Nassor Mohamed
Member
- Sep 1, 2020
- 86
- 41
*CHADEMA WATACHAGULIWA NA NANI?.*
Chadema wanataka kuchukua dola lakini mpaka sasa wameshagombana karibu na kila chombo wanachotaka kwenda kukiongoza.
Polisi hawafai
Mahakama Haifai
Takukuru Haifai
Usalama Haufai
Tbc Hawafai
Clouds Hawafai
Uhuru Hawafai
Channel Ten Hawafai
Tume Ya Uchaguzi Haifai
Wakurugenzi Hawafai
Mawaziri Hawafai
Ma-Rc Hawafai
Ma-Dc Hawafai
Wanataaluma ndo Hovyo Kabisa
Wenyeviti wa mitaa Hawafai
Kila jambo na kila mtu kwao hafai
Sasa katika kundi kubwa namna hii ambalo kwao ndilo halifai ndo wanashiriki mchakato wa kupiga kura.
Chadema wanataka kuchukua dola lakini mpaka sasa wameshagombana karibu na kila chombo wanachotaka kwenda kukiongoza.
Polisi hawafai
Mahakama Haifai
Takukuru Haifai
Usalama Haufai
Tbc Hawafai
Clouds Hawafai
Uhuru Hawafai
Channel Ten Hawafai
Tume Ya Uchaguzi Haifai
Wakurugenzi Hawafai
Mawaziri Hawafai
Ma-Rc Hawafai
Ma-Dc Hawafai
Wanataaluma ndo Hovyo Kabisa
Wenyeviti wa mitaa Hawafai
Kila jambo na kila mtu kwao hafai
Sasa katika kundi kubwa namna hii ambalo kwao ndilo halifai ndo wanashiriki mchakato wa kupiga kura.