Uchaguzi 2020 CHADEMA isiwahadae Watanzania si Maamuma wa Sheria

Uchaguzi 2020 CHADEMA isiwahadae Watanzania si Maamuma wa Sheria

Bila CDM sijui tungekuwa kwenye utumwa wa namba gani nchi hii, sasa ni wakati wa kuwaweka madarakani CDM tupate mabadiliko ya kweli.
Ha ha ha ha upuuzi mtupu. Mwambie Mbowe aiweke pale Ufipa, punguani nyie. Bado kipondo kipo palepale
 
Ha ha ha ha upuuzi mtupu. Mwambie Mbowe aiweke pale Ufipa, punguani nyie. Bado kipondo kipo palepale
Ukiwa na akili nzuri huwezi kumshabikia jiwe labda tu kama una akili mbovu kama zake.
 
Back
Top Bottom