kwa umahiri wake kukosoa katiba ya nchi.

Kwa nafasi yake angeweza kuifanya ikawa msahafu, au ndio ilikuwa strategy yake aje atumie ubovu wa katiba ya chadema kufanya campaign?
 
Hatutengenezi katiba ya nchi kwa kurejea au kulingana na katiba za vyama vya siasa, SACCOS, timu za mpira, makanisa, misikiti n.k Katiba ya nchi ni top-down approach, sio bottom up approach. Hata kama katiba za Simba na Yanga ni mbovu sana bado wanachama wa hizo timu wana haki ya kudai katiba bora ya nchi.
 
Achana na huo wa Jan 2026 ambao umeshauri,twende na huu wa Jan 2025 ambao utarudiwa Jan 2030.
Maana yake atakayeshinda Jan2025 tuseme Lisu amepita,atakuwa na miezi kama name tu ya utendaji wake halafu anaenda kupambanishwa na CCM.
Chama kikipata matokeo mabaya atanyooshewa kidole nani!?
Yeye aliyekaa miezi 8 tu au mtangulizi wake?
Hapo ndipo ushauri wako unapokuwa na mantiki
 
Tundu Lisu amekuwa busy kushauri mabadiriko katiba ya nchi, nilidhani katiba ya chadema iko perfect.

Leo anagombea nfio anakosoa, wakati alikuwa humo kwa miaka 20 kwa mujibu wake mwenyewe, nashindwa kuamini chama anamoishi kunakuwa na katiba mbovu, kwa umahiri wake kukosoa katiba ya nchi.

Kwa nafasi yake angeweza kuifanya ikawa msahafu, au ndio ilikuwa strategy yake aje atumie ubovu wa katiba ya chadema kufanya campaign?
Nina wasiwasi kama kweli umekuwa ukimsikiliza Lissu kwa umakini.
 
Nina wasiwasi kama kweli umekuwa ukimsikiliza Lissu kwa umakini.
Anaongea sana, ningumu sana ku mfuatilia kila sehemu. Na vingi anavyoongea hatoi ushahidi, nashindwa kumuelewa nyakati zingine.

Sidhani kama unahitaji kuwa mwenyekiti chadema kurekebisha katiba ya chama, kama inamapungufu.

Na siyo katiba tu chochote kilicho kaa ndivyo sivyo. Nashangaa anapokosoa mambo nje ya chama ambacho yeye ni makamu mwenyekiti.
 
Achana na huo wa Jan 2026 ambao umeshauri,twende na huu wa Jan 2025 ambao utarudiwa Jan 2030.
Maana yake atakayeshinda Jan2025 tuseme Lisu amepita,atakuwa na miezi kama name tu ya utendaji wake halafu anaenda kupambanishwa na CCM.
Chama kikipata matokeo mabaya atanyooshewa kidole nani!?
Yeye aliyekaa miezi 8 tu au mtangulizi wake?
Hapo ndipo ushauri wako unapokuwa na mantiki
Kipimo cha uongozi wowote utakoingia CHADEMA January 2025 ni jinsi itakavyoundea uchaguzi mkuu wa October 2025, hakuna hiko kisingizio cha kwamba umekaa muda mchache. Kama unafikiri mwaka mmoja haukutoshi kujiandaa kwa uchaguzi mkuu basi hupaswi kugombea.

Pia kunapokuwa na mzozo lazima mfanye makubaliano kwa manufaa ya taasisi na hapo inabidi kila mmoja kukubali kupoteza baadhi ya mambo.
 
Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na performance baada ya uchaguzi.

CHADEMA kuwa inafanya mabadiliko ya uongozi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu au wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi ni kosa kubwa la kimkakati linalowagharimu sasa.

Kinachopaswa sasa ni kufanya mabadiliko ya haraka ya katiba ya CHADEMA kufanya ratiba ya uchaguzi wa ndani ya chama kuwa miezi miwili baada ya uchaguzi mkuu mkuu wa Taifa.

Uchaguzi uliopo uendelee kama kawaida, Mbowe na Wenje wajitoe kwa sasa lakini uchaguzi mwingine wa chama ufanyike January 2026 baada ya uchaguzi mkuu wa taifa na huo ndio utaratibu kwamba uchaguzi wa chama unafanyika muda mfupi baada tu ya uchaguzi mkuu.

Kwa mabadiliko haya wanachama wa CHADEMA watakuwa na kipindi cha kutosha cha mwaka mmoja kumpima Lissu, wakiona amewafaa katika uchaguzi mkuu wa 2025 watamrudisha tena January 2026, wakiona hatoshi watamuondoa kumrudisha Mbowe na timu yake au kuchagua watu wengine kabisa ambao wataenda nao mpaka uchaguzi wa 2030. Hapo kila mtu anakuwa ni mshindi bila kuigawanya au kuisambaratisha CHADEMA.
Naunga mkono hoja....
 
Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na performance baada ya uchaguzi.

CHADEMA kuwa inafanya mabadiliko ya uongozi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu au wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi ni kosa kubwa la kimkakati linalowagharimu sasa.

Kinachopaswa sasa ni kufanya mabadiliko ya haraka ya katiba ya CHADEMA kufanya ratiba ya uchaguzi wa ndani ya chama kuwa miezi miwili baada ya uchaguzi mkuu mkuu wa Taifa.

Uchaguzi uliopo uendelee kama kawaida, Mbowe na Wenje wajitoe kwa sasa lakini uchaguzi mwingine wa chama ufanyike January 2026 baada ya uchaguzi mkuu wa taifa na huo ndio utaratibu kwamba uchaguzi wa chama unafanyika muda mfupi baada tu ya uchaguzi mkuu.

Kwa mabadiliko haya wanachama wa CHADEMA watakuwa na kipindi cha kutosha cha mwaka mmoja kumpima Lissu, wakiona amewafaa katika uchaguzi mkuu wa 2025 watamrudisha tena January 2026, wakiona hatoshi watamuondoa kumrudisha Mbowe na timu yake au kuchagua watu wengine kabisa ambao wataenda nao mpaka uchaguzi wa 2030. Hapo kila mtu anakuwa ni mshindi bila kuigawanya au kuisambaratisha CHADEMA.
Inategemea lakini
 
Uzi mzuri sana,ngoja wachambuzi wa mambo ya kisiasa waje kutoa maoni Yao pia.
 
Katika nchi nyingi za demokrasia halisi uongozi wa vyama vya siasa huwa unabadilishwa punde tu baada ya matokeo ya uchaguzi, hicho ndicho kipindi kizuri cha kufanya tathmini ya uongozi kutokana na performance baada ya uchaguzi.

CHADEMA kuwa inafanya mabadiliko ya uongozi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu au wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu wa nchi ni kosa kubwa la kimkakati linalowagharimu sasa.

Kinachopaswa sasa ni kufanya mabadiliko ya haraka ya katiba ya CHADEMA kufanya ratiba ya uchaguzi wa ndani ya chama kuwa miezi miwili baada ya uchaguzi mkuu mkuu wa Taifa.

Uchaguzi uliopo uendelee kama kawaida, Mbowe na Wenje wajitoe kwa sasa lakini uchaguzi mwingine wa chama ufanyike January 2026 baada ya uchaguzi mkuu wa taifa na huo ndio utaratibu kwamba uchaguzi wa chama unafanyika muda mfupi baada tu ya uchaguzi mkuu.

Kwa mabadiliko haya wanachama wa CHADEMA watakuwa na kipindi cha kutosha cha mwaka mmoja kumpima Lissu, wakiona amewafaa katika uchaguzi mkuu wa 2025 watamrudisha tena January 2026, wakiona hatoshi watamuondoa kumrudisha Mbowe na timu yake au kuchagua watu wengine kabisa ambao wataenda nao mpaka uchaguzi wa 2030. Hapo kila mtu anakuwa ni mshindi bila kuigawanya au kuisambaratisha CHADEMA.
Katiba ya taifa imeshindikana,chukua chako mapema yao wanabadili kimchongo ndio unataka kirahisi wenye uchungu na wenye kuthamini dira ya chama tarajiwa cha ukombozi wakurupuke kwenye katiba yao.Hadi walipo katiba yao ni bora ila uhuni wa jirani zao na uhuni wa mazingira yaliyotengenezwa nao unawahujumu kila hatua na kuwahujumu wananchi wenye nchi yao.
 
Back
Top Bottom