LGE2024 CHADEMA ikikomaa itashinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 CHADEMA ikikomaa itashinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo.

Screenshot_2024-10-08-02-12-19-1.png

Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
 
Simlisema hamtashiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa bila Tume huru ya uchaguzi au uchaguzi kusimamiwa na TAMISEMI? sasa imekuwaje? Wanasiasi bwana
 
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo
Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Ni kweli kwasasa bado changa tusubiri ikomae
 
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo
Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Uko sahihi Mkuu 😁😁😁👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DA3UaYdKYnI/?igsh=MTB3MjNjdjk3d2owOQ==
 
Nimekaaa paleee, CCM inafanya ziara kila siku na inapiga kampeni wakati chadema wapo busy na maandamano, uchaguzi wa kanda na kushinda mahakamani, huo ushindi utatoka wapi?
 
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo
Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Afadhali ungesema ACT, maana huku mtaani CHADEMA walishapoteza mvuto
 
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo
Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Thanks Thanks📌🔨
 
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo
Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Thanks Thanks📌🔨
 
Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.

Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo
Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.

Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.

Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Mimi sijawahi kupiga kura za uchaguzi waserikali za mitaa hata mara moja, eti ni kweli karatasi za kupigia kura hazina majina ya watu wala picha.
 
"Ikikomaa"
Tafsiri?

Bado ni Legelege kwenye siasa.za Tanzania. Na itoshe kusema, haina dhamira.

Hivi CHADEMA wachaguliwe kwa ajenda ipi? Kuandamana? Kuropoka? Kusema Uongo? Kuleta taharuki na siasa za Visasi na Vinyongo?

Aisee.
 
"Ikikomaa"
Tafsiri?

Bado ni Legelege kwenye siasa.za Tanzania. Na itoshe kusema, haina dhamira.

Hivi CHADEMA wachaguliwe kwa ajenda ipi? Kuandamana? Kuropoka? Kusema Uongo? Kuleta taharuki na siasa za Visasi na Vinyongo?

Aisee.
Umeelewa uzi ?
 
Back
Top Bottom