Chadema ituambie iliwezaje kufuatilia simu ya Ali Kibao?

Wameupata Tigo Milicom
 
Na baadae likaibuliwa
 
Ya Lissu ilikuwa LIVE ACCESS ambapo mtandao husika unakupatia hiyo LIVE ACCESS. Hii ya akina Mbowe hata Cyber Crime pale polisi unapata kwamba namba zipi ziliwasiliana na na namba husika hiyo ni rahisi.
 
Kuna mwamba anaitwa Nyarinjo kicheere anaweza kujibu swali hili vizuri
 
Kasome IT. Hayo Mambo yanawezekana kwa wenye elm husika.
Hata mume wako akitaka kufuatilia simu yako mpaka sms unazopata anaweza, labda tu hajataka.
Sawa jingalao?
 
Sasa kama waiipata simu yake na zikaangaliwa dialed calls. Ama watekaji waliambaa na simu?
 
Tulieni KESI ya lissu kuhusu Tigo ikae sawa,majibu mtajibiwa
 
Ktk kudhuriwa kila mtu atakusaidia aliekuwa mwema. Ktk kudhuru mtu hutakiwi umsaidie mtu kumdhuru mtu, ukimuona mtu anamsaidia kumdhuru mtu huyo mtu muogope sana
 
we punguani.
unauliza maswali ya ukichaa.
kwani huyo mzee kibao si alikuwa mwanachama wao na alikuwa ana share mambo yake na viongozi wenzake.
kwani mbowe aliwezaje kumfahamu Shetani Mafwele
 
Kweli kabisa na watuambie bwashee
 


Jibu hilo hapo kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…