Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Fuatilia alafu utupe mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameupata Tigo MilicomHivi karibuni tulisikia namna chadema walivyotoa taarifa kuhusu ufuatiliaji wa simu ya Ali Kibao na wakatoa hadi namba ziliziwasiliana naye mara ya mwisho.
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?
Na baadae likaibuliwaMbona ujasema Boni yai alishasema kuwa njia hakujua mtu yupo wapi kwa kutumia simu yake ni njia Rahisi sana. Na haichui hata Dakika tano unapata details zote huko ktk nchi za wenzetu kama china au Israel na akasema ukiwa narafiku zako nje unawapa tu namba ya mtu unaye taka wakupatie habari zake dakika tano wanskurushia kila kitu.Mimi sioni sababu ya kubumba bumba maswala mazito ya mauaji aidha Serikali ikitaka ichunguze ksma halina tija kwa taifa iache. Mbona swala la Lisu serikali imekaa kimya na watu hawajafanya kitu hata hili wanaweza wakalinyamazia nalikapita pia.
Ndivyo ilivyoNa baadae likaibuliwa
Ya Lissu ilikuwa LIVE ACCESS ambapo mtandao husika unakupatia hiyo LIVE ACCESS. Hii ya akina Mbowe hata Cyber Crime pale polisi unapata kwamba namba zipi ziliwasiliana na na namba husika hiyo ni rahisi.Hivi karibuni tulisikia namna chadema walivyotoa taarifa kuhusu ufuatiliaji wa simu ya Ali Kibao na wakatoa hadi namba ziliziwasiliana naye mara ya mwisho.
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?
Kasome IT. Hayo Mambo yanawezekana kwa wenye elm husika.Hivi karibuni tulisikia namna chadema walivyotoa taarifa kuhusu ufuatiliaji wa simu ya Ali Kibao na wakatoa hadi namba ziliziwasiliana naye mara ya mwisho.
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?
Sasa kama waiipata simu yake na zikaangaliwa dialed calls. Ama watekaji waliambaa na simu?Hivi karibuni tulisikia namna chadema walivyotoa taarifa kuhusu ufuatiliaji wa simu ya Ali Kibao na wakatoa hadi namba ziliziwasiliana naye mara ya mwisho.
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?
Kazi za machawaKtk kudhuriwa kila mtu atakusaidia aliekuwa mwema. Ktk kudhuru mtu hutakiwi umsaidie mtu kumdhuru mtu, ukimuona mtu anamsaidia kumdhuru mtu huyo mtu muogope sana
we punguani.Hivi karibuni tulisikia namna chadema walivyotoa taarifa kuhusu ufuatiliaji wa simu ya Ali Kibao na wakatoa hadi namba ziliziwasiliana naye mara ya mwisho.
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?
Kweli kabisa na watuambie bwasheeHivi karibuni tulisikia namna chadema walivyotoa taarifa kuhusu ufuatiliaji wa simu ya Ali Kibao na wakatoa hadi namba ziliziwasiliana naye mara ya mwisho.
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?
Hivi karibuni tulisikia namna chadema walivyotoa taarifa kuhusu ufuatiliaji wa simu ya Ali Kibao na wakatoa hadi namba ziliziwasiliana naye mara ya mwisho.
Je, utaalamu huu wa kufuatilia simu wameutoa wapi?
Je, katika tukio la lisu hawakuhusika kufuatilia pia?
Sheria ipi inayokataza mtu ku track simu ya mtu?Ila ni kosa kisheria
Hata hili hulijui ?Sheria ipi inayokataza mtu ku track simu ya mtu?
Amandla...