CHADEMA inaimarika huku CCM ikiporomoka kwa kasi 2024/2025 hapatatosha

CHADEMA ni genge la "sarcastic"...

Unaimarikaje kwa kuwa na watu dhaifu kama Dr.Wilbroad Slaa ?!!!

Eti Tundu Lissu mropokaji ndiye akuimarishie chama [emoji1787][emoji1787]

Maweeee
Soma tena ulichokiandika kisha uje tena kivingine. Kwanini alishambuliwa kwa risasi kama sio tishio kwenu?
 
Soma tena ulichokiandika kisha uje tena kivingine. Kwanini alishambuliwa kwa risasi kama sio tishio kwenu?
CCM inatapatapa.
Wafuasi wake wengi mitandaoni wamekosa muelekeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…