jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Hivi karibuni tulisikia namna chadema walivyotoa taarifa kuhusu ufuatiliaji wa simu ya Ali Kibao na wakatoa hadi namba ziliziwasiliana naye mara ya mwisho.
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?