Chadema ina mgombea Buhingwe?

Chadema ina mgombea Buhingwe?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Buhingwe huko Mkoani Kigoma, wapiga Kampeni wa vyama vinavyoshiriki kwenye uchaguzi huo, ni LAZIMA kila siku waitaje CHADEMA.

Kuishambulia huko CHADEMA kunatokana na nini wakati CHADEMA haina Mgombea (Ninavyojua mimi) kwenye jimbo hilo?
 
Ushahidi...
Screenshot_20210513-162156.jpg
 
Kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Buhingwe huko Mkoani Kigoma, wapiga Kampeni wa vyama vinavyoshiriki kwenye uchaguzi huo, ni LAZIMA kila siku waitaje CHADEMA.

Kuishambulia huko CHADEMA kunatokana na nini wakati CHADEMA haina Mgombea (Ninavyojua mimi) kwenye jimbo hilo?



Bunge la sasa ni the comedy kupoteza muda tu ni bora wasubiri kuongea na Raisi badala ya kupoteza muda kwa chaguzi za kijinga hivi
 
Mbunge Mwambe aliomba awe Mwenyekiti wa CHADEMA akijiita Simoni wa Kirene amsaidie Yesu kubeba msalaba, akakataliwa kabila lake.Badala yaje wakampa msalaba Yuda Iskarioti aubebe. Ulipomshinda akakimbilia Korinto badala ya kujinyonga.
 
Mbunge Mwambe aliomba awe Mwenyekiti wa CHADEMA akijiita Simoni wa Kirene amsaidie Yesu kubeba msalaba, akakataliwa kabila lake.Badala yaje wakampa msalaba Yuda Iskarioti aubebe. Ulipomshinda akakimbilia Korinto badala ya kujinyonga.
Kabla ya hapo Mwambe alitokea Chama gani? Kwanini aliikimbia CCM akaomba hifadhi CHADEMA? Tuache upuuzi, Chadema inajua inachokifanya
 
chadema ni ccm iliyokosa tume,polisi na tiss wazee wa kura za kwenye masandurusi.
 
CCM kamwe haiwezi kuturudisha kule, nataka kusema hivi Chadema is the future.
 
Kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Buhingwe huko Mkoani Kigoma, wapiga Kampeni wa vyama vinavyoshiriki kwenye uchaguzi huo, ni LAZIMA kila siku waitaje CHADEMA.

Kuishambulia huko CHADEMA kunatokana na nini wakati CHADEMA haina Mgombea (Ninavyojua mimi) kwenye jimbo hilo?
Mkuu wengi Bado wanaugulia maumivu, kilichowapata sio Cha dunia hii
 
Back
Top Bottom