Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
CCM imeleta Wacheza Porno Kugombea Kawe 😀 😀 😀 😀.Pia mcheza xxx Mwijaku siunakumbuka hile xxx yao na menina, sasa na yeye anagombea kawe CCM ahaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM imeleta Wacheza Porno Kugombea Kawe 😀 😀 😀 😀.Pia mcheza xxx Mwijaku siunakumbuka hile xxx yao na menina, sasa na yeye anagombea kawe CCM ahaaaaa
Act ni ya Zito na Cdm ni saccos ya Mbowe kamwe huwezi tenganisha.Zitto sio ACT na Mbowe sio Chadema. Hayo maamuzi ya chama yanahusianaje na mtu individual?
Unless huna akili ndio waweza kuona kwa muono huo kwamba ni kitu kimoja.
Werevu walitufundisha "never argue with a fool, people mighty not notice the difference". Naheshimu sana mafundisho hayo.Act ni ya Zito na Cdm ni saccos ya Mbowe kamwe huwezi tenganisha.
mwaka huu akuna mbeleko kilamtu ashinde mechi zake.
haaa wapi akuna mbeleko mwaka huu.kilamtu apambane na hali yake.mbeleko ya ukawa amuipati tena.Werevu walitufundisha "never argue with a fool, people mighty not notice the difference". Naheshimu sana mafundisho hayo.
Ni kweli ndio maana anatuma wakala kumchukulia fomu huku akiangalia upepo unaendaje anavyozunguka nayo hiyo fomu
Uwezekano wa kurudi haupo mjanja tapeli Lisu.Atawaacha chadema mchana kweupe Kama alivyofanya mwaka Jana watu wakoshona hadi T-shirt na vitenge wapige pesa vikawadodea hakutokea akijitia anaonyesha Hadi booking ya ndege ambayo Alikuwa hata hajalipia Ile unakata online ukifika sehemu ya kuendelea kulipa akasepa aka print akawa anaonyesha kuwa tayari kulipia!!!! Wajinga wakaamini!!
Slaa factor na Lowasa factor ndio iliipaisha Chadema .Bila hizo factor mbili Chadema hakina tofauti na UDP Cha mzee Cheyo!!
Safari hii hawakatizi kinarudi kuungana na UDP kitakuwa hoi bin taabani
Awamu hii Hawatoki
Nasema hawatoki
kumbe alishahama....ni wale walio ahidiwa viti 30 vya bure na rais ....ninavyoona hali ya hewa uchaguzi huu inabadilika ghafla ....rais atapita ...ila sijui kwa asilimia ngapi ...ila majimboni kama hawatafanya hujuma na uhuni kama uchaguzi wa serikali za mitaaa ....kuna uwezekano wapinzani wakapata viti vingi kuliko 2015...Kubenea anagombea kupitia NCCR
UMEONGEA UTUMBO WEWE MBOGAMBOGACHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.
CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!
Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
Lile Jiwe lenu la tumbawe, mara hii linaenda kupasuliwa vipandevipande na mtu mmoja hivi anaitwa Tundu Lissu.CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.
CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!
Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
[emoji3][emoji3][emoji3]Acheni kumhofia gwajima kwa kuijificha kwenye vikashfa vyenu uchwara.
Acheni democrasia itawale, kama suala la kula wafuasi hat mwenyekiti wenu wabunge viti maalum kigezo ni kutafunwa kwanza
Nimepoteza dakika moja nikijaribu kulielewa na kuliwazia hili!Wanasubiri hao watakaokatwa CCM wawasajili kugombea.
BTW: Hesabu za CDM hazitofautiani na zile za kilimo cha matikiti kwa pdf.
Heka moja kutoa 50M faida kwa msimu mmoja.
Ccm wana matatizo, wameshindwa kubomoa jengo la Tanesco Ubungo ndio wataweza kuibomoa Chadema
Kadanganyane na mkeo! Hebu weka ushahidi kwamba Chadema wameweka wagombea asilimia 5 tu ya majimbo yote? Safari hii naona mmepagawa!CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.
CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!
Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
hangaika kwanza na vita iliyopo yako kati ya wahamiaji ( migrants) na wafia chama!!CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.
CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!
Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali.
CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna mgombea wa CHADEMA. CCM IMEJAZA MAJIMBO YOTE TANZANIA bara na visiwani. CHADEMA Zanzibari mfano hakuna mgombea ubunge mtia nia kupitia CHADEMA hata mmoja!
Maana yake nini? Ni kuwa hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali!!! na sio rahisi mgombea wao wa Uraisi kushinda.
Hahahaha hahahaha hahahahahhSina shaka na wewe maana kwanza bado ni verified member, meaning that you know nothing.
No offense mkuu.Hahahaha hahahaha hahahahahh