Jitu katili lilimalizika kabla ya kuimaliza cdmCCM ya Rais SSH iko imara baada JPM kufanya kazi ngumu ya kuimaliza CDM - sasa tujielekeze kuidhofisha ACT Wazalendo
CDM watagombea nchini ubelgiji;
ACT ndio waangaliwe kwa jicho kubwa. Lkn pia CCM tuikatae katiba mpya na tume huru ya uchaguzi - tukikubali hata NCCR waweza kuzika chama.
Mwisho, tukubali mazungumzo ya mezani na glass za juice tugongeane ila ktk utekelezaji tuvute gia ya usingizi. Hii ni kwa sababu watanzania wengi wana ugonjwa wa kusahau mapema.
Mwaka mwema kwenu wote.
Mimi ni
Syringe bila dawa
Ni kawaida ya binadamu akiiambiwa ukweli wa kisiasa hupinga - iko wazi kwamba CDM mlifanya makosa sehemu nyingi
(i). Kuwa viongozi Mungu watu - kiongozi anakaa madarakani kwa miongo kadhaa as if chama hakina succession plan;
(ii). Baadhi wanaharakati kuunga mkono ndoa za jinsia moja; huu ni utamaduni wa ajabu sana;
Mangula kakaa madarakani kwa muda gani?Ni kawaida ya binadamu akiiambiwa ukweli wa kisiasa hupinga - iko wazi kwamba CDM mlifanya makosa sehemu nyingi
(i). Kuwa viongozi Mungu watu - kiongozi anakaa madarakani kwa miongo kadhaa as if chama hakina succession plan;
(ii). Baadhi wanaharakati kuunga mkono ndoa za jinsia moja; huu ni utamaduni wa ajabu sana;
Chadema ni TAASISI hakuna mwenye Ubavu wa KUIMALIZA Mwendazake kaenda zake CHADEMA IPOCCM ya Rais SSH iko imara baada JPM kufanya kazi ngumu ya kuimaliza CDM - sasa tujielekeze kuidhofisha ACT Wazalendo
CDM watagombea nchini ubelgiji;
ACT ndio waangaliwe kwa jicho kubwa. Lkn pia CCM tuikatae katiba mpya na tume huru ya uchaguzi - tukikubali hata NCCR waweza kuzika chama.
Mwisho, tukubali mazungumzo ya mezani na glass za juice tugongeane ila ktk utekelezaji tuvute gia ya usingizi. Hii ni kwa sababu watanzania wengi wana ugonjwa wa kusahau mapema.
Mwaka mwema kwenu wote.
Mimi ni
Syringe bila dawa
Labda legacy ya ukabila na roho mbayaJPM yupo sababu aliacha legacy sasa CDM imeacha kipi
Zinahesabika kwa sababu uongozi ni hesabu ya mitano mitano - ukizijumlisha zitafika 100Ni hivi, CCM sio chama cha kizazi hiki, hata mdhikiri uchi hapo kwa Mkapa mchana wa saa sita, na hamtakaa mpate tena uungwaji mkono kama enzi za wazee wetu. Muendelee kuomba wananchi hasa vijana Kuendelea kuwa waoga dhidi ya vyombo vya dola, lakini siku zenu zinahesabika.
Zinahesabika kwa sababu uongozi ni hesabu ya mitano mitano - ukizijumlisha zitafika 100
CCM ya Rais SSH iko imara baada JPM kufanya kazi ngumu ya kuimaliza CDM - sasa tujielekeze kuidhofisha ACT Wazalendo
CDM watagombea nchini ubelgiji;
ACT ndio waangaliwe kwa jicho kubwa. Lkn pia CCM tuikatae katiba mpya na tume huru ya uchaguzi - tukikubali hata NCCR waweza kuzika chama.
Mwisho, tukubali mazungumzo ya mezani na glass za juice tugongeane ila ktk utekelezaji tuvute gia ya usingizi. Hii ni kwa sababu watanzania wengi wana ugonjwa wa kusahau mapema.
Mwaka mwema kwenu wote.
Mimi ni
Syringe bila dawa
Ukubalika kwa wananchi ni mkubwa sana - dola kazi yao ulinzi kwenuMia chache fanya karne 1 kabisa. Lakini vyombo vya dola tu ndio pumzi yenu iliyobaki ya muda mfupi.
Tuambie sasaSasa aliemalizwa ni nani? Kwisha habari yake
Haikuimaliza kabisa Chadema, lakini Magufuli ameiacha Chadema ikiwa maiti inayo tembea.Baada ya lile jambaka, jitu katili kushindwa kuimaliza CDM likafa lenyewe na kuiacha chadema ikiwa tishio kubwa kwa mainzi na sirikali yao, wewe lipumba- vu endelea kujitoa ufahamu
Kaiacha taasisi yake ikiwa imara sanaHaikuimaliza kabisa Chadema, lakini Magufuli ameiacha Chadema ikiwa maiti inayo tembea.