Uchaguzi 2020 CHADEMA itashinda Chato na Majimbo yote ya Geita

NA BADO MAENEO MENGINE MFALME FARAO ANA HALI MBAYA SANA.
 
Hayo ni matokeo ya unafiki,kusifia hata Maovu.nilifika mahali nikawachukia Wananchi wenzangu kuwa hawaoni uonevu was wazi?
 
Maskini huyu jamaa anawehuka mdogo mdogo mbele ya macho yetu. Huyu jamaa anahitaji msaada. Ukifuatilia mabandiko yake hapa kuanzia lile anaiombea nchi ipate corona, juzi katwambia Magufuli akishinda jamaa anahamisha familia na biashara nje ya nchi leo cheki huu uchafu anaotuletea.. Bavicha msaidieni mwenzenu anaondoka ivo
 
Mkuu kwa Kasheku hata wapige kura masaa mawili Chadema haishindi
 
Kwa Nini?
 
Pole sana. Chato ni Dr Medard Matogolo Kalemani yaani hata iweje huyo ndiye chaguo la wanachato!
 
Huna tofauti na yule anaye jichoma[emoji867][emoji867][emoji867]kisha na kujinusa, chadema kama waliipopoa na mawe chato ina maana u don't get it?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…