CHADEMA imeua kiki zote mjini. Uchaguzi wao unazungumziwa kuliko hata wa Serikali za mtaa uliopita

Sasa hivi mpaka january wale wapenda kiki watulie tu mpaka upepo wa chadema uishe yaan nimejua kua CHADEMA inafatiliwa sana inapendwa huu uchaguz unazungumziwa kuliko hata ule uchafuzi wa serikali ya mtaa uliofanyika juz juz

Cha kushangaza eti ilipata 1% ya ushindi, na inazungumzwa kuliko chochote sasa, kweli maajabu hayaishi shitholeni!
 
Ni wewe tu, sisi tunaendelea na majukumu yetu.
 
Sasa hivi mpaka january wale wapenda kiki watulie tu mpaka upepo wa chadema uishe yaan nimejua kua CHADEMA inafatiliwa sana inapendwa huu uchaguz unazungumziwa kuliko hata ule uchafuzi wa serikali ya mtaa uliofanyika juz juz
CCM ni mkoloni mpya aondolewe!
 
Sasa hivi mpaka january wale wapenda kiki watulie tu mpaka upepo wa chadema uishe yaan nimejua kua CHADEMA inafatiliwa sana inapendwa huu uchaguz unazungumziwa kuliko hata ule uchafuzi wa serikali ya mtaa uliofanyika juz juz
Gentleman,
serikali na viongozi wapya wateule iko kazini,

ni muhimu sana chadema wakaachwa na kupatiwa nafasi kwa uhuru waparuane vizuri tu, kwa uhuru na nafasi pia 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…