1. Mmiliki wa Jengo yupo wapi?
NANI NI MMILIKI WAJENGO.
2. Ramani za jengo ziko wapi??
Uokozi bila Ramani.
3. Ghorofa nne watu wanaokolewa siku nne na sio moja. TAIFA LIMEOZA.
4. Selikali ipo Radhi kununua Mabomu, magali ya Jeshi nk kuizuia CHADEMA na Inashindwa KUNUNUA VIFAA VYA UOKOAJI kwa Raia wake.
5. Niffer amejipeleka Kituoni, Yuko wapi mmliki wa Jengo.
6. Je ni nani aliyetoa vibali vya kujenga na kubomoa anakamatwa Niffer.
TANZANIA YANGU MASIKINI
ZIMA MOTO NA UOKOAJI NI SAWA NA HAKUNA KITU ZERO KABISA.
JESHI LIVUNJWE HARAKA
KARIAKOO HAKUNA PAKING HAKUNA OPEN SPACE HATA MOJA
MAJENGO MENGI KARIAKOO YAMEOZA