Uchaguzi 2020 CHADEMA isihangaike na Urais imeweka wagombea asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania, hawawezi shinda au kuunda Serikali

Uchaguzi 2020 CHADEMA isihangaike na Urais imeweka wagombea asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania, hawawezi shinda au kuunda Serikali

Zitto sio ACT na Mbowe sio Chadema. Hayo maamuzi ya chama yanahusianaje na mtu individual?
Unless huna akili ndio waweza kuona kwa muono huo kwamba ni kitu kimoja.
Act ni ya Zito na Cdm ni saccos ya Mbowe kamwe huwezi tenganisha.
mwaka huu akuna mbeleko kilamtu ashinde mechi zake.
 
Act ni ya Zito na Cdm ni saccos ya Mbowe kamwe huwezi tenganisha.
mwaka huu akuna mbeleko kilamtu ashinde mechi zake.
Werevu walitufundisha "never argue with a fool, people mighty not notice the difference". Naheshimu sana mafundisho hayo.
 
Werevu walitufundisha "never argue with a fool, people mighty not notice the difference". Naheshimu sana mafundisho hayo.
haaa wapi akuna mbeleko mwaka huu.kilamtu apambane na hali yake.mbeleko ya ukawa amuipati tena.
 
Ni kweli ndio maana anatuma wakala kumchukulia fomu huku akiangalia upepo unaendaje anavyozunguka nayo hiyo fomu

Uwezekano wa kurudi haupo mjanja tapeli Lisu.Atawaacha chadema mchana kweupe Kama alivyofanya mwaka Jana watu wakoshona hadi T-shirt na vitenge wapige pesa vikawadodea hakutokea akijitia anaonyesha Hadi booking ya ndege ambayo Alikuwa hata hajalipia Ile unakata online ukifika sehemu ya kuendelea kulipa akasepa aka print akawa anaonyesha kuwa tayari kulipia!!!! Wajinga wakaamini!!

Slaa factor na Lowasa factor ndio iliipaisha Chadema .Bila hizo factor mbili Chadema hakina tofauti na UDP Cha mzee Cheyo!!

Safari hii hawakatizi kinarudi kuungana na UDP kitakuwa hoi bin taabani

Cdm haiwezi kufa kwa kukosa kura, bali inaweza kufanyiwa siasa za kishenzi, kikatili na kihayawani. Siasa hizo za kishenzi tu ndio zinaweza kuinyima nafasi ya kufanya siasa, na sio kinyume chake.
 
Kubenea anagombea kupitia NCCR
kumbe alishahama....ni wale walio ahidiwa viti 30 vya bure na rais ....ninavyoona hali ya hewa uchaguzi huu inabadilika ghafla ....rais atapita ...ila sijui kwa asilimia ngapi ...ila majimboni kama hawatafanya hujuma na uhuni kama uchaguzi wa serikali za mitaaa ....kuna uwezekano wapinzani wakapata viti vingi kuliko 2015...
Na kama watalazimisha uhuni kama wa serikali za mitaaa kuna muelekeo mkubwa wa umwagikaji mkubwa wa damu ......na dalili zote zinaonyesha watataka kupitisha wabunge kihuni bila kupingwa
 
CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.

CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!

Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
UMEONGEA UTUMBO WEWE MBOGAMBOGA
 
CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.

CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!

Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
Lile Jiwe lenu la tumbawe, mara hii linaenda kupasuliwa vipandevipande na mtu mmoja hivi anaitwa Tundu Lissu.
 
Ni kama Meko anavyomtafuna Jok#te
[emoji3][emoji3][emoji3]Acheni kumhofia gwajima kwa kuijificha kwenye vikashfa vyenu uchwara.

Acheni democrasia itawale, kama suala la kula wafuasi hat mwenyekiti wenu wabunge viti maalum kigezo ni kutafunwa kwanza
 
Wanasubiri hao watakaokatwa CCM wawasajili kugombea.

BTW: Hesabu za CDM hazitofautiani na zile za kilimo cha matikiti kwa pdf.

Heka moja kutoa 50M faida kwa msimu mmoja.
Nimepoteza dakika moja nikijaribu kulielewa na kuliwazia hili!

Mstari wa pili na watatu hauleti mantiki yoyote.

Jaribu tena.
 
CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.

CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!

Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
Kadanganyane na mkeo! Hebu weka ushahidi kwamba Chadema wameweka wagombea asilimia 5 tu ya majimbo yote? Safari hii naona mmepagawa!
 
CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.

CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!

Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
hangaika kwanza na vita iliyopo yako kati ya wahamiaji ( migrants) na wafia chama!!

Wafia chama hawana furaha ndani ya chama chao wanachokipigania kuga kuona baada ya wahamiaji kubeba teuzi zote!!
 
Utakua mchawi au mganga wankienyeji na bado kijana
CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.

CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!

Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
 
Back
Top Bottom