endapo chama kitasema kuwa vyanzo vyangu havikuwa sahihi na wote niliowataja wakaruhusiwa kugombea basi lengo litakuwa limefanikiwa. Lakini kwamba wamekusudiwa kuenguliwa halina shaka.
Yaani huyu binti Regia ameondolewa kwenye kinyang'anyiro kile pamoja na uimara wake wote katika kujenga na kutetea hoja alionyesha hapa? Mbona naona kizunguzungu kabisa.
Mwl. Kichuguu, Kwa jinsi nilivyomsoma Mkjj, nadhani amefanya hivyo kwa lengo la ku-pre-empt tetesi/habari aliyokuwa ameambiwa ili fursa hiyo isitokee. Na ndiyo maana hapo juu amesema kwamba, kama hilo halitafanyika basi ujumbe utakuwa umewafikia. Na umeona reaction ya wanaJF hapa kama hilo lingefanyika ndani ya Chadema...
Umeanza kubadili kauli. Unasingizia "chanzo changu" sasa.
Eti "wamekusudiwa kuenguliwa." Ulisema hivi:
"Kwamba wagombea kama Regia Mtema (kilombero) na Rachel Mashishanga (Segerea) wameombwa kuachia nafasi zao kuwapisha watu wengine (wote wanaume) ni jambo la kufanya watu kutikisa vichwa vyao. Chadema haiwezi kuendelea kusubiria viti vya vijana au wanawake ili kuwapa nafasi za kugombea."
Wameombwa na nani? Wadau wanakuuliza.
Unapoandika kwenye Tanzania Daima, na Michuzi, na hapa JF, kumbuka kutofautisha walengwa ni kina nani haswa, kukaa kote Michigan mvua kibao hujajifunza umakini wa uandishi wa kiukweli?
Karaga bao mpendazoe amesha chukua form za ubunge jana!
Karaga bao mpendazoe amesha chukua form za ubunge jana!
Asante sana Tindikali nilikuwa natafuta makala hii niibandike.
MMKJ anasema wanaCCM wamefanya makosa kuwaondoa wapiganaji warudishwe hata kama hawakushinda, kwa CCM ni sawa, likifanywa na Chadema the same MMKJ anasema 'Chadema iwaachilie walioshinda kura za maoni wagombee' kama si kutafuta angalau kadosari kokote ndani ya Chadema ili aiseme ni nini.
Infact i dont understand this guy nowdays, toka ajichanganye na CCJ ame lose control ya kufikiri he is not the same again. Anajitahidi sana asionekane kijani kwa kujifanya yeye nuetral kama yupo kama hayupo red(Chadema).
Nilisha mwambia asipoangalia atapoteza credibility yake lakini yeye he doesn't care anasema hatafuti umaarufu ni sawa basi uwe consistent na mambo yako uta lose kote kote. This is another grave mistake to you like that of CCJ.
Mtu akisoma hiyo topic bila background kidogo inatoa impression kuwa nataka watu wabebwe na NEC. Hapo nitakuwa najipinga misimamo yangu and I don't like kujipinga. Makala hii niliituma ili itoke siku ya Jumapili (August 1, 2010) siku ya kura za maoni. Lakini Mhariri kaamua kuitoa kwenye makala yangu ya kawaida ya Jumatano; kwa hivyo inasomwa ikiwa siku nne baada ya tukio iliyotakiwa kuzungumzia. So, isome ukifikiria unaisoma Jumapili siku ya kura za maoni. M. M.
Umepata wapi hizo habari?...Habari kwamba baadhi ya wagombea wake walioshinda katika kura za maoni baada ya kufanyia jasho kuenguliwa na vikao vya juu
Habari zipi?Umepata wapi hizo habari?
Wameenguliwa na kikao cha juu lini?
Karaga bao mpendazoe amesha chukua form za ubunge jana!
Yaani huyu binti Regia ameondolewa kwenye kinyang'anyiro kile pamoja na uimara wake wote katika kujenga na kutetea hoja alionyesha hapa? Mbona naona kizunguzungu kabisa.
Mnashambulia CHADEMA kwa kosa la kufikirika? Kuna ushahidi gani kwamba CHADEMA wamewaengua waliopata ushindi kwenye kura za maoni? Kama kuna "negotiations" zinazofanyika basi imeshakuwa kulazimisha?
Mimi nadhani MMKJ haitakii mema CHADEMA. Kuna wakati alisema lengo lisiwe kuing'oa CCM madarakani mwaka huu.
It is not possible to be a little bit pregnant
. Aidha unataka mabadiliko (in which case you should not try to smash CHADEMA) au unataka tuendelee kama tulivyo. Kuishauri CHADEMA sawa, lakini kuuma na kupuliza kama hivi si sawa.
Nadhani kati ya wengi mimi naitakie Chadema mema zaidi; lakini not at the expense of other values. Na hapana sijawahi kusema kuwa lengo lisiwe kuing'oa CCM madarakani mwaka huu. Napima maneno yangu vizuri.
this is the fallacy of false dilemma. There are more possibilities than the two presented.
Sasa, chama ambacho kinataka kuleta mabadiliko cha CHADEMA kinasikitisha kuwa nacho kimerithi na kukumbatia mfumo huo huo mbovu. Habari kwamba baadhi ya wagombea wake walioshinda katika kura za maoni baada ya kufanyia jasho kuenguliwa na vikao vya juu vya "chama" ni habari za kusikitisha na zinaonesha kuwa mfumo ule ule mbovu wa demokrasia ya 'chama' umerithishwa ndani ya Chadema na utaleta matatizo yale yale (kama bado haujaleta).
Mnashambulia CHADEMA kwa kosa la kufikirika? Kuna ushahidi gani kwamba CHADEMA wamewaengua waliopata ushindi kwenye kura za maoni? Kama kuna "negotiations" zinazofanyika basi imeshakuwa kulazimisha?
Mimi nadhani MMKJ haitakii mema CHADEMA. Kuna wakati alisema lengo lisiwe kuing'oa CCM madarakani mwaka huu.
It is not possible to be a little bit pregnant. Aidha unataka mabadiliko (in which case you should not try to smash CHADEMA) au unataka tuendelee kama tulivyo. Kuishauri CHADEMA sawa, lakini kuuma na kupuliza kama hivi si sawa.