CHADEMA inakuwaje mna ugomvi na mihimili yote mitatu -- Serikali, Bunge na Mahakama?

CHADEMA inakuwaje mna ugomvi na mihimili yote mitatu -- Serikali, Bunge na Mahakama?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
 
Chadema wana ugomvi na bunge na Ndugai ukija kwenye serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda mahakamani ndio usiseme Lisu alishatukana hadi majaji kuwa hawajui kiingereza na hawana Imani na majaji wa Tanzania

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
1) Ugomvi na serikali hii ya ccm.
Pamoja na kwamba serikali hii imeingia madarakani kwa wizi wa kura 2020, na wizi wa mchakato mzima wa uchaguzi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, bado CHADEMA iliomba kukutana na Rais Samia, ambaye alikubali kwa maandishi. Hiyo ilikuwa ni heshima kubwa kwa Rais na serikali yake. Kumbuka kutokana na uharamia, ubabe na ujambazi waliofanyiwa CHADEMA kwenye hizo "chaguzi" mbili, hawachukui ruzuku ambayo ni haki yao kwa mujibu wa sheria.
Rais Samia inaonekana alipata ushauri tofauti, na akaukubali, akawatosa CHADEMA. Sasa hivi anazuia hata mikutano ya ndani, kakamata mamia ya wanachadema na kuwasweka rumande.

Sasa hapo mgomvi ni nani? Bila shaka ni Serikali.
2)Ugomvi na Bunge
Baada ya uporaji wa 2020, serikali ya ccm ikagundua kwamba hawataweza kuendesha bunge la vyama vingi kwa wabunge wa chama kimoja. Badala ya kuketi chini na CHADEMA, ukafanyika umafia. Wakaanzisha, kwa nguvu, mchakato wa siri wa kupata "wabunge wa viti maalum" ndani ya CHADEMA , kinyume na taratibu zote. Hii pia ilikusudiwa kuipasua CHADEMA, kuipora pia wabunge wake muhimu na wachapakazi. CHADEMA ilisimama imara na kuwatimua. Uamuzi huu ulikuwa mgumu sana, lakini CHADEMA ilisimama imara. Ndugai daima amesimama upande wa serikali. Kuna wakati Magufuli alimwagiza Spika Ndugai "awashughulikie ndani ya bunge, serikali itawashughulikia nje ya bunge"
Sasa hapo mgomvi ni nani? Ni Ndugai na bunge lake DHAIFU.

3)Ugomvi na Mahakama
Kuna mahakimu na majaji wameteuliwa kinyume na utaratibu, ili kulinda maslahi ya serikali. Mfano hakimu aliyemfunga Sugu, na kisha kuteuliwa ujaji. Kesi hiyo ya kubumba ilikuja futwa kwenye rufaa, baada ya kucheleweshwa sana. Jaji aina ya Luvanda, ambaye anakubali "charge sheet" ina makosa, lakini bado anawarejesha rumande watuhumiwa, kwa kesi ipi?
Mgomvi nani hapo? Ni baadhi ya mahakimu na majaji wa Mahakama
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
yoote si miCCM tu
 
Mmepewa assignment ya kuja huku na mada za majaji kukataliwa eeh...

Nyang'au
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Ugomvi wao uko kwenye katiba ambayo inabeda vyote hivyo vitatu, ukiikataa katiba lazima ugombane na vyote hivyo.
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Kila siku nakumbia hama kwa shemeji ndio utaijua vizuri nchi hii ilivyo tatizo lako kula kulala manina.
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Kwa mtu timamu angetafuta sababu! Chadema wako mbele ya muda ndio maana
 
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.

Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?

Mkuu unaishi dubai nini?
 
Hii hali ina morph into a giant destabilization hapa Tanzania

Pale CCM na serikali yake inapokabidhi mahakama na jeshi la polisi liifanyie kazi za siasa kwa lazima wakati ndio kazi yake hutokea haya

Mahakama ipo politicized,jeshi lipo ploticized,yanafanya siasa kwa niaba ya CCM

Hivyo hapa ni chaos mpaka muelewe kwamba hivi vyombo mlivyo vigeuza vyama vya siasa kwa niaba yenu ni big mistake mmefanya.

Halafu mnakuja hapa kuilaumu Chadema

Chadema na CCM ni vyama vya siasa na kufanya siasa ndio kazi yao...shida nyie kazi yenu ya siasa mmewakabidhi mahakama na jeshi liwafanyie...

Jeshi na mahakama yashachoka kufanya kazi ambayo sio yao,soon huu usenge watakuja kuwakatalia

Kupambana na Chadema kila siku nchi nzima inachosha hawa watu wa jeshi na mahakama

Wanadharaulika,wanatukanwa,wanatoa maamuzi ya kipumbavu na yanawekwa kwenye historia,wanaonekana wapumbavu,hawana akili,nk kwa niaba yenu nyie mmelala majumbani kwenu mnakuna pumbu tu

Kupambana na Chadema sio kazi ndogo kabisa maana unapambana na wananchi wasio na hatia na wamezagaa nchi nzima kila siku unashika na kufunga na kupeleka mahakamani watu wasio na hatia na records zipo na upumbavu wote ni recorded

Jeshi limechoka,mahakama zimechoka kufanyia CCM kazi zake za siasa...kuna siku wataamka asubuhi mnawapigia simu hawatapokea..wamechoka hawa.

it is traumatic,msidhani wanafurahi kama mnavyojibenua matakor hapa...

Muulizeni Kikwete alikua anatumia ubongo gani kisiasa kufanya kazi yake ya siasa na CCM yake kwa usahihi vile bila kusukumiza hiyo kazi kwa vyombo visivyohusika?Mtafuteni awape IQ yake

Effect zitaendelea kuwepo,mtaona
Dah umenifilisi umeumaliza umefunga mjadala
 
Hii hali ina morph into a giant destabilization hapa Tanzania

Pale CCM na serikali yake inapokabidhi mahakama na jeshi la polisi liifanyie kazi za siasa kwa lazima wakati ndio kazi yake hutokea haya

Mahakama ipo politicized,jeshi lipo ploticized,yanafanya siasa kwa niaba ya CCM

Hivyo hapa ni chaos mpaka muelewe kwamba hivi vyombo mlivyo vigeuza vyama vya siasa kwa niaba yenu ni big mistake mmefanya.

Halafu mnakuja hapa kuilaumu Chadema

Chadema na CCM ni vyama vya siasa na kufanya siasa ndio kazi yao...shida nyie kazi yenu ya siasa mmewakabidhi mahakama na jeshi liwafanyie...

Jeshi na mahakama yashachoka kufanya kazi ambayo sio yao,soon huu usenge watakuja kuwakatalia

Kupambana na Chadema kila siku nchi nzima inachosha hawa watu wa jeshi na mahakama

Wanadharaulika,wanatukanwa,wanatoa maamuzi ya kipumbavu na yanawekwa kwenye historia,wanaonekana wapumbavu,hawana akili,nk kwa niaba yenu nyie mmelala majumbani kwenu mnakuna pumbu tu

Kupambana na Chadema sio kazi ndogo kabisa maana unapambana na wananchi wasio na hatia na wamezagaa nchi nzima kila siku unashika na kufunga na kupeleka mahakamani watu wasio na hatia na records zipo na upumbavu wote ni recorded

Jeshi limechoka,mahakama zimechoka kufanyia CCM kazi zake za siasa...kuna siku wataamka asubuhi mnawapigia simu hawatapokea..wamechoka hawa.

it is traumatic,msidhani wanafurahi kama mnavyojibenua matakor hapa...

Muulizeni Kikwete alikua anatumia ubongo gani kisiasa kufanya kazi yake ya siasa na CCM yake kwa usahihi vile bila kusukumiza hiyo kazi kwa vyombo visivyohusika?Mtafuteni awape IQ yake

Effect zitaendelea kuwepo,mtaona
Mbinu ya jK mbona inajulikana mzee, alikuwa anagawa mshiko kwa hawa wapinzani fake ili wasimsumbue sana, yaani waume na kupuliza!! The same time akawa anawatumia kuwaangamiza wapinzani wake wakubwa wa kisiasa esp. Lowassa na kundi lake!! JPM alikataa hilo, ndio hapo njaa upinzani ikawa kubwa, walipotaka kuwa really JPM akatumia mkono wa chuma!! Njaa ilipozidi ndipo wengi wao wakaamua kuunga juhudi kuokoa matumbo yao, jambo ambalo limewakatisha tamaa mno wananchi waliowapigania wakidhani ni wenzao. Leo hii nani ana uhakika akimchagua Mbunge wa upinzani hatokuja kusaliti mbele ya safari?
 
Back
Top Bottom