Uchaguzi 2020 CHADEMA itashinda Chato na Majimbo yote ya Geita

Uchaguzi 2020 CHADEMA itashinda Chato na Majimbo yote ya Geita

Nimekuwa Geita kikazi nikagundua CCM ilishafutika kabisa kule na Chadema inaweza shinda Jimbo lolote kule .

Kuanzia Bukombe, Geita mjini, Geita vijijini, Sengerema Buchosa hakuna kabisa kitu kinaitwa CCM..

Watu wanasema wazi walimchagua Magufuli kwa kujuwa atawaletea maendeleo na Katiba mpya baada ya kusema Magufuli for change (M4C).

Watu pia wanakazia kwa kusema baada ya kumchagua wakampa na wabunge ili hasiwe na kisingizio ila ni kama vile aliwasaliti..

Baada ya kuwachomea nyavu zao za uvuvi kisa uvuvi haramu na maelfu ya watu kukosa ajira.

Wengine wanasema maendelea yaliyopo Chato mengi hayaleti uhalisia mfano uwanja wa ndege wangapi wanapanda ndege? Hifadhi je wangapi wanapesa za kuingia kwenye hifadhi?

Wanasema kuna shule bado hazina walimu wa kutosha mkoa wa Geita, Hakuna madactari na manesi kwenye hospital ndani ya mkoa.

Pia wanasema bado Kuna tatizo la ulinzi na usalama mkoa wa Geita ambapo matukio ya watu kuuwawa kikatili yanatokea Sana huku polisi wakiwa busy na kuwafunga wakosoaji wa Magufuli na vyama pinzani.

Wanasema duka la MSD madawa yanauzwa Bei sawa na maduka ya dawa na wanufaika wakuu sio wanachi wa chato, Wazee na watoto na wamama bado wanna changamoto ya matibabu.

Wakazi wa chato wanasema sanasana gharama za maisha zimepanda Chato tofauti na zamani kutokana na watu kuamini kwamba Chato sasa Kuna pesa na kuanza kupeleka vitu kwa Bei ya juu.

Hayo ndio niliyoyaona Chato na Geita mtu wao watu wengi hawataki kabisa kumsikia.

Nikipata nauli nitaenda Kagera kule kwenye Tetemeko halikuletwa na Serikali nione uhalisia.
View attachment 1548948
NA BADO MAENEO MENGINE MFALME FARAO ANA HALI MBAYA SANA.
 
Nimekuwa Geita kikazi nikagundua CCM ilishafutika kabisa kule na Chadema inaweza shinda Jimbo lolote kule .

Kuanzia Bukombe, Geita mjini, Geita vijijini, Sengerema Buchosa hakuna kabisa kitu kinaitwa CCM..

Watu wanasema wazi walimchagua Magufuli kwa kujuwa atawaletea maendeleo na Katiba mpya baada ya kusema Magufuli for change (M4C).

Watu pia wanakazia kwa kusema baada ya kumchagua wakampa na wabunge ili hasiwe na kisingizio ila ni kama vile aliwasaliti..

Baada ya kuwachomea nyavu zao za uvuvi kisa uvuvi haramu na maelfu ya watu kukosa ajira.

Wengine wanasema maendelea yaliyopo Chato mengi hayaleti uhalisia mfano uwanja wa ndege wangapi wanapanda ndege? Hifadhi je wangapi wanapesa za kuingia kwenye hifadhi?

Wanasema kuna shule bado hazina walimu wa kutosha mkoa wa Geita, Hakuna madactari na manesi kwenye hospital ndani ya mkoa.

Pia wanasema bado Kuna tatizo la ulinzi na usalama mkoa wa Geita ambapo matukio ya watu kuuwawa kikatili yanatokea Sana huku polisi wakiwa busy na kuwafunga wakosoaji wa Magufuli na vyama pinzani.

Wanasema duka la MSD madawa yanauzwa Bei sawa na maduka ya dawa na wanufaika wakuu sio wanachi wa chato, Wazee na watoto na wamama bado wanna changamoto ya matibabu.

Wakazi wa chato wanasema sanasana gharama za maisha zimepanda Chato tofauti na zamani kutokana na watu kuamini kwamba Chato sasa Kuna pesa na kuanza kupeleka vitu kwa Bei ya juu.

Hayo ndio niliyoyaona Chato na Geita mtu wao watu wengi hawataki kabisa kumsikia.

Nikipata nauli nitaenda Kagera kule kwenye Tetemeko halikuletwa na Serikali nione uhalisia.
View attachment 1548948
Hayo ni matokeo ya unafiki,kusifia hata Maovu.nilifika mahali nikawachukia Wananchi wenzangu kuwa hawaoni uonevu was wazi?
 
Maskini huyu jamaa anawehuka mdogo mdogo mbele ya macho yetu. Huyu jamaa anahitaji msaada. Ukifuatilia mabandiko yake hapa kuanzia lile anaiombea nchi ipate corona, juzi katwambia Magufuli akishinda jamaa anahamisha familia na biashara nje ya nchi leo cheki huu uchafu anaotuletea.. Bavicha msaidieni mwenzenu anaondoka ivo
 
Mkuu kwa Kasheku hata wapige kura masaa mawili Chadema haishindi
 
Mimi ninaunga mkono upinzani lakini kiukweli upinzani hauwezi kupata hata kata moja mkoa wa geita Wala wilaya ya sengerema ,yaani miongoni mwa maeneo ambayo CCM itashinda kihalali kabisa ni mkoa wa geita na wilaya ya sengerema yaani Jimbo la buchosa na sengerema mjini
Kwa Nini?
 
Nimekuwa Geita kikazi nikagundua CCM ilishafutika kabisa kule na Chadema inaweza shinda Jimbo lolote kule .

Kuanzia Bukombe, Geita mjini, Geita vijijini, Sengerema Buchosa hakuna kabisa kitu kinaitwa CCM..

Watu wanasema wazi walimchagua Magufuli kwa kujuwa atawaletea maendeleo na Katiba mpya baada ya kusema Magufuli for change (M4C).

Watu pia wanakazia kwa kusema baada ya kumchagua wakampa na wabunge ili hasiwe na kisingizio ila ni kama vile aliwasaliti..

Baada ya kuwachomea nyavu zao za uvuvi kisa uvuvi haramu na maelfu ya watu kukosa ajira.

Wengine wanasema maendelea yaliyopo Chato mengi hayaleti uhalisia mfano uwanja wa ndege wangapi wanapanda ndege? Hifadhi je wangapi wanapesa za kuingia kwenye hifadhi?

Wanasema kuna shule bado hazina walimu wa kutosha mkoa wa Geita, Hakuna madactari na manesi kwenye hospital ndani ya mkoa.

Pia wanasema bado Kuna tatizo la ulinzi na usalama mkoa wa Geita ambapo matukio ya watu kuuwawa kikatili yanatokea Sana huku polisi wakiwa busy na kuwafunga wakosoaji wa Magufuli na vyama pinzani.

Wanasema duka la MSD madawa yanauzwa Bei sawa na maduka ya dawa na wanufaika wakuu sio wanachi wa chato, Wazee na watoto na wamama bado wanna changamoto ya matibabu.

Wakazi wa chato wanasema sanasana gharama za maisha zimepanda Chato tofauti na zamani kutokana na watu kuamini kwamba Chato sasa Kuna pesa na kuanza kupeleka vitu kwa Bei ya juu.

Hayo ndio niliyoyaona Chato na Geita mtu wao watu wengi hawataki kabisa kumsikia.

Nikipata nauli nitaenda Kagera kule kwenye Tetemeko halikuletwa na Serikali nione uhalisia.
View attachment 1548948
Pole sana. Chato ni Dr Medard Matogolo Kalemani yaani hata iweje huyo ndiye chaguo la wanachato!
 
Huna tofauti na yule anaye jichoma[emoji867][emoji867][emoji867]kisha na kujinusa, chadema kama waliipopoa na mawe chato ina maana u don't get it?
 
Back
Top Bottom