Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
mndebile
nimeanza ku query kama kweli huyu ni lecturer wa chuo maana mara nyingi decision zake siyo decisive.
Lecturer wa chuo tena? Where did you get that from?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mndebile
nimeanza ku query kama kweli huyu ni lecturer wa chuo maana mara nyingi decision zake siyo decisive.
Jamaa ni shabiki, anaenda na upepo wa anachojisikia siku hiyo kitanufaisha upande wake. Akiwa anampenda Selelii atasema NEC wamrudishe, akimpenda Mtema atasema CHADEMA wasimwondoe. Ovyo, na ndio mwandishi wa CHADEMA, mshauri, mpiga debe....ndani ya week hii ulishawahi kusema kwenye post yako kuwa "angalau CCM wangewarudisha wapiganaji kama vile Selelii, Kimaro" ili wakapambane vizuri, wakati huo hukuona umuhimu wa kura ya maoni na leo hii unaona umuhimu wa kura ya maoni.
Kwamba wagombea kama Regia Mtema (kilombero) na Rachel Mashishanga (Segerea) wameombwa kuachia nafasi zao kuwapisha watu wengine (wote wanaume) ni jambo la kufanya watu kutikisa vichwa vyao. Chadema haiwezi kuendelea kusubiria viti vya vijana au wanawake ili kuwapa nafasi za kugombea.
Hayo tisa, yanayoendele kwenye teuzi za viti maalum ndio kichefuchefu kabisa!. Baada ya wapendwa wa "wazee" kushindwa vibaya kwenye mchujo halali wa BAWACHA, Mwenyekiti Mbowe kaamua uteuzi utafanywa na kamati "maalum" na sio kupitia uchaguizi wa BAWACHA tena.
Ikumbukwa miaka 5 iliyopita uteuzi wa viti hivi ulileta malalamiko sana. Uchaguzi umefdanyika na kwa bahati mbaya wabunge wote kasoro Lucy Owenye wameshindwa. Lakini kigugumizi kimeshaanza kwa Mbowe kukumbatia makabrasha ili akachague mwenyewe awatakao.
!
Asante sana Tindikali nilikuwa natafuta makala hii niibandike.![]()
M. M. Mwanakijiji
jumatano, 4 agosti 2010
Wabunge waliogongana Richmond warudishwe
Wana CCM kwenye kura za maoni wamefanya makosa makubwa kuamua kuwaondoa wachezeaji uwanjani badala ya kuja na kumaliza kipindi cha pili ati kwa vile wameonewa na kufungwa mabao mawili.
Ni kwa sababu hiyo ninaamini wabunge wafuatao warudishwe bungeni ili wakamalizie mechi yao kwani katika Tanzania ya leo
...Peter Serukamba (Kigoma Mjini), Anne Kilango Malecela (Same Mashariki), Dk. Harrison Mwakyembe (Kyela), Lucas Selelii (Nzega), Aloyce Kimaro (Vunjo) na Said Juma Nkumba (Sikonge).
NEC ifanyie taifa hisani kwa kurudisha kundi hili zima bungeni ili wakamalizie mechi waliyoianzisha.
Binafsi nasikitika sana kama CHADEMA wanaweza kuwadidimiza wadada kama Regia na Rachel:shocked:!
Bahati nzuri Rachel namfahamu na nimeona the great potential that she has siyo kwa vile ni mwanamke bali kwa vile ni kijana anayejiamini sana na mwenye kila sifa na mvuto wa kuchaguliwa kuwawakilisha wananchi.Nilifarijika kuona kaweza kuwabwaga wapinzani wake kwenye kura za maoni na nilikuwa na matumaini makubwa mno kwake.Kuwapoteza watu kama hawa kwa vile wenye maamuzi humo chamani wana watu wao wanaotaka kuwazawadia kwa sababu wazijuao wenyewe ni utawala mbovu wa kiwango cha juu!!
Kwa hili nawapa ZIIIIIII chadema!:A S angry:
kwanini mpendazoe asiende kishapu, mimi namuona amekurupuka kufanya maamuzi. je chadema kishapu kuna nani
na kama hakubaliki kishapu then kuna kitu wrong about him
Mwenyekiti inaonekana wewe nawe ni mwepesi sana wa kusahau maana ndani ya week hii ulishawahi kusema kwenye post yako kuwa "angalau CCM wangewarudisha wapiganaji kama vile Selelii, Kimaro" ili wakapambane vizuri, wakati huo hukuona umuhimu wa kura ya maoni na leo hii unaona umuhimu wa kura ya maoni.
Jaribu kutafakari kuhusu kauli zako mkuu maana zinakingana.
Kwamba wagombea kama Regia Mtema (kilombero) na Rachel Mashishanga (Segerea) wameombwa kuachia nafasi zao kuwapisha watu wengine (wote wanaume) ni jambo la kufanya watu kutikisa vichwa vyao.
Moyo wa ujasiri uliooneshwa na kina dada hao hata wakaamua kugombea kwenye majimbo na kuonekana kuwa wako tayari kuhukumiwa na wapiga kura wote ni jambo ambalo Chadema inapaswa na ilipaswa kulitetea na kuwapigania hadi dakika ya mwisho. Kina dada hawa wameonesha ujasiri na utayari ambao haupaswi kubomolewa kwa sababu Makao Makuu wanataka watu fulani.
Mpendazoe na huyo wakili wa Kilombero wote walikuwa na nafasi ya kugombea toka mwanzo kama wangetaka. Lakini haya ya kuonekana kubebwa na chama kwa sababu yoyote hayaoneshe "demokrasia" bali ukiritimba wa mfumo dume ambao utawasumbua Chadema baadaye. Ni kweli kuwa katika nafasi karibu zote za juu za Chadema zinashikiliwa na wanaume lakini sitaki kuamini kuwa hilo pekee linaweza kuwafanya wasione umuhimu wa kuwalinda wagombea wake waliojitokeza.
Kina R n R wasikate tamaa kwani hata kama wataenguliwa ukweli unabakia umeandikwa kuwa walishinda kura za maoni na walienguliwa na chama si kwa sababu ya rushwa au tuhuma za kukiuka maadili bali kwa sababu walikuwa ni aidha ni wanawake au hawakuwa tayari kupiganiwa na chama hadi ushindi.
Binafsi nasikitika sana kama CHADEMA wanaweza kuwadidimiza wadada kama Regia na Rachel:shocked:!
Bahati nzuri Rachel namfahamu na nimeona the great potential that she has siyo kwa vile ni mwanamke bali kwa vile ni kijana anayejiamini sana na mwenye kila sifa na mvuto wa kuchaguliwa kuwawakilisha wananchi.Nilifarijika kuona kaweza kuwabwaga wapinzani wake kwenye kura za maoni na nilikuwa na matumaini makubwa mno kwake.Kuwapoteza watu kama hawa kwa vile wenye maamuzi humo chamani wana watu wao wanaotaka kuwazawadia kwa sababu wazijuao wenyewe ni utawala mbovu wa kiwango cha juu!!
Kwa hili nawapa ZIIIIIII chadema!:A S angry:
Lakini nikukumbushe MMKJ uliwahi kusema CCM iwaache wapiganaji waingie bungeni hata kwa gharama yeyote wala isiwasumbue na kweli inavyoonekana CCM wanamfanyia Bashe kama ulivyowahi kusema ni upi msimamo wako mbona Chadema wamefanya yale yale uliyoshauri una argue differently.
Asante sana Tindikali nilikuwa natafuta makala hii niibandike.
MMKJ anasema wanaCCM wamefanya makosa kuwaondoa wapiganaji warudishwe hata kama hawakushinda, kwa CCM ni sawa, likifanywa na Chadema the same MMKJ anasema 'Chadema iwaachilie walioshinda kura za maoni wagombee' kama si kutafuta angalau kadosari kokote ndani ya Chadema ili aiseme ni nini.
Infact i dont understand this guy nowdays, toka ajichanganye na CCJ ame lose control ya kufikiri he is not the same again. Anajitahidi sana asionekane kijani kwa kujifanya yeye nuetral kama yupo kama hayupo red(Chadema).
Nilisha mwambia asipoangalia atapoteza credibility yake lakini yeye he doesn't care anasema hatafuti umaarufu ni sawa basi uwe consistent na mambo yako uta lose kote kote. This is another grave mistake to you like that of CCJ.