kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #21
Kwani TLP, NCCR na CUP Bado vipo? Hata chadema isipokuwa makini itakufa polepole. Ili CCM iwaogope na muonekane mmekomaa warejesheni kundini mliotofaitiana mitizamo. CCM iliwarudisha kundini akina Lowassa, sumaye, membe, dr.slaa, mrema, nk ambao walitimkiaga vyama vingine sembuse nyinyi wachanga.Takataka TU!! Kwa iyo wakifa na chadema imekufa?
KAZI ni kipimo cha UTU