Uchaguzi 2020 CHADEMA inaingia kwenye uchaguzi bila kuwa na ilani ya CHADEMA YA uchaguzi ya 2020-2025 Chadema hakiko serious

Uchaguzi 2020 CHADEMA inaingia kwenye uchaguzi bila kuwa na ilani ya CHADEMA YA uchaguzi ya 2020-2025 Chadema hakiko serious

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Mpaka muda huu CHADEMA haikina ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 na kinaingia kwenye uchaguzi watanadi nini wakati ilani hawana?? au wanategemea porojo za majukwwani za mgombea tu?

Wagombea uraisi mnaendeaje kugombea uraisi wakati chadema hakina ilani ya uchaguzi?

Ilani ya mwisho ilikuwa ile ya 2015-2020 ambayo muda wake umeisha iliyotengenezwa na Dr slaa na team yake.Alipoondoka ndio ukawa mwisho wa kutengeneza ilani .

Mnagombeaje uraisi bila ilani ya uchaguzi majukwaani mtauza sura au nini?
 
Mpaka muda huu CHADEMA haikina ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 na kinaingia kwenye uchaguzi watanadi nini wakati ilani hawana?? au wanategemea porojo za majukwwani za mgombea tu?

Wagombea uraisi mnaendeaje kugombea uraisi wakati chadema hakina ilani ya uchaguzi?

Ilani ya mwisho ilikuwa ile ya 2015-2020 ambayo muda wake umeisha iliyotengenezwa na Dr slaa na team yake.Alipoondoka ndio ukawa mwisho wa kutengeneza ilani .

Mnagombeaje uraisi bila ilani ya uchaguzi majukwaani mtauza sura au nini?
Hakuna chama kinaingia kwenye uchaguzi bila ilani, subiri utaona.
 
Mpaka muda huu CHADEMA haikina ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 na kinaingia kwenye uchaguzi watanadi nini wakati ilani hawana?? au wanategemea porojo za majukwwani za mgombea tu?

Wagombea uraisi mnaendeaje kugombea uraisi wakati chadema hakina ilani ya uchaguzi?

Ilani ya mwisho ilikuwa ile ya 2015-2020 ambayo muda wake umeisha iliyotengenezwa na Dr slaa na team yake.Alipoondoka ndio ukawa mwisho wa kutengeneza ilani .

Mnagombeaje uraisi bila ilani ya uchaguzi majukwaani mtauza sura au nini?
Mataga boss wenu si alisema itakufa kabla ya uchaguzi? Basi inawawasha?
Tuwekee ilani ya mbatia hapa
 
Mpaka muda huu CHADEMA haikina ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 na kinaingia kwenye uchaguzi watanadi nini wakati ilani hawana?? au wanategemea porojo za majukwwani za mgombea tu?

Wagombea uraisi mnaendeaje kugombea uraisi wakati chadema hakina ilani ya uchaguzi?

Ilani ya mwisho ilikuwa ile ya 2015-2020 ambayo muda wake umeisha iliyotengenezwa na Dr slaa na team yake.Alipoondoka ndio ukawa mwisho wa kutengeneza ilani .

Mnagombeaje uraisi bila ilani ya uchaguzi majukwaani mtauza sura au nini?
Unalilia kuiona ilani ya cdm kwani hiyo ya ccm unayo hapo utuwekee hapa? Vijana wa ccm mnachemka sana hasa upande wa kupropagate! Weka ya ccm hapa if you have it?
 
Unalilia kuiona ilani ya cdm kwani hiyo ya ccm unayo hapo utuwekee hapa? Vijana wa ccm mnachemka sana hasa upande wa kupropagate! Weka ya ccm hapa if you have it?
CCM TUNAYO TAYARI YA 2020-2025
 
Mkuu, miaka kadhaa iliyopita imetokea tukisikia malalamiko yasiyokoma ya kwamba, kila wakati ambapo CDM wakitangulia kutoa ilani yao, CCM inakuja kuiba sehemu ya nondo zao na kuziboresha. Sasa mwaka huu itabidi wahangaike wao wenyewe bila kuuibia akili ya watu makini.
 
Unalilia kuiona ilani ya cdm kwani hiyo ya ccm unayo hapo utuwekee hapa? Vijana wa ccm mnachemka sana hasa upande wa kupropagate! Weka ya ccm hapa if you have it?
Sijalilia kuiona nitaliliaje kuiona ilani isiyokuwepo? Mimi nilichofanya ni kuwastua muache kufanya mambo kienyeji muda wote huu miaka mitano hamjatengeneza hivi mna akili ninyi?

CCM tunayo ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 siku nyingi Dira na sera tunayo hadi ya 2030
 
Mkuu, miaka kadhaa iliyopita imetokea tukisikia malalamiko yasiyokoma ya kwamba, kila wakati ambapo CDM wakitangulia kutoa ilani yao, CCM inakuja kuiba sehemu ya nondo zao na kuziboresha. Sasa mwaka huu itabidi wahangaike wao wenyewe bila kuuibia akili ya watu makini.
CCM tunayo tayari
 
Sijalilia kuiona nitaliliaje kuiona ilani isiyokuwepo? Mimi nilichofanya ni kuwastua muache kufanya mambo kienyeji muda wote huu miaka mitano hamjatengeneza hivi mna akili ninyi?

CCM tunayo ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 siku nyingi Dira na sera tunayo hadi ya 2030
Mbona unajitetea Sana? Iweje ilani ya ccm ya 2020- 2025 tuione, acha maneno mengi!
 
Mbona unajitetea Sana? Iweje ilani ya ccm ya 2020- 2025 tuione, acha maneno mengi!
iko kwenye booklet kila mgombea anapewa nawastueni chadema acheni kufanya mambo kienyeji mkipigwa pini msiseme mnaonewa nendeni haraka mkatengene ilani nina uchungu na kodi zangu mnazochukua kama ruzuku.Mnakula tu na ilani hamtengenezi

Pesa mtatoa wapi za kutengeneza ilani mtajijua katengenezeni haraka muondokane na hii aibu ya kufanya siasa kienyeji
 
iko kwenye booklet kila mgombea anapewa nawastueni chadema acheni kufanya mambo kienyeji mkipigwa pini msiseme mnaonewa nendeni haraka mkatengene ilani nina uchungu na kodi zangu mnazochukua kama ruzuku.Mnakula tu na ilani hamtengenezi

Pesa mtatoa wapi za kutengeneza ilani mtajijua katengenezeni haraka muondokane na hii aibu ya kufanya siasa kienyeji
Ilani yao cdm inakusaidia nini? Hawaitoi leo Wala kesho Hadi waione ya ccm ili wacopy! Umesikia au niongeze sauti ninyi wazee wa kucopy na kupaste? Safari hii imekula kwenu!
 
Mpaka muda huu CHADEMA haikina ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 na kinaingia kwenye uchaguzi watanadi nini wakati ilani hawana?? au wanategemea porojo za majukwwani za mgombea tu?

Wagombea uraisi mnaendeaje kugombea uraisi wakati chadema hakina ilani ya uchaguzi?

Ilani ya mwisho ilikuwa ile ya 2015-2020 ambayo muda wake umeisha iliyotengenezwa na Dr slaa na team yake.Alipoondoka ndio ukawa mwisho wa kutengeneza ilani .

Mnagombeaje uraisi bila ilani ya uchaguzi majukwaani mtauza sura au nini?
Aisee ukisikia kuwashwa ndio huku

Nani kakwambia hawana ilani?

Sema haijazinduliwa

CCM ina ilani?Wameizindua lini?

Punguza nyege mtoto wa kike!
 
Kadema aka wazee wa matamko, wazee siasa za matukio, wazee wa misafara ya kwenda mahakamani kusikiliza kesi, wazee wa kutafuna ruzuku makao makuu huku mashinani hata pango la ofisi hatuwezi kulipa,wazee wa kusaini posho za vikao na kukimbilia kujiweka lockdown, wazee wa kuja kushtuka uchaguzi huu hapa!
 
Back
Top Bottom