CHADEMA ikitwaa Madaraka 2025, nitapendekeza Byakanwa avuliwe Ubalozi, hana sifa hiyo

CHADEMA ikitwaa Madaraka 2025, nitapendekeza Byakanwa avuliwe Ubalozi, hana sifa hiyo

Byakanwa ni MWOVU MKUBWA KAMA MAGUFULI
Yaani kwa walinda legacy hivyo ndo wanavyopenda. Kila aliyeshirikiana na Magufuli kwenye uovu ukimtema wanatoa povu, akiteuliwa wanaona legacy inatendewa haki
 
Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani Balozi ndio Taswira ya Nchi yetu kule Ugenini.

Mtu kama Gellasius Byakanwa, mtu mwenye roho mbaya na msiginaji mkubwa wa Katiba ya nchi hapaswi kuwa mwakilishi wa Tanzania popote, Uchafu alioutenda mtu huyu wakati wa awamu ya 5 hakuna aliyeusahau, huyu kuwa Taswira ya Tanzania Ugenini ni Aibu kwa nchi yetu, hapa Mamlaka ya Uteuzi imeteleza au imewadharau wananchi wa Tanzania kutokana na Kiburi cha madaraka.

Wakati wa uteuzi kama huu wa Humphrey Polepole niliweka andiko lenye kila ushahidi kwamba mtu yule hakupaswa kuwa balozi, na leo narudia tena kwa huyu Byakanwa, uteuzi huu unadhalilisha nchi.

Serikali iache kuwadharau raia wake kwa kuwateulia watu wasio na maadili yoyote, kwa vile raia hawana la kuwafanya, ikumbuke kwamba yupo Mungu ambaye hajawahi kukubali Ujinga.
CHADEMA ipi unayoizungumzia? Hii hii ya Mbowe?

CHADEMA mpaka ipate sifa za kuchukua nchi itakuwa ni kizazi cha pili kutoka hiki, kwahiyo mimi, wewe na Bakanwa tutakuwa tulishakufa zamani sanaa
 
Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani Balozi ndio Taswira ya Nchi yetu kule Ugenini.

Mtu kama Gellasius Byakanwa, mtu mwenye roho mbaya na msiginaji mkubwa wa Katiba ya nchi hapaswi kuwa mwakilishi wa Tanzania popote, Uchafu alioutenda mtu huyu wakati wa awamu ya 5 hakuna aliyeusahau, huyu kuwa Taswira ya Tanzania Ugenini ni Aibu kwa nchi yetu, hapa Mamlaka ya Uteuzi imeteleza au imewadharau wananchi wa Tanzania kutokana na Kiburi cha madaraka.

Wakati wa uteuzi kama huu wa Humphrey Polepole niliweka andiko lenye kila ushahidi kwamba mtu yule hakupaswa kuwa balozi, na leo narudia tena kwa huyu Byakanwa, uteuzi huu unadhalilisha nchi.

Serikali iache kuwadharau raia wake kwa kuwateulia watu wasio na maadili yoyote, kwa vile raia hawana la kuwafanya, ikumbuke kwamba yupo Mungu ambaye hajawahi kukubali Ujinga.
hahaaa kufa mwehu wewe
 
Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani Balozi ndio Taswira ya Nchi yetu kule Ugenini.

Mtu kama Gellasius Byakanwa, mtu mwenye roho mbaya na msiginaji mkubwa wa Katiba ya nchi hapaswi kuwa mwakilishi wa Tanzania popote, Uchafu alioutenda mtu huyu wakati wa awamu ya 5 hakuna aliyeusahau, huyu kuwa Taswira ya Tanzania Ugenini ni Aibu kwa nchi yetu, hapa Mamlaka ya Uteuzi imeteleza au imewadharau wananchi wa Tanzania kutokana na Kiburi cha madaraka.

Wakati wa uteuzi kama huu wa Humphrey Polepole niliweka andiko lenye kila ushahidi kwamba mtu yule hakupaswa kuwa balozi, na leo narudia tena kwa huyu Byakanwa, uteuzi huu unadhalilisha nchi.

Serikali iache kuwadharau raia wake kwa kuwateulia watu wasio na maadili yoyote, kwa vile raia hawana la kuwafanya, ikumbuke kwamba yupo Mungu ambaye hajawahi kukubali Ujinga.
Hii inatufanya tutilie shaka maridhiano, huenda Samia anafanya maigizo tu
 
Katiba mpya inahitajika ili watu kama hawa wahojiwe na chombo kama Bunge huru la kidemokrasia kuhusu matendo yao kabla ya kuthibitishwa kwenda kuwakilisha nchi yetu.

Au ubalozi wake uishie wizarani Dodoma au ofisi ndogo ya wizara ya mambo ya Nje Dar es Salaam .
 
Hakika

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app

Kenya na nchi zingine kadhaa hufanya usaili na kuwahoji wateuliwa kabla ya kuthibitishwa
Citizen Digital
https://citizen.digital › news › parlia...
Parliamentary committee begins vetting Uhuru's ambassador ...

16 May 2022 — Parliamentary committee begins vetting Uhuru's ambassador nominees · 1. Mr. · 2. Maj Gen Andrew Ikenye – High .....

https://www.thefreelibrary.com › H...
House committees to begin vetting of PSs, ambassadors.

: House committees to begin vetting of PSs, ambassadors. by "The Star (Nairobi, Kenya)"; News, opinion and ....
 
Ni katika muendelezo wa kuwatawanya wafuasi wa Jiwe. Ni kwa nia njema ya kuliponya Taifa kuelekea maridhiano ya kisiasa.
 
Kenya na nchi zingine kadhaa hufanya usaili na kuwahoji wateuliwa kabla ya kuthibitishwa
Citizen Digital
https://citizen.digital › news › parlia...
Parliamentary committee begins vetting Uhuru's ambassador ...

16 May 2022 — Parliamentary committee begins vetting Uhuru's ambassador nominees · 1. Mr. · 2. Maj Gen Andrew Ikenye – High .....

https://www.thefreelibrary.com › H...
House committees to begin vetting of PSs, ambassadors.

: House committees to begin vetting of PSs, ambassadors. by "The Star (Nairobi, Kenya)"; News, opinion and ....
Mungu Ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani Balozi ndio Taswira ya Nchi yetu kule Ugenini.

Mtu kama Gellasius Byakanwa, mtu mwenye roho mbaya na msiginaji mkubwa wa Katiba ya nchi hapaswi kuwa mwakilishi wa Tanzania popote, Uchafu alioutenda mtu huyu wakati wa awamu ya 5 hakuna aliyeusahau, huyu kuwa Taswira ya Tanzania Ugenini ni Aibu kwa nchi yetu, hapa Mamlaka ya Uteuzi imeteleza au imewadharau wananchi wa Tanzania kutokana na Kiburi cha madaraka.

Wakati wa uteuzi kama huu wa Humphrey Polepole niliweka andiko lenye kila ushahidi kwamba mtu yule hakupaswa kuwa balozi, na leo narudia tena kwa huyu Byakanwa, uteuzi huu unadhalilisha nchi.

Serikali iache kuwadharau raia wake kwa kuwateulia watu wasio na maadili yoyote, kwa vile raia hawana la kuwafanya, ikumbuke kwamba yupo Mungu ambaye hajawahi kukubali Ujinga.
Chadema ipo kwenye maridhiano.

Sasa unakataaje waliokosea mwanzo kuteuliwa sasa hivi au hayo maridhiano maana yake nini.
 
Back
Top Bottom