Uchaguzi 2020 CHADEMA inahitaji political strategists kuishinda CCM

All politics is local ...kutoshiriki uchaguzi wa mwaka Jana ,was a colossal mistake..Lengo la hawa jamaa lilikua ku-demoralize and it successes,mtaniami October 30 tally zikianza kutangazwa
 
Umenena, CCM is very organized kuliko mtu anaweza dhania.
Kweli kabisa wako very organized, kule Tunduma wamesema bayana bila kuchagua ccm maji hampati ng'oo [emoji23] [emoji23] Sasa kama mtu hajapata maji since independence (about 60 years) ndo atastuka kunyimwa maji for 5 years???
 
Umenena, watanzania wengi bado ni wakarimu na wanapenda watu wanyeyekevu. Lissu anasemwa sana kama mtu mwenye dharau na kuonyesha anajua kila kitu (much know) na watanzania hawapendezwi na hilo.
Rubbish [emoji706] [emoji706] [emoji706] Lissu ni msema kweli, hana muda wa nyeupe kuuita nyekundu, na kama ujuavyo tuna viongozi walizoea kudanganya watu (ndiyo maana ya kubana vyombo vya habari na masheria kandamizi kibao). Pili Lissu ni mtu anayefuatilia issues na msomaji mzuri wa sheria, taratibu na kanuni, ninyi mavilaza msiopenda kusoma hata page moja mmebweteka eti serikali itatoa taarifa sahihi kwa kila kitu, sasa Lissu ujinga huo hana, mzee Warioba kashasema jiandaeni kupambana na utawala wa sheria ikiwa Lissu atashinda.
 
Ukisikia kujenga hoja za msingi na za maana ndiyo hii sasa, hongera sana mkuuu [emoji120][emoji120][emoji106][emoji106][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Sikushangai mana na wewe unaangukia kundi hilo hilo ya kukosa busara na hekima la mgombea wako Lissu, watu wanapingana kwa hoja wewe unaita mtanzania mwenzako Rubbish, mtavuna mnachopanda.

Sasa nikuulize swali, Lissu unayesema ni mfwatiliaji mzuri wa issues, inakuwaje alikosa data kuhusu reli ya Kaliua kwenda Mpanda akadai imekufa na haifanyi kazi mbele ya watu wanaoitumia reli hio, nani muongo sasa kati ya serikali na Lissu? Huku sio kuigombanisha serikali na wananchi wake?

Sent from my SM-J510L using JamiiForums mobile app
 
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzito
 

Hizo ni ndoto za mchana kufikiria LISSU atashinda. Nani ampigie kura mwendawazimu.
 
Peleka Ujinga wako huu Chato
 
Kubalini katiba mpya ya wananchi + Tume huru ya uchaguzi kwanza otherwise your advice is null and void!
 
Sijasoma hata neno moja la post yako ambayo naamini ni ya kipuuzi. Kinachohitajika ni TUME HURU
Subiri tu utaletewa hiyo tume huru ikiwa imejaa kwenye sahani kubwa na ya kumeremeta!
 
Hakuna lolote; CCM ni weupe pee; bila wizi wa kura na udanganyifu hawana lolote.

Kama CDM na wapiga kura wote wataungana pamoja kwa nguvu zote CCM itaogopa kujaribu zoezi la wizi...

Ref. naifanya kwa kurecall chaguzi zote ndogo na zile za Serikali ya mitaa ambazo zilikuwa ni uhuni mtupu tena wa waziwazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…