ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Chadema haina kadi za makaratasi, mnapigwa
View: https://www.instagram.com/p/DA3kbIDtMq-/?igsh=NHRqeXAxbWJpZnNp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema haina kadi za makaratasi, mnapigwa
Wameanza ulalamishi baada ya kuona wataangukia Pua 😁😁👇👇Nilivyoona muitikio wa maandamano chadema inakwenda kupigwa na kitu kizito 2020 ili ni cha mtoto.
Kwhioooooo tumeibiwa wenzenu wanajitayarisha nyie mpo X!
Kabisa, kwani nisawa na Waarabu (CCM) vs Waisrael (CHADEMA).Hata kwa Usimamizi huu huu mbovu (Japo siufagilii), Chadema inaweza kuibuka na ushindi wa kishindo ikiwa Wananchi wataamua kukataa dhuluma.
Wakati wa Kikwete ambaye alikuwa Rais, Amiri Jeshi na Mwenyekiti wa CCM kama hawa waliopo leo.
Chadema ilishinda kwa kishindo kwenye maeneo mengi, likiwemo Jimbo la Chato ambalo mbunge wake alitokea CCM na alijulikana kwa jina moja la Magufuli, ambako kwenye Uchaguzi wa 2014 Chadema ilizoa viti vyote vya uenyekiti kikiwemo kijiji alichoishi Magufuli Mwenyewe.
Tukirudi nyuma zaidi ya hapo Augustino Mrema alimshinda Checkbob Sisco Mtiro wa CCM kwenye Jimbo la Temeke na kuwa Mbunge, zamani vituo vya kupigia kura vilikuwemo hadi kwenye kambi za Jeshi, Polisi Ufundi na Twalipo, Kwenye vituo hivi ambavyo wapiga kura wengi walikuwa ni Askari Mrema alishinda kwa kishindo.
Hivyo basi ikiwa Chadema ikasimama na Wananchi na ukizingatia dhiki na ugumu wa Maisha uliosababishwa na ccm, itashinda kila mahali.
Hivi sisi tunasimamia wapi? Mbona mnatuchanganyaHuwezi kumuachia fisi bucha
Tatizo tunajifanya kujua kila kitu ...ili ni moja ya sababu tunashindwa kushinda chaguziWakuu CHADEMA ni tishio mnoo huku kitaa hasa jimbo la Kinondoni, leo Mtendaji alitaka kuniletea mapicha picha, wacha nimchane makavu, na mimba lake. Halafu uzuri kwamba CHADEMA tuko vizuri kwenye mambo ya Digital kakataa kupokea majina ya Mawakala wa kusimamia uchaguzi nikamwambia kwanini eti ooh sina taarifa hata CCM hawajaleta. Nikamwambia kwanza ratiba inasemaje? Acha kuwa Mbambaifu au kwa sababu unakaa humu ofisini na Wajumbe CCM, Mara walete na Wasimamizi niwaone nikamwambia wewe kazi yako ni kupokea barua hao Wasimamizi wanini? Acha kuleta figusu Afisa. Akakataa mikarusha kwa whatsapp kata nikajibiwa kesho mapema Wasimamizi wakale viapo asubuhi. Mtendaji anajifanya kanikomoa eti .🤣🤣🤣
Iwe jua iwe mvua huu mtaa ninachukua ninafanya mambo kisiasa nitawpiga spana mpaka wachakaeTatizo tunajifanya kujua kila kitu ...ili ni moja ya sababu tunashindwa kushinda chaguzi
Sawa kamanda ila jamaa zetu bado waendelea kutuongoza aiseeIwe jua iwe mvua huu mtaa ninachukua ninafanya mambo kisiasa nitawpiga spana mpaka wachakae
Kamanda wewe nae ni Kunguru wanatuongoza au waliiharibu chaguzi zote mwaka 2019 na uchaguzi mkuu 2020? Hawana jambo halafu waoga mnoo wanategemea mapolisi. Hapa kitaa hata salam yangu haiwaitikii na Mimi nasema tutakutana kwenye kampeni nitawapiga spana aisee 🤣🤣🤣Sawa kamanda ila jamaa zetu bado waendelea kutuongoza aisee
🤣🤣Kama unampenda Mtu kutokana na sura yake basi nenda kanywe naye Chai- JK NYERERE
Patachimbika!Majina ya Wagombea yatakavyoenguliwa hutaamini.
Jiandae kushuhudia Polisi,Majeshi watakavyomwagwa mitaani!
Kwa kifupi uchaguzi umeshapangwa kukipendelea Chama cha CCM! CCM haina option!
Na itakomaa kweli!Keyword hapa ni "Ikikomaa"...
Kama mke wako alivyopoteza mvuto!!! Hata bodaboda waliokuwa WANABANDUA hapa kitaa hawamtaki 😃😃😃🤣🤣Afadhali ungesema ACT, maana huku mtaani CHADEMA walishapoteza mvuto