CHADEMA inamuhitaji lissu na sio mbowe

CHADEMA inamuhitaji lissu na sio mbowe

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Mbowe akiendelea kuongoza chadema itabaki hivi
 

Attachments

  • 20241220_094028.jpg
    20241220_094028.jpg
    34.3 KB · Views: 2
Mbowe akiendelea kuongoza chadema itabaki hivi
mabadiliko ni kitu kisichopingika,

hata kama mbowe amekua mzuri kiasi gani ila zama zimebadilika na style yake ya uongozi imefikia ukomo wa mafanikio,

mambo mengi ya hivi karibuni ambayo mbowe alienda kinyume na Lissu yalifeli vibaya,
ikiwemo ajenda ya maridhiano na kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, lissu alikua against haya mambo ila mbowe ali influence kamati kuu basi ikabdi wote watii maamuzi ya ngazi hyo, ila matokeo yake tumeona.

ni wazi mbowe style imetosha sasa namna mpya inahitajika kupambana na ccm.

lissu ni faida kwa chadema kuliko chadema ilivyo faida kwa lissu.
lissu kwa hulka yake atapigana vita zote kukitetea chama ila mbowe umri umeenda, anaogopa mapambano.

ni wazi kizazi kipya kina muunga mkono lissu na sio Mbowe.

busara zimuelekeze mbowe kustaafu kwa heshima, ili na atua amemaliza majungu yote wanayotamba nayo ccm kuwa chadema ni Saccos ya mbowe na ni chama cha wachaga
 
Haahaa wabaya wa chadema na wenyeviti wa chadema baadhi wa mikoa kwamba Bado anakubali, kumbe ni uwongo
 
Wewe ndo utabaki hivo ! Mbowe alikuwepo na ataendelea kuwepo
 
Back
Top Bottom