Pre GE2025 CHADEMA is not ready for prime time!

Pre GE2025 CHADEMA is not ready for prime time!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hiki chama kinachojinasibu kuwa ndo chama kikuu cha upinzani nchini [whatever that means], bado sana.

Bado hakipo tayari kuongoza nchi. Kinaweza kuwa na miaka 30+ sasa tokea kiundwe, ukweli wa mambo ni kwamba bado hakijakomaa.

Yaani zoezi dogo tu la kupiga kura ndani ya chama kuchagua viongozi wao, wanatumia siku nzima kulikamilisha?

Hawa si watu wa kupewa ridhaa ya kuongoza nchi kwa sasa.

Hawawezi kuendesha chaguzi zao wenyewe zenye wapiga kura 1,000 kwa haraka, ndo wataweza kuongoza watu zaidi ya milioni 60 na taasisi zote za kiserikali zilizopo?

Sidhani.

Iwe iwavyo itavyokuwa, baada ya huu uchaguzi wao itabidi wajiangalie na wajirekebishe katika jinsi wanavyoendesha mambo yao.

Wanaziachia fursa ndogo ndogo kama hizi za kujitenganisha vyema kabisa na CCM, ziwapite.

Walikuwa na muda wote huo wa kujiandaa na huo uchaguzi wao, lakini wapi!”

Mambo kama haya yanapaswa kutokukubalika kabisa la sivyo yataendelea kuwepo na yatakimulika chama katika mwanga ulio hasi.

CHADEMA, do better.
 
Unaumia ukiwa wapi?

Na bado. Chadema wanawaonyesha watanzania kwa vitendo nini maana ya demokrasia.

Na kupitia Chadema watanzania wanajifunza kuwa inawezekana mkatofautiana kimtazamo bila kutukanana na kukomoana kama mnavyofanyiana huko CCM.

The future of Tanzania will be in safe hands kama Serikali ikiongozwa na Chadema.
 
Hiki chama kinachojinasibu kuwa ndo chama kikuu cha upinzani nchini [whatever that means], bado sana.

Bado hakipo tayari kuongoza nchi. Kinaweza kuwa na miaka 30+ sasa tokea kiundwe, ukweli wa mambo ni kwamba bado hakijakomaa.

Yaani zoezi dogo tu la kupiga kura ndani ya chama kuchagua viongozi wao, wanatumia siku nzima kulikamilisha?

Hawa si watu wa kupewa ridhaa ya kuongoza nchi kwa sasa.

Hawawezi kuendesha chaguzi zao wenyewe zenye wapiga kura 1,000 kwa haraka, ndo wataweza kuongoza watu zaidi ya milioni 60 na taasisi zote za kiserikali zilizopo?

Sidhani.

Iwe iwavyo itavyokuwa, baada ya huu uchaguzi wao itabidi wajiangalie na wajirekebishe katika jinsi wanavyoendesha mambo yao.

Wanaziachia fursa ndogo ndogo kama hizi za kujitenganisha vyema kabisa na CCM, ziwapite.

Walikuwa na muda wote huo wa kujiandaa na huo uchaguzi wao, lakini wapi!”

Mambo kama haya yanapaswa kutokukubalika kabisa la sivyo yataendelea kuwepo na yatakimulika chama katika mwanga ulio hasi.

CHADEMA, do better.
Bila Mbowe kupisha wengine pale juu usitegemee jipya kwasasa
 
Yaani zoezi dogo tu la kupiga kura ndani ya chama kuchagua viongozi wao, wanatumia siku nzima kulikamilisha?

Kwani ratiba yao ya upigaji kura na muda wataotoa matokeo hawakuiweka bayana?

Isijekuwa ni utaratibu wameweka ya kwamba kura zitapigwa muda fulani, na matokeo yatatajwa muda fulani , hivyo wapo ndani ya ratiba zao.
 
Unaumia ukiwa wapi?

Na bado. Chadema wanawaonyesha watanzania kwa vitendo nini maana ya demokrasia.

Na kupitia Chadema watanzania wanajifunza kuwa inawezekana mkatofautiana kimtazamo bila kutukanana na kukomoana kama mnavyofanyiana huko CCM.

The future of Tanzania will be in safe hands kama Serikali ikiongozwa na Chadema.
Niumie kisa CHADEMA isiyoweza kuhesabu kura 1,000 ndani ya dakika 10?

Makamanda hamna kabisa akili…..na ndo maana hata kuhesabu kura kunawashinda 🤣.
 
Hiki chama kinachojinasibu kuwa ndo chama kikuu cha upinzani nchini [whatever that means], bado sana.

Bado hakipo tayari kuongoza nchi. Kinaweza kuwa na miaka 30+ sasa tokea kiundwe, ukweli wa mambo ni kwamba bado hakijakomaa.

Yaani zoezi dogo tu la kupiga kura ndani ya chama kuchagua viongozi wao, wanatumia siku nzima kulikamilisha?

Hawa si watu wa kupewa ridhaa ya kuongoza nchi kwa sasa.

Hawawezi kuendesha chaguzi zao wenyewe zenye wapiga kura 1,000 kwa haraka, ndo wataweza kuongoza watu zaidi ya milioni 60 na taasisi zote za kiserikali zilizopo?

Sidhani.

Iwe iwavyo itavyokuwa, baada ya huu uchaguzi wao itabidi wajiangalie na wajirekebishe katika jinsi wanavyoendesha mambo yao.

Wanaziachia fursa ndogo ndogo kama hizi za kujitenganisha vyema kabisa na CCM, ziwapite.

Walikuwa na muda wote huo wa kujiandaa na huo uchaguzi wao, lakini wapi!”

Mambo kama haya yanapaswa kutokukubalika kabisa la sivyo yataendelea kuwepo na yatakimulika chama katika mwanga ulio hasi.

CHADEMA, do better.
Chukua Nchi wewe,kama unadhani ni rahisi
 
Hata mimi nimeshawatoa kwenye imani kitambo ni bora tuendelee tu na hili zimwi letu
 
Kwani ratiba yao ya upigaji kura na muda wataotoa matokeo hawakuiweka bayana?

Isijekuwa ni utaratibu wameweka ya kwamba kura zitapigwa muda fulani, na matokeo yatatajwa muda fulani , hivyo wapo ndani ya ratiba zao.
Kwamba watapiga kura usiku wa manane na kuzihesabu usiku wa manane mpaka asubuhi ya kesho yake?

Kama ni hivyo basi hawafai kabisa.
 
Back
Top Bottom