kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kupata mwanasiasa mwenye kariba ya Halima Mdee na Esther Bulaya kwenye upinzani sio jambo jepesi, hasa katika nyakati hizi ambazo CCM inamtafuta kila mwanasiasa maarufu kutoka upinzani.
Akina Halima ni wazoefu, wasomi, wenye misuli ya fedha za kupiga kampeni zao na za chama na wanakubalika kwenye jamii.
Chadema warejeshi hawa watu ili kuonyesha zile 4Rs za Rais Samia kuwa hata kwenu hizo Rs zinafanya kazi.
Akina Halima ni wazoefu, wasomi, wenye misuli ya fedha za kupiga kampeni zao na za chama na wanakubalika kwenye jamii.
Chadema warejeshi hawa watu ili kuonyesha zile 4Rs za Rais Samia kuwa hata kwenu hizo Rs zinafanya kazi.