Chadema imekataa kuweka wagombea EALA lakini usishangae wakawepo na kushinda

Chadema imekataa kuweka wagombea EALA lakini usishangae wakawepo na kushinda

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kama "signature" inayosemekana ni ya mnyika ilifanikisha kumtoa mwanadada aliyekaa jela siku 120 kesho yake akaapishwa kwenye gereji na wenzake 18 kuwa wabunge hii itashindikanaje

Covid 19 wanatamba wana kebehi majaji wanashikwa na kigugumizi wafate sheria au maagizo toka juu kwenye jikesi lao ambalo ingekuwa kenya lingemuliwa kwa dakika tisa na nusu

ila hapa wataalamu wa political science watalivuta hadi 2025 ili mzee mdee na mabinti zake wafaidi tozo za wanuka jasho

Sasa msishangae wakaibuka watu kugombea huo ubunge wa east africa kwa tiketi ya chadema na wakashinda tena signature ya mnyika ikawepo
Msishangae kabisa
 
Kama "signature" inayosemekana ni ya mnyika ilifanikisha kumtoa mwanadada aliyekaa jela siku 120 kesho yake akaapishwa kwenye gereji na wenzake 18 kuwa wabunge hii itashindikanaje

Covid 19 wanatamba wana kebehi majaji wanashikwa na kigugumizi wafate sheria au maagizo toka juu kwenye jikesi lao ambalo ingekuwa kenya lingemuliwa kwa dakika tisa na nusu

ila hapa wataalamu wa political science watalivuta hadi 2025 ili mzee mdee na mabinti zake wafaidi tozo za wanuka jasho

Sasa msishangae wakaibuka watu kugombea huo ubunge wa east africa kwa tiketi ya chadema na wakashinda tena signature ya mnyika ikawepo
Msishangae kabisa
😋🤣🤣🤣🤣
 
Wampe Mchungaji Peter Msigwa, yeye ndio anashoboka na vyeo vya CCM.
Hata wewe ukitaka unapata mkuu cha muhimu kuwa na sura ya mbuzi kama kina mzee mdee
Maana ingekuwa kenya ungeweza ogopa judiciary
 
Back
Top Bottom