Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Mikutano ilisharuhusiwa ndg - halafu wengi watajaa kwenda kuona comedy za CDMHapo umechemka ndugu ngoja mikutano iruhusiwe ndiyo utajua uliyoandika hayana maana.
TeuziMimi niko ccm makao makao makuu. Nikwambie tuu huwezi kupata teuzi zetu kwa namna hii, hasa kipindi cha utawala huu. Jikite kujenga chama chako.
Ccm bila kanjanja hatutoboi ata kiwekwe kivuli na sie
Aliyekwambia ujifanye hivi ni Nani?Ni kawaida ya binadamu akiiambiwa ukweli wa kisiasa hupinga - iko wazi kwamba CDM mlifanya makosa sehemu nyingi
(i). Kuwa viongozi Mungu watu - kiongozi anakaa madarakani kwa miongo kadhaa as if chama hakina succession plan;
(ii). Baadhi wanaharakati kuunga mkono ndoa za jinsia moja; huu ni utamaduni wa ajabu sana;
Nani bado yupo kati ya chadema na magufuli??CCM ya Rais SSH iko imara baada JPM kufanya kazi ngumu ya kuimaliza CDM - sasa tujielekeze kuidhofisha ACT Wazalendo
CDM watagombea nchini ubelgiji;
ACT ndio waangaliwe kwa jicho kubwa. Lkn pia CCM tuikatae katiba mpya na tume huru ya uchaguzi - tukikubali hata NCCR waweza kuzika chama.
Mwisho, tukubali mazungumzo ya mezani na glass za juice tugongeane ila ktk utekelezaji tuvute gia ya usingizi. Hii ni kwa sababu watanzania wengi wana ugonjwa wa kusahau mapema.
Mwaka mwema kwenu wote.
Mimi ni
Syringe bila dawa
Wote hawapo, Chadema chama ambacho kinafanana na maiti inayo tembea na Magufuli alifariki.Nani bado yupo kati ya chadema na magufuli??
Ubishi ni kipaji pia, endelea tu kujifaliji kwa kijilisha upepo labda utakuja shibaWote hawapo, Chadema chama ambacho kinafanana na maiti inayo tembea na Magufuli alifariki.
Unachafua jina la askofu wangu hakuna mtu mwenye mawazo finyu kama wewe eti"ILIMALIZWA NA MAGUFURI" wakati amekufa kishamba na akaiacha CHADEMA inanawiri,jiulize Kwa nini Mbowe yuko ndani kama Chadema ilishakufa pumbavu? Na wale covid 19 Bungeni kule Pilato Ndugai wanaitwa wabunge kutoka chama gani pumbavu?CCM ya Rais SSH iko imara baada JPM kufanya kazi ngumu ya kuimaliza CDM - sasa tujielekeze kuidhofisha ACT Wazalendo
CDM watagombea nchini ubelgiji;
ACT ndio waangaliwe kwa jicho kubwa. Lkn pia CCM tuikatae katiba mpya na tume huru ya uchaguzi - tukikubali hata NCCR waweza kuzika chama.
Mwisho, tukubali mazungumzo ya mezani na glass za juice tugongeane ila ktk utekelezaji tuvute gia ya usingizi. Hii ni kwa sababu watanzania wengi wana ugonjwa wa kusahau mapema.
Mwaka mwema kwenu wote.
Mimi ni
Syringe bila dawa
CDM hiihii vibaraka wa mabeberu?Kilichobarikiwa wewe ni Nani Hadi ukilaani! Ukombozi wa Tanzania uko kwa CDM na ipo cku watatutoa misri natuelekee zetu kaanani kwenye asali na maziwa.
Mungu ni fundi waovu wote tupilia kule!Yani mleta mada anaumia kuona dude lilivuta na kufukiwa but chadema ipo.Mungu ni mkuu
JPM yupo sababu aliacha legacy sasa CDM imeacha kipiNani bado yupo kati ya chadema na magufuli??
Glass alizopiga ndoo zime mchanganya TU.Umerukwa na akili ?
Legacy gani aliacha kama siyo ushenzi.JPM yupo sababu aliacha legacy sasa CDM imeacha kipi
Umemaliza mkuu. Huu utumbo wa kilaza wa Lumumba ufungwe sasa.Nani bado yupo kati ya chadema na magufuli??
Aliacha legacy!!?JPM yupo sababu aliacha legacy sasa CDM imeacha kipi
Legacy za kijinga zimeenda na yeye bado ubambikiaji kesi tu.Aliacha legacy!!?
Kwani mauaji yanaendelea?
Kwani utekaji unaendelea!?
Kwani "task forces" zipo!?
Kujifariji hakusaidii kumaliza 'hangover' ya ulevi holela wa ofa za kuvizia.Ni kawaida ya binadamu akiiambiwa ukweli wa kisiasa hupinga - iko wazi kwamba CDM mlifanya makosa sehemu nyingi
(i). Kuwa viongozi Mungu watu - kiongozi anakaa madarakani kwa miongo kadhaa as if chama hakina succession plan;
(ii). Baadhi wanaharakati kuunga mkono ndoa za jinsia moja; huu ni utamaduni wa ajabu sana;
Ukimaliza zamu kulinda hapo malaloni Chato, kabla ya kurudi kwenu, ongoza nenda mpaka Bunda kamtafute Mzee Tyson Wasira.Wote hawapo, Chadema chama ambacho kinafanana na maiti inayo tembea na Magufuli alifariki.