- Thread starter
- #21
Atakuwa chawa huyo sio bure, inakera sana kusimamisha shughuli za kiuchumi kwa siku nzima kisa kiongozi anayezindua Choo cha soko
Alipo sasa yuko mstari was mbele kuimba sifa.
Tuna taifa lenye vijana wa hovyo wengi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa chawa huyo sio bure, inakera sana kusimamisha shughuli za kiuchumi kwa siku nzima kisa kiongozi anayezindua Choo cha soko
Njoo ukalie mana Imesimama wimaVipi ndugu utakuwa timu sifia sifia wewe. Kwa dini yenu hiyo sasa utakuwa umekumbuka shuka asubuhi. BIla shaka hatimaye umechukua points kumpelekea mmeo.
Cc: Erythrocyte
Njoo ukalie mana Imesimama wima
CHADEMA ndio chama kikuu na ndio kinategemewa kuleta mapinduzi ya mfumo wa kiutawala kupitia KATIBA mpya pia ni chama pekee kinachotarajiwa kuongoza nchi hii ni lazima wawe makini na kujifunza mambo mengiMBONA MNAHANGAIKA SANA NA CHADEMA KWANI TANGANYIKA INA CHAMA KIMOJA CHA UPINZANI?