Majaji kutokujua kingereza ni tusi? shame on you
Tetetetete BashiteWatu wanauana huko babati kwa kufumaniana wewe uko busy hapa kuongea kichademachadema
1) Ugomvi na serikali hii ya ccm.Chadema wana ugomvi na bunge na Ndugai ukija kwenye serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda mahakamani ndio usiseme Lisu alishatukana hadi majaji kuwa hawajui kiingereza na hawana Imani na majaji wa Tanzania
Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
yoote si miCCM tuCHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.
Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Ugomvi wao uko kwenye katiba ambayo inabeda vyote hivyo vitatu, ukiikataa katiba lazima ugombane na vyote hivyo.CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.
Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Kila siku nakumbia hama kwa shemeji ndio utaijua vizuri nchi hii ilivyo tatizo lako kula kulala manina.CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.
Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Kwa mtu timamu angetafuta sababu! Chadema wako mbele ya muda ndio maanaCHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.
Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Vilaza wa CCMYeye Mwenyewe Lisu hajui kuongea alitakiwa kusema baadhi sema mdomo wake akianza kuongea huwa network kati ya ubongo na ulimi huwa network inakatika
CHADEMA wana ugomvi na Bunge na Ndugai ukija kwenye Serikali ndio kabisa hawaivi nayo ukienda Mahakamani ndio usiseme Lissu alishatukana hadi Majaji kuwa hawajui Kiingereza na hawana Imani na Majaji wa Tanzania.
Hiki Chama vipi? Ukidharau mihimili yote utakuwa mgeni wa nani?
Dah umenifilisi umeumaliza umefunga mjadalaHii hali ina morph into a giant destabilization hapa Tanzania
Pale CCM na serikali yake inapokabidhi mahakama na jeshi la polisi liifanyie kazi za siasa kwa lazima wakati ndio kazi yake hutokea haya
Mahakama ipo politicized,jeshi lipo ploticized,yanafanya siasa kwa niaba ya CCM
Hivyo hapa ni chaos mpaka muelewe kwamba hivi vyombo mlivyo vigeuza vyama vya siasa kwa niaba yenu ni big mistake mmefanya.
Halafu mnakuja hapa kuilaumu Chadema
Chadema na CCM ni vyama vya siasa na kufanya siasa ndio kazi yao...shida nyie kazi yenu ya siasa mmewakabidhi mahakama na jeshi liwafanyie...
Jeshi na mahakama yashachoka kufanya kazi ambayo sio yao,soon huu usenge watakuja kuwakatalia
Kupambana na Chadema kila siku nchi nzima inachosha hawa watu wa jeshi na mahakama
Wanadharaulika,wanatukanwa,wanatoa maamuzi ya kipumbavu na yanawekwa kwenye historia,wanaonekana wapumbavu,hawana akili,nk kwa niaba yenu nyie mmelala majumbani kwenu mnakuna pumbu tu
Kupambana na Chadema sio kazi ndogo kabisa maana unapambana na wananchi wasio na hatia na wamezagaa nchi nzima kila siku unashika na kufunga na kupeleka mahakamani watu wasio na hatia na records zipo na upumbavu wote ni recorded
Jeshi limechoka,mahakama zimechoka kufanyia CCM kazi zake za siasa...kuna siku wataamka asubuhi mnawapigia simu hawatapokea..wamechoka hawa.
it is traumatic,msidhani wanafurahi kama mnavyojibenua matakor hapa...
Muulizeni Kikwete alikua anatumia ubongo gani kisiasa kufanya kazi yake ya siasa na CCM yake kwa usahihi vile bila kusukumiza hiyo kazi kwa vyombo visivyohusika?Mtafuteni awape IQ yake
Effect zitaendelea kuwepo,mtaona
Mbinu ya jK mbona inajulikana mzee, alikuwa anagawa mshiko kwa hawa wapinzani fake ili wasimsumbue sana, yaani waume na kupuliza!! The same time akawa anawatumia kuwaangamiza wapinzani wake wakubwa wa kisiasa esp. Lowassa na kundi lake!! JPM alikataa hilo, ndio hapo njaa upinzani ikawa kubwa, walipotaka kuwa really JPM akatumia mkono wa chuma!! Njaa ilipozidi ndipo wengi wao wakaamua kuunga juhudi kuokoa matumbo yao, jambo ambalo limewakatisha tamaa mno wananchi waliowapigania wakidhani ni wenzao. Leo hii nani ana uhakika akimchagua Mbunge wa upinzani hatokuja kusaliti mbele ya safari?Hii hali ina morph into a giant destabilization hapa Tanzania
Pale CCM na serikali yake inapokabidhi mahakama na jeshi la polisi liifanyie kazi za siasa kwa lazima wakati ndio kazi yake hutokea haya
Mahakama ipo politicized,jeshi lipo ploticized,yanafanya siasa kwa niaba ya CCM
Hivyo hapa ni chaos mpaka muelewe kwamba hivi vyombo mlivyo vigeuza vyama vya siasa kwa niaba yenu ni big mistake mmefanya.
Halafu mnakuja hapa kuilaumu Chadema
Chadema na CCM ni vyama vya siasa na kufanya siasa ndio kazi yao...shida nyie kazi yenu ya siasa mmewakabidhi mahakama na jeshi liwafanyie...
Jeshi na mahakama yashachoka kufanya kazi ambayo sio yao,soon huu usenge watakuja kuwakatalia
Kupambana na Chadema kila siku nchi nzima inachosha hawa watu wa jeshi na mahakama
Wanadharaulika,wanatukanwa,wanatoa maamuzi ya kipumbavu na yanawekwa kwenye historia,wanaonekana wapumbavu,hawana akili,nk kwa niaba yenu nyie mmelala majumbani kwenu mnakuna pumbu tu
Kupambana na Chadema sio kazi ndogo kabisa maana unapambana na wananchi wasio na hatia na wamezagaa nchi nzima kila siku unashika na kufunga na kupeleka mahakamani watu wasio na hatia na records zipo na upumbavu wote ni recorded
Jeshi limechoka,mahakama zimechoka kufanyia CCM kazi zake za siasa...kuna siku wataamka asubuhi mnawapigia simu hawatapokea..wamechoka hawa.
it is traumatic,msidhani wanafurahi kama mnavyojibenua matakor hapa...
Muulizeni Kikwete alikua anatumia ubongo gani kisiasa kufanya kazi yake ya siasa na CCM yake kwa usahihi vile bila kusukumiza hiyo kazi kwa vyombo visivyohusika?Mtafuteni awape IQ yake
Effect zitaendelea kuwepo,mtaona