CHADEMA: Jahazi liko imara pasi na kutetereka

Haya ndio madhara ya kuhodhi madaraka ya chama.

Mwenyekiti yupo ndani chama kizima kimeparslyze.
 

Demokrasia yavunjwa vipi kwa kudai demokrasia? Jiridhishe kuwa hujaandika kichina tafadhali.

Kutohitaji wewe mabadiliko hakuna maana wengine Hawahitaji. Busara kama wewe huhitaji si sahihi kuwataka wanaoihitaji wasihitaji kama wewe.

Kwamba huhitaji, basi si unacho? Huoni ni busara na wasio nacho wakipate?

Ni sawa na asiyetaka kuchanjwa kushawishi na wengine wasichanjwe. Kwani inamhusu nini? Ama!
 
liko imara wapi leo mnyika anajambajamba tu kuongea na wandishi wameshaishiwa pozi taryari

Vipi akili ilishakurudia?


Mambo yamekwisha wiva.
 
Tuko pamoja. Tuko kwenye Safe mode sahizi. Wasidhani hatupo wanajidanganya. Chadema ni imani
 
Haya ndio madhara ya kuhodhi madaraka ya chama.

Mwenyekiti yupo ndani chama kizima kimeparslyze.

Yaani chama kimekupata? Chadema haikuhitaji wewe hata kwa mkopo.

Paralysis = Stroke.

Hiiiiii bagosha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ! Acha utani wewe.


Kawaulize ukipenda: Sirro, Chongolo, Shaka, zandrano au hata Mama mzazi uone, hawatakubaliana nawe.
 

Hujui uimara ulipo? Uko hapa:




Atasikia sawa sawa nusu nusu hailipi.
 

Usiache kumkumbusha Msajili kuwa waliokuwa kina Ben, Azory, Mawazo na wengine wa kwenye viroba walikuwa hai kama wewe na yeye.

Ukimfikishia na taarifa hizi:


Itapendeza zaidi.

Lingine la msingi washauri kuandaa stadiums kama magereza. Waambie tumechoka kweli kweli.
 
To crown it all; it is the only patriotic party.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…