CHADEMA jifunzeni kwenye Ziara ya Makamu wa Rais Kahama

CHADEMA jifunzeni kwenye Ziara ya Makamu wa Rais Kahama

Atakuwa chawa huyo sio bure, inakera sana kusimamisha shughuli za kiuchumi kwa siku nzima kisa kiongozi anayezindua Choo cha soko

Alipo sasa yuko mstari was mbele kuimba sifa.

Tuna taifa lenye vijana wa hovyo wengi sana.
 
MBONA MNAHANGAIKA SANA NA CHADEMA KWANI TANGANYIKA INA CHAMA KIMOJA CHA UPINZANI?
CHADEMA ndio chama kikuu na ndio kinategemewa kuleta mapinduzi ya mfumo wa kiutawala kupitia KATIBA mpya pia ni chama pekee kinachotarajiwa kuongoza nchi hii ni lazima wawe makini na kujifunza mambo mengi
 
Back
Top Bottom