Elections 2010 CHADEMA itoe feedback kuhusu michango kwa ajili ya kampeni

JIWE2

Senior Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
125
Reaction score
18
Mpango wa kuchangia ni mzuri. Naomba Chadema iwe wazi kujulisha wapenzi wake kuwa imepata michango kiasi gani mpaka sasa na michango hiyo imesaidiaje kwenye kampeni zinazoendelea. Hilo linaweza kuwapa moyo zaidi wapenzi watakapotambua kwamba michango yao kidogo kidogo ina manufaa makubwa.
 
yani wameishiwa hadi wanaomba mchango kwa wananchi
 
DU; jamaa hata huchgangii unauliza nini? mie nachangia kwa moyo mweupe; Ndege hairuki bila mafuta; wajumbe hawatembei bila kula; slaa halali porini; na mengineyo na kwa uekewa wangu chama ni kichanga hakina hela; sina hilo swali maana najua hata mchango wangu bado ni kama kitu kidogo sana; zaidi wakimaliza uchaguzi tutawaulizia na tutaanza na kujipongeza kama washindi wa UFISADI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…