Nassor Mohamed
Member
- Sep 1, 2020
- 86
- 41
Kwa akili yako unafikiri hizo taasisi hazina wananchi nyuma yake? Una akili za kitoto sana!Chadema inachaguliwa na wananchi makini na sio kikundi kidogo cha watu.
Kwa akili yako unafikiri hizo taasisi hazina wananchi nyuma yake? Una akili za kitoto sana!
Ccm Zanzibar inatia huruma .*CHADEMA WATACHAGULIWA NA NANI?.*
Chadema wanataka kuchukua dola lakini mpaka sasa wameshagombana karibu na kila chombo wanachotaka kwenda kukiongoza.
Polisi hawafai
Mahakama Haifai....
Umma wa Watanzania unaojali Uhuru,haki na maendeleo+ uzalendo halisiCHADEMA inachaguliwa na wananchi makini na sio kikundi kidogo cha watu.
Kama mnavyosema wafanya kazi wana kundi la watu basi hata hao wana kundi la watu! Sasa mtachaguliwa na nani?CHADEMA inachaguliwa na wananchi makini na sio kikundi kidogo cha watu.
*CHADEMA WATACHAGULIWA NA NANI?.*
Chadema wanataka kuchukua dola lakini mpaka sasa wameshagombana karibu na kila chombo wanachotaka kwenda kukiongoza.
Polisi hawafai
Mahakama Haifai
Takukuru Haifai
Usalama Haufai
Tbc Hawafai
Clouds Hawafai
Uhuru Hawafai
Channel Ten Hawafai
Tume Ya Uchaguzi Haifai
Wakurugenzi Hawafai
Mawaziri Hawafai
Ma-Rc Hawafai
Ma-Dc Hawafai
Wanataaluma ndo Hovyo Kabisa
Wenyeviti wa mitaa Hawafai
Kila jambo na kila mtu kwao hafai
Sasa katika kundi kubwa namna hii ambalo kwao ndilo halifai ndo wanashiriki mchakato wa kupiga kura.
Nini wewee mbwiga? Unataga? Nakuuliza tena UNATAGA? Na kama Unataga ni lazima utage mayai yako humu jamvini?*CHADEMA WATACHAGULIWA NA NANI?.*
Chadema wanataka kuchukua dola lakini mpaka sasa wameshagombana karibu na kila chombo wanachotaka kwenda kukiongoza.
Polisi hawafai
Mahakama Haifai
Takukuru Haifai
Usalama Haufai
Tbc Hawafai
Clouds Hawafai
Uhuru Hawafai
Channel Ten Hawafai
Tume Ya Uchaguzi Haifai
Wakurugenzi Hawafai
Mawaziri Hawafai
Ma-Rc Hawafai
Ma-Dc Hawafai
Wanataaluma ndo Hovyo Kabisa
Wenyeviti wa mitaa Hawafai
Kila jambo na kila mtu kwao hafai
Sasa katika kundi kubwa namna hii ambalo kwao ndilo halifai ndo wanashiriki mchakato wa kupiga kura.
Nani wa kubadilisha? Huyo Lissu na poyoyo wake Salum Mwalimu?Mifumo inayoongoza hizo taasisi ndo haifai, na itabadilishwa baada ya tarehe 28/10/2020
Ccm Zanzibar inatia huruma .
Mgombea Urais Wanapewa
Wabunge wanapewa
Hata wawakilishi wanapewa kutoka Dodoma.
Tukumbuke ASP+TANU =CCM
Lakini Zanzibar hawezi kutoa M/Kiti wala SG
Kuna Makamu Wenyeviti 2
Akifa M/Kiti wao wa taifa anachukua nafasia Makamu wa Bara Ccm
Kwa ufupi Ccm Zanzibar Kama Tawi la Ccm Mtwara.
Wanzazibar hamkeni.
Makundi yote haya yatampigia kura Lissu.Kwa akili yako unafikiri hizo taasisi hazina wananchi nyuma yake? Una akili za kitoto sana!