Waberoya
Kama ilivyo ainishwa juu hatuna chombo kinacho unganisha vyama vya siasa hapa nchni, vyama vikuu vya upinzani kwasasa ni CDM ikifuatiwa na CUF lakini CFU tayari imeunda serikali na CCM kwahiyo ni CCM kwa simple logic ya hesabu sasa wewe unataka chama gani tena, vile vingine vilikwisha tangaza adharani kuwa wao ni Kikwete na Kikwete ni CCM kumbuka wakati wa uchaguzi wale jamaa wa ajabu ajabu mimi hata majina siyakumbuki, walitangaza bila kuficha kuwa wao ni CCM "B" chama kingine ni NCCR hao nadhani hawajui kama kuna kitu kinaitwa Dowans labda kama wewe umewai kusikia wakiongea chocho juu ya Richmond na Dowans ebu tusaidie, ehee maana husilaumu bila mizania, labda chukua nafasi utupatie wewe kwa maoni yako unashauri chama gani pia kijiunge ili tusiongelee hewa taja chama ambacho unadhani pia kijiunge!!!