Chadema inatumia stratejia ya "matukio" kujiweka kwenye ramani ya siasa...CCM imeshawashtukia!

Chadema inatumia stratejia ya "matukio" kujiweka kwenye ramani ya siasa...CCM imeshawashtukia!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kinachondelea ndani ya Chadema ni mbinu ya kukifanya chama chao kisemwe na kusikika katika jamii na nyanja za kisiasa.

Hii ni mbinu iliyopitwa na muda yaani kutengeneza drama ili msikike na kutajwatajwa.

Kamwe mbinu hii haitaondoa ukweli kwamba CCM imeshawashinda kwa kuchukua sehemu kubwa ya uongozi wa vijiji na mitaa.
 
True,
Japo Kuna watu watakuja kukomenti JINGALAO😂
 
User name yako inaelekea kusadifu ulichoandika. Ila uzuri ni kwamba mjinga akielimishwa ujinga wake humtoka, tofauti na mpumbavu. Upumbavu ni mzigo mzito sana ukiwa kwa mtu au jamii.
 
Back
Top Bottom