Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
Ipo hiyo Mkuu?Tusubiri tuone ubalozi atakaopangiwa, Chadema wapeleke protest kwenye hiyo nchi wamkatae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo hiyo Mkuu?Tusubiri tuone ubalozi atakaopangiwa, Chadema wapeleke protest kwenye hiyo nchi wamkatae.
Ukimheshimu kila mtu utaishi milele?Kiburi kina mwisho , Jiwe alidharau kila mtu wakiwemo hata waliomuweka madarakani , leo yuko wapi ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Yaani kwa walinda legacy hivyo ndo wanavyopenda. Kila aliyeshirikiana na Magufuli kwenye uovu ukimtema wanatoa povu, akiteuliwa wanaona legacy inatendewa hakiByakanwa ni MWOVU MKUBWA KAMA MAGUFULI
Ulime kwenye chanzo cha maji uachwe kisa wewe ni Gaidi Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA
CHADEMA ipi unayoizungumzia? Hii hii ya Mbowe?Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani Balozi ndio Taswira ya Nchi yetu kule Ugenini.
Mtu kama Gellasius Byakanwa, mtu mwenye roho mbaya na msiginaji mkubwa wa Katiba ya nchi hapaswi kuwa mwakilishi wa Tanzania popote, Uchafu alioutenda mtu huyu wakati wa awamu ya 5 hakuna aliyeusahau, huyu kuwa Taswira ya Tanzania Ugenini ni Aibu kwa nchi yetu, hapa Mamlaka ya Uteuzi imeteleza au imewadharau wananchi wa Tanzania kutokana na Kiburi cha madaraka.
Wakati wa uteuzi kama huu wa Humphrey Polepole niliweka andiko lenye kila ushahidi kwamba mtu yule hakupaswa kuwa balozi, na leo narudia tena kwa huyu Byakanwa, uteuzi huu unadhalilisha nchi.
Serikali iache kuwadharau raia wake kwa kuwateulia watu wasio na maadili yoyote, kwa vile raia hawana la kuwafanya, ikumbuke kwamba yupo Mungu ambaye hajawahi kukubali Ujinga.
hahaaa kufa mwehu weweTumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani Balozi ndio Taswira ya Nchi yetu kule Ugenini.
Mtu kama Gellasius Byakanwa, mtu mwenye roho mbaya na msiginaji mkubwa wa Katiba ya nchi hapaswi kuwa mwakilishi wa Tanzania popote, Uchafu alioutenda mtu huyu wakati wa awamu ya 5 hakuna aliyeusahau, huyu kuwa Taswira ya Tanzania Ugenini ni Aibu kwa nchi yetu, hapa Mamlaka ya Uteuzi imeteleza au imewadharau wananchi wa Tanzania kutokana na Kiburi cha madaraka.
Wakati wa uteuzi kama huu wa Humphrey Polepole niliweka andiko lenye kila ushahidi kwamba mtu yule hakupaswa kuwa balozi, na leo narudia tena kwa huyu Byakanwa, uteuzi huu unadhalilisha nchi.
Serikali iache kuwadharau raia wake kwa kuwateulia watu wasio na maadili yoyote, kwa vile raia hawana la kuwafanya, ikumbuke kwamba yupo Mungu ambaye hajawahi kukubali Ujinga.
kwani mwenyekiti wenu atafika 2025 Mungu atakuwa ameshaamua ugomviKiburi kina mwisho , Jiwe alidharau kila mtu wakiwemo hata waliomuweka madarakani , leo yuko wapi ?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hii inatufanya tutilie shaka maridhiano, huenda Samia anafanya maigizo tuTumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani Balozi ndio Taswira ya Nchi yetu kule Ugenini.
Mtu kama Gellasius Byakanwa, mtu mwenye roho mbaya na msiginaji mkubwa wa Katiba ya nchi hapaswi kuwa mwakilishi wa Tanzania popote, Uchafu alioutenda mtu huyu wakati wa awamu ya 5 hakuna aliyeusahau, huyu kuwa Taswira ya Tanzania Ugenini ni Aibu kwa nchi yetu, hapa Mamlaka ya Uteuzi imeteleza au imewadharau wananchi wa Tanzania kutokana na Kiburi cha madaraka.
Wakati wa uteuzi kama huu wa Humphrey Polepole niliweka andiko lenye kila ushahidi kwamba mtu yule hakupaswa kuwa balozi, na leo narudia tena kwa huyu Byakanwa, uteuzi huu unadhalilisha nchi.
Serikali iache kuwadharau raia wake kwa kuwateulia watu wasio na maadili yoyote, kwa vile raia hawana la kuwafanya, ikumbuke kwamba yupo Mungu ambaye hajawahi kukubali Ujinga.
una hojaHii inatufanya tutilie shaka maridhiano, huenda Samia anafanya maigizo tu
HakikaKatiba mpya inahitajika ili watu kama hawa wahojiwe na chombo kama Bunge huru la kidemokrasia kuhusu matendo yao kabla ya kuthibitishwa kwenda kuwakilisha nchi yetu.
Joined March 2023Hebu fanya uamke usije ukajikojolea.
Yeah! March 12, 2023. What's up?Joined March 2023
Ndio maana huna adabuYeah! March 12, 2023. What's up?
Mungu Ibariki Jamhuri ya watu wa KenyaKenya na nchi zingine kadhaa hufanya usaili na kuwahoji wateuliwa kabla ya kuthibitishwa
Citizen Digital
https://citizen.digital › news › parlia...
Parliamentary committee begins vetting Uhuru's ambassador ...
16 May 2022 — Parliamentary committee begins vetting Uhuru's ambassador nominees · 1. Mr. · 2. Maj Gen Andrew Ikenye – High .....
https://www.thefreelibrary.com › H...
House committees to begin vetting of PSs, ambassadors.
: House committees to begin vetting of PSs, ambassadors. by "The Star (Nairobi, Kenya)"; News, opinion and ....
atuondolee huyu mkoloni mweusiMungu ataamua ugomvi
Chadema ipo kwenye maridhiano.Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani Balozi ndio Taswira ya Nchi yetu kule Ugenini.
Mtu kama Gellasius Byakanwa, mtu mwenye roho mbaya na msiginaji mkubwa wa Katiba ya nchi hapaswi kuwa mwakilishi wa Tanzania popote, Uchafu alioutenda mtu huyu wakati wa awamu ya 5 hakuna aliyeusahau, huyu kuwa Taswira ya Tanzania Ugenini ni Aibu kwa nchi yetu, hapa Mamlaka ya Uteuzi imeteleza au imewadharau wananchi wa Tanzania kutokana na Kiburi cha madaraka.
Wakati wa uteuzi kama huu wa Humphrey Polepole niliweka andiko lenye kila ushahidi kwamba mtu yule hakupaswa kuwa balozi, na leo narudia tena kwa huyu Byakanwa, uteuzi huu unadhalilisha nchi.
Serikali iache kuwadharau raia wake kwa kuwateulia watu wasio na maadili yoyote, kwa vile raia hawana la kuwafanya, ikumbuke kwamba yupo Mungu ambaye hajawahi kukubali Ujinga.
Unajua tunajadiliana kwenye nini ?Chadema ipo kwenye maridhiano.
Sasa unakataaje waliokosea mwanzo kuteuliwa sasa hivi au hayo maridhiano maana yake nini.