CHADEMA: Jahazi liko imara pasi na kutetereka

CHADEMA: Jahazi liko imara pasi na kutetereka

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Imeelezwa mara nyingi kuwatofautisha wajumbe JF na vyama vya siasa.

Kama ilivyo kwa vyama vingine, CHADEMA ni taasisi kubwa yenye kuendesha shughuli zake rasmi ofisini na siyo mitandaoni chini ya wajumbe fake.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA imekuwa mshirika wa dhati wa wananchi dhidi ya Corona. CHADEMA haijawahi kuwa na la kufanya na porojo zozote kuhusiana na ugonjwa huu zilizopelekea vifo vya wengi pasipo kuwa na sababu.

Chadema imekuwa ikipendekeza umuhimu wa kuchukua hatua za msingi katika kuyalinda maisha ya watu ikiyapigia mfano mataifa ya Rwanda au Uganda. Katika nchi hizo chanjo si hiari kwa usalama wa maisha yao dhidi ya ujinga wao.

Hadi pale wananchi wanaotaka watakapokuwa wamepata chanjo (zoezi linalotarajiwa kuchukua wiki chache), Corona inaendelea kuwa kipaumbele dhidi ya katiba mpya na dhidi ya yote.

Hata hivyo ni wazi kuwa CHADEMA inaamini:

1. Jitihada za kudai katiba mpya ni halali na zitaendelea kama zilivyoanza.
2. Mwenyekiti Mbowe anashikiliwa kisiasa, akibambikiziwa kesi isiyomhusu.
3. Jitihada za kudai katiba mpya zitakuwa na gharama za kulipa hata kubwa zaidi ya kuliko tulizokwisha zishudia.
4. inayatambua mazingira halisi inamofanyia harakati zake. Umoja wetu ndiyo iliyo silaha pekee ya kujilinda na pia kuleta ushindi.
5. wanachama wake na wapenda haki wote wanao utayari wa kuipigania haki kwa gharama yoyote.

Ifahamike hapa kuwa Chadema inafanya shughuli zake kwenye mipangilio yake. Chadema inauelewa uwanja huo vilivyo. Haijastushwa na lolote hadi sasa.

Kimsingi Chadema iko vizuri.
 
Ngoja wahusika waje wakupe ya moyoni[emoji441][emoji441][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Daah umeandika Kwa uchungu Sana , bila Shaka we ni fighter kindaki ndaki wa Chadema....!!!
 
Ngoja wahusika waje wakupe ya moyoni[emoji441][emoji441][emoji125][emoji125][emoji125]

Watakuwa na ya moyoni yapi zaidi ya yaliyopo hapa:


Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
 
Daah umeandika Kwa uchungu Sana , bila Shaka we ni fighter kindaki ndaki wa Chadema....!!!

Duuuh! Umekosea kidooogo.

Ungesema ni fighter kindaki ndaki wa mustakabala mwema zaidi wa nchi hii.

Mustakabala mwema zaidi ikimaanisha katiba mpya itakayo simamia haki, uhuru na demokrasia kikamilifu ambavyo pia wewe na hata wajukuu zako mtakuwa wanufaika.

Kwa hakika ungekuwa umezingatia angalizo hilo ungekuwa umejitendea haki zaidi.
 
Imeelezwa mara nyingi kuwatofautisha wajumbe JF na vyama vya siasa.

Kama ilivyo kwa vyama vingine, CHADEMA ni taasisi kubwa yenye kuendesha shughuli zake rasmi ofisini na siyo mitandaoni chini ya wajumbe fake.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA imekuwa mshirika wa dhati wa wananchi dhidi ya Corona. CHADEMA haijawahi kuwa na la kufanya na porojo zozote kuhusiana na ugonjwa huu zilizopelekea vifo vya wengi pasipo kuwa na sababu.

Chadema imekuwa ikipendekeza umuhimu wa kuchukua hatua za msingi katika kuyalinda maisha ya watu ikiyapigia mataifa ya Rwanda au Uganda. Katika nchi hizo chanjo si hiari kwa usalama wa maisha yao dhidi ya ujinga wao.

Hadi pale wananchi wanaotaka watakapokuwa wamepata chanjo (zoezi linalotarajiwa kuchukua wiki chache), Corona inaendelea kuwa kipaumbele dhidi ya katiba mpya na dhidi ya yote.

Hata hivyo ni wazi kuwa CHADEMA inaamini:

1. Jitihada za kudai katiba mpya ni halali na zitaendelea kama zilivyoanza.
2. Mwenyekiti Mbowe anashikiliwa kisiasa, akibambikiziwa kesi isiyomhusu.
3. Jitihada za kudai katiba mpya zitakuwa na gharama za kulipa hata kubwa zaidi ya kuliko tulizokwisha zishudia.
4. inayatambua mazingira halisi inamofanyia harakati zake. Umoja wetu ndiyo iliyo silaha pekee ya kujilinda na pia kuleta ushindi.
5. wanachama wake na wapenda haki wote wanao utayari wa kuipigania haki kwa gharama yoyote.
6. CHADEMA
1627669283440.png
 
Imeelezwa mara nyingi kuwatofautisha wajumbe JF na vyama vya siasa.

Kama ilivyo kwa vyama vingine, CHADEMA ni taasisi kubwa yenye kuendesha shughuli zake rasmi ofisini na siyo mitandaoni chini ya wajumbe fake.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA imekuwa mshirika wa dhati wa wananchi dhidi ya Corona. CHADEMA haijawahi kuwa na la kufanya na porojo zozote kuhusiana na ugonjwa huu zilizopelekea vifo vya wengi pasipo kuwa na sababu.

Chadema imekuwa ikipendekeza umuhimu wa kuchukua hatua za msingi katika kuyalinda maisha ya watu ikiyapigia mataifa ya Rwanda au Uganda. Katika nchi hizo chanjo si hiari kwa usalama wa maisha yao dhidi ya ujinga wao.

Hadi pale wananchi wanaotaka watakapokuwa wamepata chanjo (zoezi linalotarajiwa kuchukua wiki chache), Corona inaendelea kuwa kipaumbele dhidi ya katiba mpya na dhidi ya yote.

Hata hivyo ni wazi kuwa CHADEMA inaamini:

1. Jitihada za kudai katiba mpya ni halali na zitaendelea kama zilivyoanza.
2. Mwenyekiti Mbowe anashikiliwa kisiasa, akibambikiziwa kesi isiyomhusu.
3. Jitihada za kudai katiba mpya zitakuwa na gharama za kulipa hata kubwa zaidi ya kuliko tulizokwisha zishudia.
4. inayatambua mazingira halisi inamofanyia harakati zake. Umoja wetu ndiyo iliyo silaha pekee ya kujilinda na pia kuleta ushindi.
5. wanachama wake na wapenda haki wote wanao utayari wa kuipigania haki kwa gharama yoyote.
6. CHADEMA
Hakika wanachama na wafuasi wa CHADEMA JF mna akili kama watoto dodocha. Mnajua sana, nyuma ya "keyboard", kulalamika, kulialia, na kulaumu pasipo kuchukua hatua zilizo wazi. Hata viongozi wa chama wamejikita katika matukio. AIBU
 
Hakika wanachama na wafuasi wa CHADEMA JF mna akili kama watoto dodocha. Mnajua sana, nyuma ya "keyboard", kulalamika, kulialia, na kulaumu pasipo kuchukua hatua zilizo wazi. Hata viongozi wa chama wamejikita katika matukio. AIBU

Unonekana kuumia sana kuona kuwa jahazi la Chadema liko Imara.

Mnaowaita wanachama na wafuasi wa Chadema JF unakutanao wapi mburula wewe?

Haiyumkiniki utakuwa ni mmoja wa wale mamluki au washirika wa ambao mnaendelea kuungulia nyongo kiasi cha kujifanya nanyi ni Chadema:


Iko namna hii huna lolote unalolijua au utakalijua mburula wewe kuhusu Chadema. Huna hoja huna agenda wala huna cha kuandika. Ndiyo maana unaokoteza vijimaneno here and there visivyokuwa na mbele wala nyuma.

Unayaona wapi haya uliyoyaandika:

"Mnajua sana, nyuma ya "keyboard", kulalamika, kulialia, na kulaumu pasipo kuchukua hatua zilizo wazi."

Wapi analalamika, analia, analaumu nani? Hatua za wazi unazitaka wewe kama nani? Ili uzifanyie nini?

Ama kweli mandondocha proper ni nyinyi ndiyo maana kucha kuigiza kuwa ni Chadema.

Chadema haina wajumbe wapumbavu waliokolea kama mnavyotaka kwenye maigizo yenu uchwara mithili ya bongo movie tu.
 
Watakuwa na ya moyoni yapi zaidi ya yaliyopo hapa:


Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
Mbowe mwenyekiti wa kudumu. Wanaotaka kugombea uenyekiti hupoteza maisha. Anapigania demokrasia. Inawezekana?
 
Mbowe mwenyekiti wa kudumu. Wanaotaka kugombea uenyekiti hupoteza maisha. Anapigania demokrasia. Inawezekana?

Una maana kama yalivyowakuta kina Azory, Ben, Lissu, Mawazo na hata wale wa kwenye viroba?
 
Chadema lazima iangaliwe kwa jicho la tatu, kama mwenyekiti wa chama alikuwa Katili wa kupanga mauaji ya watu wengine, je hao walio chini yake na wafuasi aliwafundisha kitu gani kama sio uhalifu na ujambazi?! inawezekana sio wote lkn baadhi yao lazima wafuatiliwe ili kubaini matendo yao na wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Tunamshauri Msajili wa Vyama vya siasa afute huu mkusanyiko wa wahalifu walio jificha kwenye mwamvuli wa chama cha kisiasa.
Amani ya nchi yetu lazima italindwa kwa gharama yoyote ile, hatuko kuona kikundi cha watu wachache kinajaribu kuchezea amani ya nchi yetu.
kamwe hato chekewa mtu yeyote.
 
Isije kuwa hamna njia NYINGINE ya kujipatia kipato kama ndivyo basi naona mapambano yatakuwa makali sana afe kipa au beki.

Tatizo mapambano ya kutafuta Demokrasia yanapovunja Demokrasia ni mbaya zaidi kwani kwa macho ya kawaida tunaona maslahi binafsi yamepewa kipau mbele.
 
Haya mapambano huwa yanakatisha tamaa wakati mwingine, wakati mwingine ari zinaamka/amshwa, kukubali kukata tamaa ni sawa na kuwaachia CCM watutafune mpaka mifupa.
 
Unonekana kuumia sana kuona kuwa jahazi la Chadema liko Imara. Mnaowaita wanachama na wafuasi wa Chadema JF unakutanao wapi mburula wewe? Haiyumkiniki utakuwa ni mmoja wa wale mamluki au washirika wa ambao mnaendelea kuungulia nyongo kiasi cha kujifanya nanyi ni Chadema: Iko namna hii huna lolote unalolijua au utakalijua mburula wewe kuhusu Chadema. Huna hoja huna agenda wala huna cha kuandika. Ndiyo maana unaokoteza vijimaneno here and there visivyokuwa na mbele wala nyuma. Unayaona wapi haya uliyoyaandika: "Mnajua sana, nyuma ya "keyboard", kulalamika, kulialia, na kulaumu pasipo kuchukua hatua zilizo wazi." Wapi analalamika, analia, analaumu nani? Hatua za wazi unazitaka wewe kama nani? Ili uzifanyie nini? Ama kweli mandondocha proper ni nyinyi ndiyo maana kucha kuigiza kuwa ni Chadema. Chadema haina wajumbe wapumbavu waliokolea kama mnavyotaka kwenye maigizo yenu uchwara mithili ya bongo movie tu.
Mnajifariji tu moyoni nafsi inawasuta.
Kumkaribisha LOWASA(mkiyedai fisadi)ndio uimara!?
KUBWAGWA na diamond ndio uimara!?
Wale wadada 19 kule bungeni wamewavua nguo au ule ndio uimara!?
LISSU kuishi uhamishoni nao ule ni uimara!?
MBOWE kulewa na kusingizia kapigwa ule nao!?
Kuambulia MBUNGE 1 nchi nzima na ule tuuite uimara!!!??



NB:MIMI NI TIMU MAGUFULI JANA,LEO,KESHO NA HATA MILELE
 
Haya mapambano huwa yanakatisha tamaa wakati mwingine, wakati mwingine ari zinaamka/amshwa, kukubali kukata tamaa ni sawa na kuwaachia CCM watutafune mpaka mifupa.

Kukata tamaa ni sawa na kuwasusia fisi butcher.
 
Imeelezwa mara nyingi kuwatofautisha wajumbe JF na vyama vya siasa.

Kama ilivyo kwa vyama vingine, CHADEMA ni taasisi kubwa yenye kuendesha shughuli zake rasmi ofisini na siyo mitandaoni chini ya wajumbe fake.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA imekuwa mshirika wa dhati wa wananchi dhidi ya Corona. CHADEMA haijawahi kuwa na la kufanya na porojo zozote kuhusiana na ugonjwa huu zilizopelekea vifo vya wengi pasipo kuwa na sababu.

Chadema imekuwa ikipendekeza umuhimu wa kuchukua hatua za msingi katika kuyalinda maisha ya watu ikiyapigia mfano mataifa ya Rwanda au Uganda. Katika nchi hizo chanjo si hiari kwa usalama wa maisha yao dhidi ya ujinga wao.

Hadi pale wananchi wanaotaka watakapokuwa wamepata chanjo (zoezi linalotarajiwa kuchukua wiki chache), Corona inaendelea kuwa kipaumbele dhidi ya katiba mpya na dhidi ya yote.

Hata hivyo ni wazi kuwa CHADEMA inaamini:

1. Jitihada za kudai katiba mpya ni halali na zitaendelea kama zilivyoanza.
2. Mwenyekiti Mbowe anashikiliwa kisiasa, akibambikiziwa kesi isiyomhusu.
3. Jitihada za kudai katiba mpya zitakuwa na gharama za kulipa hata kubwa zaidi ya kuliko tulizokwisha zishudia.
4. inayatambua mazingira halisi inamofanyia harakati zake. Umoja wetu ndiyo iliyo silaha pekee ya kujilinda na pia kuleta ushindi.
5. wanachama wake na wapenda haki wote wanao utayari wa kuipigania haki kwa gharama yoyote.

Ifahamike hapa kuwa Chadema inafanya shughuli zake kwenye mipangilio yake. Chadema inauelewa uwanja huo vilivyo. Haijastushwa na lolote hadi sasa.

Kimsingi Chadema iko vizuri.
liko imara wapi leo mnyika anajambajamba tu kuongea na wandishi wameshaishiwa pozi taryari
 
Back
Top Bottom