Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,294
CCM haijatengua maoni ya mtu. CCM ingetaka kufanya hivyo hata rasimu isingekuwa na sura iliyo nayo.
Inachofanya CCM ni kushiriki mchakato kwa kutoa maoni yake kwa kutumia fursa waliyopewa na wananchi ya kuwawakilisha. Watanzania wengi wameipa CCM fursa ya kuwawakilisha kwa njia ya Bunge na mabaraza ya Halmashauri.
CCM kutokupigania maslahi ya wananchi hawa ni KUWATELEKEZA watu walioiamini.
Katika mchakato wa Katiba CCM ina jukumu la kipekee kwamba ndio chama chenye dhamana ya kuliongoza Taifa kuipata Katiba nzuri. mambo yakienda kombo, CCM inabeba lawama.
Umebugi men. CCM hata mchakato wa katiba uliwahusu wanachama tu na jhilo unalifahamu. Mbaya zaidi hata wanachama walipewa waraka si mawazo yao, labda kama chama kina wanachamo mazombie (hawana mawazo) Tafadhali sana ebu tafakari huo waraka wa katiba ni wananchi gani hata walio wa ccm wana maslahi nayo.
Wenye maslahi
1. Kinana
2. Jk
3. Wenye CCM yao (mafisadi na watawala wahalifu waliotangulia)
Wewe Mheshimiwe HAUMO